Changamoto zilizokuwa zimeibuliwa na wanainchi na kubebwa na upinzani kama agenda, zimetatuliwa sawa sawia na serikali ya awamu ya 6 ya CCM

Umesahau kuweka namba za simu mkuu
 
Mkuu wewe ndo mwenye bandiko, ila mkuu isiwe kesi, Kama nimekukosea kukumbusha kuhusu kuweka namba ya simu naomba unisanehe
Tuombee msamaha kwa Mungu pekee mkuu 🐒

kwa madudu kibao tunayomkosea, kwa mawazo, kwa maneno, kwa matendo na kwa kutotimiza wajibu🐒
 
Tuombee msamaha kwa Mungu pekee mkuu 🐒

kwa madudu kibao tunayomkosea, kwa mawazo, kwa maneno, kwa matendo na kwa kutotimiza wajibu🐒
Umeme unakatika Sana mkuu, unaweza ukahisi nao unafanya kazi Kama ya Fifi Motto, hayo nayo Ni madudu??
 
Duh!
 
Kwakweli medulla oblongata nitatizo. Hivi suala la NHIF hulijui? Vipi umeme na mgao uliopo ama kukatikakatika, vipi mkwamo wa ajira vijana wamejiajiri kuokota makopo. Vipi wezi kuhamishwa na kutoshuhulikiwa. Vipi mwendo kasi na changamoto zake. Hujaona kama hospitalini dawa hamna.
Hebu acha kushurutisha watu watoe ya moyoni kuhusu serikali
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…