#COVID19 Chanjo milioni moja hazijaisha tu?

Kituko ni waliokua wanapayuka leteni chanjo ni hiari sisi tutachanja HAWAJACHANJA..
Takwimu za walioxhanja zinatia aibu...mpaka serikali ni kama imekata tamaa..
 
Acha unafiki wewe msukule wa Gwajima,watu tumechanjwa na Wala hakuna madhala yoyote, zaidi utendaji kazi wa baadhi ya mambo umeongezeka mara elfu mwilini
Hahaa kumbe nguvu za kiume kwa familia yako tabu unaamua kuzisaka kwenye chanjo ya korona, ngoja tukusaidie kazi, maana utachoma had chanjo ziishe na nguvu hakuna

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kama usemavyo kwamba mtaani kwenu wapo wazee wengi tena wana matatizo ya afya washauri waende wakachanjwe, vinginevyo muda ni mwalimu mzuri, Corona haina utani na wazee wenye matatizo ya kiafya, USIWAPUMBAZE
 
Kama ulimuangali mkuu wa majeshi na hata Sirro siku ile wakichanjwa unaona kabisa walikubali tu hivyo hivyo.
 
Sijajua kwanini unasema hivyo wakati hata huko kwa wenzetu kuna hadi manesi wamefukuzwa kazi kwa kugoma kuchanjwa yani kwa kifupi hata huko watu wanaogoma wapo.
 
Kituko ni waliokua wanapayuka leteni chanjo ni hiari sisi tutachanja HAWAJACHANJA..
Takwimu za walioxhanja zinatia aibu...mpaka serikali ni kama imekata tamaa..
Ilikuwa inaonekana kwamba kikwazo ni Magufuli tu ndio anakwamisha watanzania kukosa kuchanjwa ila chanjo zimekuja wakuchanjwa wanatafutwa.
 
Kama usemavyo kwamba mtaani kwenu wapo wazee wengi tena wana matatizo ya afya washauri waende wakachanjwe, vinginevyo muda ni mwalimu mzuri, Corona haina utani na wazee wenye matatizo ya kiafya, USIWAPUMBAZE
Mkuu unaongea kana kwamba corona imeingia juzi tu Tanzania kumbe toka mwaka jana ipo halafu sasa ndio et unaona hao wazee watakufa wasipochanjwa, kitu kinachonishangaza ni kwamba watu mshasahau kuhusu kujikinga na corona ili kuzuia maambukizi kitu ambacho unatakiwa kufanya hata baada ya kuchanjwa naona mmekazana kuambiana kuchanja tu.
 
Kwani hao wasanii na ndugu zao jumla yao ni ngapi!! Wameshaishiwa nguvu, sasa hivi wanapambana na Gwajima wanajua yeye ndo chanzo!! Wameliwa na hadi mwaka huu unaisha hizo milioni moja haziishi...
 
Kummammaee zao!!
 
Yaani ukifatilia kiundani kwa akili yako bila kuvurugwa na uvumi wowote, utacheka sana kuhusu huu uhuni nanutapeli.

Safi mkuu
 
Ilikuwa inaonekana kwamba kikwazo ni Magufuli tu ndio anakwamisha watanzania kukosa kuchanjwa ila chanjo zimekuja wakuchanjwa wanatafutwa.
Ndo wajue kuwa wameeua Mtanzania halisi Magufuli, hao wengine ni wa kwào..watanzania halisi tunajijua
 
Je Chanjo zinaexpire lini?
Una maana Serikali inaweza kuwachanja Watu chanjo iliyokwisha muda wake ? Au kuwapa dawa yeyote iliyo- expire ? Kweli unaaminishwa inaweza ikafanya unyama kama huo ? HAIWEZEKANI KABISA KABISA, NENDENI MKACHANJWE JAMENI !!
 
Mbaya zaidi watumishi wa afya ndiyo hawataki hata kuisikia hii chanjo
 
Ndugu uko dunia hii hii au? Kwamba wewe nchini kanada ni asilimia 30 tu wamepata chanjo asilimia 70 wawajapata fuatilia ijekua Kua bongo.

Sent from my SM-G9250 using JamiiForums mobile app
 
Ndo wajue kuwa wameeua Mtanzania halisi Magufuli, hao wengine ni wa kwào..watanzania halisi tunajijua
Tulikuwa tunauliza hapa hao watanzania wanaotaka chanjo wako wapi? wakawa wanasema wako wengi wanaotaka chanjo,haya wameletewa hizo chanjo matokeo yake wanasema watu wanapotosha wakati wenyewe walizitaka toka kipindi cha Magufuli sasa leo Magufuli hayapo hao waliyotaka chanjo wanapotoshwa vp tena? si ajabu hata hawa waliyokuwa wanalilia chanjo humu wengi hawajachanja.
 
Hawana mchezo ndiyo maana kwao corona siyo issue tena
Ingekuwa kwao corona sio issue tena basi wasingekuwa wanatumia nguvu tena kiasi hicho mambo hayo tunatakiwa tufanye sisi huku.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…