Lorenzo Samike
JF-Expert Member
- Jun 18, 2021
- 1,187
- 1,914
Watu gani?Unapimwa na watu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Watu gani?Unapimwa na watu.
Ahahahaahahaaa...You are the one who can't count.
Fucktard.
Straight to ignore list.
Kungekuwa na userious basi sasa ingetumika nguvu katika kuweka masharti ya kupambana na corona ili kudhibiti maambukizi ya corona, ila ndio kwanza serikali imeachia tu watu waambukizane na wenyewe wanasema kabisa hawatotumia nguvu watu wajikinge wenyewe.Kulazimisha mtu kuchoma chanjo Sio lazima mtu ashikwe KWA nguvu, bali ni kuweka taratibu za kumfanya mtu achomwe chanjo,
Kauli ya Mh mbowe ipo sawa, utakichoma chanjo baki wilayani kwako, au mkoani kwako, hatuwezi chukulia Mambo mazito Kama CORONA Kimzaa zaaa
Hao watu wanaosema chanjobiwe lazma, nchi ina watu zaidi ya milioni 60, chanjo ziko ngapi na wana uwezo wa kutoa ngapi?Kungekuwa na userious basi sasa ingetumika nguvu katika kuweka masharti ya kupambana na corona ili kudhibiti maambukizi ya corona, ila ndio kwanza serikali imeachia tu watu waambukizane na wenyewe wanasema kabisa hawatotumia nguvu watu wajikinge wenyewe.
Sasa katika mazingira kama hayo kwenda kukimbilia chanjo ndio tuseme kuna userious hapo?