Changamoto za wasaidizi wa kazi za ndani(housemaids)

Changamoto za wasaidizi wa kazi za ndani(housemaids)

Ikiwa ulimaanisha ni jambo la ajabu au baya kwa yeye kukaa kwenye kochi na kula na familia pamoja mezani, then you are so low. Utakuwa ni mwenye nafsi fukara sana. Kama unaweza kumwamini APIKE CHAKULA UNACHOKAA HAPO KWENYE HIYO MEZA YAKO NZURI UKALA lakini saa ya kula anakuwa hana hadhi ya kukaa kula na wewe, basi jikague:
1. Elimu yako
2. Imani yako (ikiwa una dini)
3. Ustaarabu wako.

Ukuu na mamlaka ya mtu hudhihirika kwa namna anavyowachukulia walio wadogo kwake. Be humble, great you shall be.
Mkuu hii comment yako inaonyesha maana halisi ya ustaarabu. Wabongo tunajisahau sana mafanikio kidogo yanajifanya tujione sisi ndo tunastahili mazuri ili wenzetu hawastahili mazuri housegirl ana play role kubwa anastahiki kupewa pongezi na shukrani.. So kuongelea mabaya tu ya mahousegirl ni unafiki na udhandiki wa mtu mwenye roho ya kishetani
 
Mada ingekuwa hainihusu usingeiweka kwenye jukwaa huru, ungejadili nyumbani kwako na shemeji yako, ukiileta jukwaani maana yake public inahusika.

Nia yangu wewe na wenzio mbadili mtazamo na mjifunze kuheshimu watu wengine. Dada wa kazi ni binadamu tu kama wewe, anapaswa kuheshimiwa. Kumjadili madhaifu yake as if hayo madhaifu binadamu wengine hawana ni spesho tu kwa dada wa kazi huo ni ujinga.

Mtu yeyote anayetoka kijijini akifika mjini akakutana na vitu vipya, na mazingira mapya lazima atastruggle. Sasa kumfanya kituko ni dalili ya umaskini wa fikra, yaani unaamini wewe ni superior kwa yeye kuwa inferior. Huo ndio 'uhindi' na ndio mnachojadili hapa mkipongezana to the extent mwenzenu mmoja amethubutu kufikia kusema yeye wa kwake kituko chake ni KUKAA KWENYE MAKOCHI NA KULA PAMOJA DINNING kwa maana hiyo hastahili kula nao na asikae kwenye makochi? Sasa hapa unajiuliza, mnamzungumzia MBWA au binadamu?!

Sisi sisi tunatokwa mishipa ya koo kuwalaani wazungu kwa ukoloni, tunawalaani waarabu wanaowabagua dada zetu na kuwatesa, lakini majumbani mwetu hizi ndio treatment tunazowapa our own kind. Yaani akale jikoni na sio dinning? So low and selfish. Na unayenishangaza zaidi ni wewe mtoto wa kiume, hizi roho za saluni wanaume hatuna, unapata wapi haya dogo? Juzi ulikuwa mtetezi mzuuuri wa singo maza, leo wewe na singo maza mna team up kuongea mambo yasiyo sahihi juu ya watu wengine kwa kuwa tu hawakubahatika kuwa na shemeji kama wako wakaishia hapo kwa dadako kwa status tofauti na yako? Come oooooon boy, Have mercy for your father...he should be proud of you when you display masculine behaviors dear boy, achana na hii kitu.
Huyo alitoa maoni yake kama wenginee... Siwezi mpangi mtu apost nini!! Kuna wengine wametoa mawazo ya kupima afya ambayo kweli ni mazuri lakino sikuwahi fikiriaa... Usione tu mabaya kuna mengine mengi ya kujifunza kuputia makosa ya wengineee huo ubaguzi unaousema wewe ni Maoni yako pia siwezi kuyapinga.
 
Kakaa mwenzi kaacha kunuka jasho akaenda kuolewa.
emoji23.png
emoji23.png
emoji23.png
emoji23.png
emoji23.png
emoji23.png
hongera kwa kuozesha, unaweza kuta sasa kawa sister duu.
 
Huyo alitoa maoni yake kama wenginee... Siwezi mpangi mtu apost nini!! Kuna wengine wametoa mawazo ya kupima afya ambayo kweli ni mazuri lakino sikuwahi fikiriaa... Usione tu mabaya kuna mengine mengi ya kujifunza kuputia makosa ya wengineee huo ubaguzi unaousema wewe ni Maoni yako pia siwezi kuyapinga.
Dogo, huyo sikujishughulisha naye sababu ni wa kike, wewe ninakuasa maana nataka ukue ukishabihiana na jinsia yako. Mwanaume unapaswa kuwa mtu mwenye fikra na haki, achana na hawa supporters wako, hawa wenzetu wanatumia emotions zaidi ya logic.

Pana sehemu umeniuliza "una dada beki tatu nini?" Unataka kuniambia intentions zako zilikuwa ni positive? Hapa ndio nikaiona dalili ya udhaifu wa kike ndani ya mwili wa mwanaume (in case wewe ni wa kiume, maana mtandaoni hapa).

