Changamoto za wasaidizi wa kazi za ndani(housemaids)

Huna adabu. Umekosa wanawake mpaka ule house girl mkuu?
house girls si ni wanawake pia, kinachowafanya wanaume wengi waanguke kwenye mtego huo wa kuwala housegirls ni kwa sababu si wasumbufu. Yani unampata anytime you like, hawana kupiga kalenda na mlolongo mrefu..
 
Ulimpa dawa gani ?
 
Anachemsha maziwa kwenye jiko la gesi halafu yye anaendelea na kazi zingine kuja kustuka nusu ya maziwa imemwagika.

Yaani huyu wangu changamoto zake ni kwenye jiko la gesi tu ana matumizi yasiyo sahihi.
Asee hii imenikuta...sufuria nyingi zimekaangwa kibishi!
 
mkuu nakuibia siri ,anajipamba kwa ajili ya mumeo /bwanako
 
Mimi nilianza mapenzi na beki tatu, nilikuwa MDOGO nasoma darasa la nne, lakini beki tatu bonge la mama.
Mama yangu na baba yangu walikuwa Ni watu wenye kazi nyiingi saana, wakati mwingine wanaenda inje ya inchi hata miezi mitatu hivi.
Yaaani ukishaonja beki tatu ngumu saana kuacha!
 
😀 wakwangu alikuwa ana beba mtoto mgogoni hamshushi analala anaamka bado kawekwa mgogoni alf yeye anaongea tu na simu hana habr kabs mtoto alizoea mgogo jaman alaf anauita njiimu anasema hatak usumbufu mtoto ni mgogoni tu akishushwa ni kula tu anarudishwa kwenye njiimu
 
hapa umeniacha siku za kitengo zipi??kulipa bili??
 
[emoji23][emoji23][emoji23]Ukala beki tatu jimama
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji119][emoji119][emoji119]Huyo alikwa rigendiiiii
 

Hii kali [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Sio kupima Ki usawa mnatakiwa mkapime wote, mana hata wewe au watoto wako wanaweza kuwa na maambukizi. Hii imetokea kwa jirani yetu ana vijana nyumbani kumbe mmoja ameathirika, dada wa kazi Kaja kaanza kumgegeda hadi kamwambukiza ngoma mtoto wa watu.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]duuh aisee...!! Kweli beki tatu mke wa pili
eeh kaka s unajua tena, mtoto ukishakaa nae kikao unamwambia athari za kutotii maagizo yako
 
tatizo hilo ukisema afate colgate analeta chocolate..inabd ucheke tu usubiri wife atoke umuadhibu
 
house girls si ni wanawake pia, kinachowafanya wanaume wengi waanguke kwenye mtego huo wa kuwala housegirls ni kwa sababu si wasumbufu. Yani unampata anytime you like, hawana kupiga kalenda na mlolongo mrefu
ewa mm huyu akikosea tu anajua adhabu ni nin
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…