Changamoto za wasaidizi wa kazi za ndani(housemaids)

Uliniona wapi?😂
Seriously nilikufikiria ile siku baada ya match kuisha,nikafikiria kukupigia usiku ule nikahofia kukukera zaidi
Naomba uwe hujaumia sana

Nilikuona kwenye uzi wa Chelsea.

Siumiagi sana timu ikifungwa, huwa natafuta kitu cha kunipa moyo. Isipokuwa nashangilia sana tukishinda.
 
Aisee hawa watu wana changamoto mno, mimi wa kwangu basi tu, kila kitu ni lazima afanye kwa kusimamiwa, tukienda job mtoto hapikiwi, haogeshwi wala usafi haufanyiki, ni upuuzi tu. Natamani Vyuo kama Veta vitoe kozi hii ili tuchukue watu wenye uelewa aisee.
 
Comments zako nimejikuta nimekupenda bure mkuu. Nimeku folo kiroho safi
 
Fata hatua hizi

1. Hakikisha umefanya selection na kujiridhisha vya kutoa kwamba anakidhi vigezo

2. Chukua muda wako kumfanyia training from zero.. never imagine.

3. Anza kidogo kidogo kumpa asignment ndogondogo kwa usimamizi na kadri siku zinavyo endelea mpe majukumu makubwa

4. Hakiki kila kazi anayo fanya na kumpa deedback

5. Mpongeze anapo fanya vizuri, lipa mashahara mzuri, usimtenge sana familia , mtreat kama sehemu ya familia.

Hakikisha mzee mwenye nyumba ana kaa mbali naye.. maana akisha anza kunona inakua shida.
 
Nitoleee English mbovu hiyoo... Eti make my father proud! Kakojoe ulalee mzee.
 
Kwa huu ukweli mchungu, lazima somo lieleweke tu
 
Kwa huu ukweli mchungu, lazima somo lieleweke tu
Kaungane nae muuandikie kitabu huo ukweli uzidi kunogaa...[emoji23][emoji23][emoji23] Maisha ya Jf kuyachukulia serious sana mtakufa mapemaa...! Mtag aje aendelee kuandika gazetii...
 
*****[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] unatomba beki 3
niko mbion kumrudsha kwao yuko hvhv na mm nilie nae japo ananipa uroda ila kaz haziend nahs pia ana matatizo ya akili
 
Anasema huko kwao wanarogana sana.
Kwahiyo baba ake akamuita waende kumuagua atafutiwe na hirizi nyingine ya ulinzi
Maskini kumbe jamii yake yote ina amini ushirikina namna hyo!!

Ni ngumu sana kubadilisha watu wenye fikra hizo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…