Labda nikuulize, kuhusu huu mfano 'bora' wa mwenzetu aliyesema TUWAPIME NGOMA. Inapotokea mtoto wa dada yako, shemeji yako, binamu and the likes amekuja kukaa na nyinyi muda wa likizo au whatever, huwa na yeye mnampima ukimwi in the same aspect au ndugu hawaambukizi ukimwi, unaambukizwa na dada wa kazi tu akiwa kwenye hedhi? Maana mi hedhi najua huwapata wanawake wote na ukimwi ni ugonjwa wa yeyote, hili wewe unalionaje?
 
Itakuwa aiseee maana sio kawaidaa.. Kuna mmoja nilimtuma soda akanambia amechoka[emoji23][emoji23][emoji23] Siku nyingine wife yupo ndania akadhani amelala kumbe anamsikia akawa anasema leo chizi yupo nyumbani[emoji119][emoji119][emoji119][emoji24][emoji24] Duuh yani balaa tupu
Kumbe rikiboy umeoa[emoji3][emoji3]. Mi nilijua senior bachelor maana nyuzi za uchakataji unazichangia sana
 
Kumbe rikiboy umeoa[emoji3][emoji3]. Mi nilijua senior bachelor maana nyuzi za uchakataji unazichangia sana
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Bachelor wapi nduguu...!! Wife yupo ndani...
 
Dogo, huyo sikujishughulisha naye sababu ni wa kike, wewe ninakuasa maana nataka ukue ukishabihiana na jinsia yako. Mwanaume unapaswa kuwa mtu mwenye fikra na haki, achana na hawa supporters wako, hawa wenzetu wanatumia emotions zaidi ya logic.

Pana sehemu umeniuliza "una dada beki tatu nini?" Unataka kuniambia intentions zako zilikuwa ni positive? Hapa ndio nikaiona dalili ya udhaifu wa kike ndani ya mwili wa mwanaume (in case wewe ni wa kiume, maana mtandaoni hapa).

Labda nikuulize, kuhusu huu mfano 'bora' wa mwenzetu aliyesema TUWAPIME NGOMA. Inapotokea mtoto wa dada yako, shemeji yako, binamu and the likes amekuja kukaa na nyinyi muda wa likizo au whatever, huwa na yeye mnampima ukimwi in the same aspect au ndugu hawaambukizi ukimwi, unaambukizwa na dada wa kazi tu akiwa kwenye hedhi? Maana mi hedhi najua huwapata wanawake wote na ukimwi ni ugonjwa wa yeyote, hili wewe unalionaje?
Me hata wew ukija kunitembelea Kwangu nakupimaa...[emoji23][emoji23][emoji23] Maana una udada sana wa kujikuta mtu mzimaa...Kachangie jukwaa la Technology bhasi hukoo point zakoo[emoji2089][emoji2089][emoji2089] Kelele tu unatupigia hapa
 
Hahaha...Kwahiyo akahisi umemroga eti!???

Imani za kishirikina mbaya sana
Sasa mimi sikukaa na mchawi ila nilikaa na mtu anaamini uchawi balaa.
Siku nimeenda kuoga nakuta hirizi chooni nikaichukua nikaiflash.

Tumekaa kama week mbili kaamka kachanwa chale usoni mikononi miguuni na kifuani.
Alipanic mbaya akasema waliochukua hirizi yake ndio waliomchanja. Nikamwambia mi ndo niliyoiokota nikaiflash sikujua kama ni yake.
Kesho yake akaondoka kwenda kwao ikawa kwaheri.
 
Nilipata mwingine alikua ananuka jasho jamani.
Nilikua siwezi hata kukaribisha rafiki zangu nyumbani naona aibu kunavyonuka.
Nikirudi kazini nakaa chumbani tu ila sasa nawaza mwanangu na ile harufu.
Siku nikamuuliza unasikia hii harufu akasema ndio dada, nikamwambia unajua una tatizo la kunuka jasho akasema anajua.
Basi nikamtafutia tiba. Siku 3 tu harufu ikakaata. Kakaa mwenzi kaacha kunuka jasho akaenda kuolewa. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]. Sijawahi kukutana na jasho kama lile
[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1] Unanifurahisha sana na hzi Story zako aisee! !

Anakushukuru huko aliko kwa kumsaidia kupata ndoa
 
Mada ingekuwa hainihusu usingeiweka kwenye jukwaa huru, ungejadili nyumbani kwako na shemeji yako, ukiileta jukwaani maana yake public inahusika.

Nia yangu wewe na wenzio mbadili mtazamo na mjifunze kuheshimu watu wengine. Dada wa kazi ni binadamu tu kama wewe, anapaswa kuheshimiwa. Kumjadili madhaifu yake as if hayo madhaifu binadamu wengine hawana ni spesho tu kwa dada wa kazi huo ni ujinga.

Mtu yeyote anayetoka kijijini akifika mjini akakutana na vitu vipya, na mazingira mapya lazima atastruggle. Sasa kumfanya kituko ni dalili ya umaskini wa fikra, yaani unaamini wewe ni superior kwa yeye kuwa inferior. Huo ndio 'uhindi' na ndio mnachojadili hapa mkipongezana to the extent mwenzenu mmoja amethubutu kufikia kusema yeye wa kwake kituko chake ni KUKAA KWENYE MAKOCHI NA KULA PAMOJA DINNING kwa maana hiyo hastahili kula nao na asikae kwenye makochi? Sasa hapa unajiuliza, mnamzungumzia MBWA au binadamu?!

Sisi sisi tunatokwa mishipa ya koo kuwalaani wazungu kwa ukoloni, tunawalaani waarabu wanaowabagua dada zetu na kuwatesa, lakini majumbani mwetu hizi ndio treatment tunazowapa our own kind. Yaani akale jikoni na sio dinning? So low and selfish. Na unayenishangaza zaidi ni wewe mtoto wa kiume, hizi roho za saluni wanaume hatuna, unapata wapi haya dogo? Juzi ulikuwa mtetezi mzuuuri wa singo maza, leo wewe na singo maza mna team up kuongea mambo yasiyo sahihi juu ya watu wengine kwa kuwa tu hawakubahatika kuwa na shemeji kama wako wakaishia hapo kwa dadako kwa status tofauti na yako? Come oooooon boy, Have mercy for your father...he should be proud of you when you display masculine behaviors dear boy, achana na hii kitu.
mtu aliyesema ivyo ni masikini wa roho,mwili na akili.
 
nazi badala ya kukuna kwenye mbuzi tulikuta anaitwanga kwenye kinu, na pia tulimkuta kamchemsha kuku na manyoa yake eti ili iwe simple wakati wa kumnyonyoa dah
Chai hii. kuku wengi wanatoka huko walikokuwa atashindwa vipi kujua kumnyonyoa?
 
Jane Jane Jane!!
Pumzika kwa amani Jane wangu! Tuliishi kama mtu na dadake, tulikula pamoja, tulitaniana tulilia pamoja!! Daaahhh ni ngumu sana kukusahau Jane ila mapenzi ya Mungu yatimizwe!!

Hawa wadada huwa wanatoka vijinini, kwenye mazingira magumu, na maisha duni.

Tuwaelekeze, tuwafundishe na tuwapende pia, mara nyingi saaana huwa ni waoga na sio kwamba hawasikii, wanakuwa attention mpaka inapitiliza, wanakuwa na hofu sana hasa kwa sisi wanawake ambao mara nyingi saana tunakuwa nao karibu!!
You are one of the best.

Hivi hii ni mara ya ngapi nakwambia hivi?
 
Kuna aliyeondoka ameiba vitu kibao, alisahau kuwa katika stori siku za kwanza alishasema mpaka kijiji anachotoka.

Tulikwenda na polisi kijijini kwao, katika kusearch tulikuta ameiba picha za hubby amezipamba ukutani chumbani kwake.😂
Ulizichukua tena?? Si ungemuachia tu mkuu.

There would be no harm at all
 
Me hata wew ukija kunitembelea Kwangu nakupimaa...[emoji23][emoji23][emoji23] Maana una udada sana wa kujikuta mtu mzimaa...Kachangie jukwaa la Technology bhasi hukoo point zakoo[emoji2089][emoji2089][emoji2089] Kelele tu unatupigia hapa
Sasa mbona unazungumzia UDADA kwa style za kidada? Kwani wewe ni wa kike au wa kiume? Maana huko awali umezungumza juu ya wife wako, lakini mara kadhaa unaniandikia BHASI, nini mbaya dogo?

Halafu nikwambie tabia nyingine za KIKE? They can not stand on their own. Hapa najadili na wewe lakini unaniambia NAWAPIGIA KELELE, sasa nawapigia wewe na nani? Hiyo moja,

Mbili, wakina mama wana tabia ya kukimbia tatizo badala ya kulitatua. Umeweka hoja tujadili, nimekupa changamoto tu kidogo unaniambia nikachangie jukwaa la teknolojia nipeleke point zangu huko, sasa hii hoja yako vipi, unaifunga?

Sikiliza dogo, I want to make your father proud. Let me mentor you, there is still some hope I can get you back to masculine track. Achana na vijicompany vya wadada, wao wanapendeza hivyo sababu they are delicate. Wewe unapaswa ujifunze kubeba ukweli mchungu na kuufanyia kazi. Usidhani nakutania, kuna uanamke mwingi sana ndani yako kiasi unakuwa emotional badala ya logical. Ukiwa na nafasi nitafute nikusaidie kuachana na mashoga uanze kumpa babaako matumaini ya jina lake kuendelea kuwepo. Karibu sana
 
Nilikuona unavyotamba kwa mbwembwe kama Enock wa Yamoto Band enzi zao.
Uliniona wapi?😂
Seriously nilikufikiria ile siku baada ya match kuisha,nikafikiria kukupigia usiku ule nikahofia kukukera zaidi
Naomba uwe hujaumia sana
 
Back
Top Bottom