#COVID19 Chanjo ni Lazima: Hoja ya Mbowe ina Mashiko

#COVID19 Chanjo ni Lazima: Hoja ya Mbowe ina Mashiko

Wewe unayetaka chanjo wasiotaka chanjo wakikulazimisha usipate chanjo utafurahi?

Marekani huwezi kuiepuka wewe mtwana kibweka. Hapa ulipo unatumia mtandao wa Marekani.

Wewe dai chanjo nzuri uchanjwe.

Ukishachanjwa, mostly, hata ukiambukizwa Corona hutaumwa.

Na muachie asiyetaka chanjo hata baada ya kuelimishwa asichanjwe, akipata Corona, alazwe, afe. Kizazi kijacho kipunguze wajinga. Wewe unataka wajinga wazidi wenye maarifa?

Haya mambo mengine ni natural selection tu inapunguza wajinga. Ukitaka kupigana nayo utaleta janga kubwa kuliko Covid.

Mtu ambaye hajali afya yake kiasi cha kukataa chanjo potentially ni janga kubwa kwa dunia na anaweza kuzalisha tatizo kubwa kuliko Covid. Kama anataka kufa, mwache afe. Kwa nininm unataka kulazimisha aishi?

Zaidi ya ukweli kwamba serikali haijatoa chanjo kwa wanaotaka, tatizo liko wapi?

Mtu akikataa chanjo kwa ujinga wake, wakati wewe chanjo imekukinga, wewe kinachokuuma nini?

Umeandika kama vile ndiyo kwanza umerejea duniani:

1. Sina hakika unayaokota kutoka wapi haya hapa chini kwenye blue?

"Marekani huwezi kuiepuka wewe mtwana kibweka. Hapa ulipo unatumia mtandao wa Marekani."

-- Au unamaanisha Marekani ni wewe na wewe ni Marekani?!

2. Hata hivyo nisiache kuyaweka hapa ambayo ndiyo yaliyo msingi wa mada hii. Haiyumkiniki hujayaona (pamoja na kuwemo kwenye uzi huu katika zaidi ya comments 80 kama yalivyo):

IMG_20210720_094159_438.jpg


3. Uyaone vipi wewe ukiwa umejawa ujuaji uchwara au machozi ya mamba machoni?!
4. Wapi unapoona miye mtaka chanjo nikiwa nikiumia au kuwa na uchungu au furaha au kusherehekea au kulazimisha au kushadadia nk, kwa MPUMBAVU au MWEREVU awaye yote kuchanjwa au kutochanjwa?
5. Itoshe kukufahamisha kuwa, sioni jipya lolote katika yote uliyoandika. Labda unionyeshe wewe.
6. Kwa hakika umepwelewa. Huna hoja, wala agenda.

😂😂😂😂😂😂

Hiiiiii bagosha!

Kama taabu yako ni Hotuba ya Mh. Mbowe, hotuba yake iko huku wazi wazi:


Upotoshwaji wa hotuba hiyo na hata sababu zake pia ziko huko.

Kukuweka sawa sawa zaidi, mada hii tuliyo nayo hapa inahusu haya:

IMG_20210720_114420_251.jpg


Tafadhali jiridhishe kuwa uko kwenye mada sahihi ninapo kukaribisha tena duniani.
 
Umeandika kama vile ndiyo kwanza umerejea duniani:

1. Sina hakika unayaokota kutoka wapi haya hapa chini kwenye blue?

"Marekani huwezi kuiepuka wewe mtwana kibweka. Hapa ulipo unatumia mtandao wa Marekani."

-- Au unamaanisha Marekani ni wewe na wewe ni Marekani?!

2. Hata hivyo nisiache kuyaweka hapa ambayo ndiyo yaliyo msingi wa mada hii. Haiyumkiniki hujauona (pamoja na kuwemo kwenye uzi huu katika zaidi ya comments 80 kama yalivyo):

View attachment 1862170

3. Uyaone vipi wewe ukiwa umejawa ujuaji uchwara au machozi ya mamba machoni?!
4. Wapi unapoona miye mtaka chanjo nikiwa nakiumia au kuwa na uchungu au furaha au kusherehekea au kulazimisha au kushadadia nk, kwa MPUMBAVU au MWEREVU awaye yote kuchanjwa au kutochanjwa?
5. Itoshe kukufahamisha kuwa, sioni jipya lolote katika yote uliyoandika. Labda unionyeshe wewe.
6. Kwa hakika umepwelewa. Huna hoja mpya wala agenda.

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Hiiiiii bagosha!

Kama taabu yako ni Hotuba ya Mh. Mbowe, hotuba yake iko huku wazi:


Upotoshwaji wa hotuba hiyo na hata sababu zake ziko huko.

Kukuweka sawa sawa zaidi, mada hii tuliyo nayo hapa inahusu haya:

View attachment 1862213

Tafadhali jiridhishe kuwa uko kwenye mada sahihi ninapo kukaribisha tena duniani.
Kwanza kabisa kubali huwezi kuiepuka Marekani, kwa sababu hata hapa tunatumia mtandao wa Marekani.

Tumalize hili kwanza kabla ya mengine.

One thing at a time.
 
Kwanza kabisa kubali huwezi kuiepuka Marekani, kwa sababu hata hapa tunatumia mtandao wa Marekani.

Tumalize hili jwanza kabla ya mengine.

One thing at a time.

Great! One thing at a time:

1. Karibu duniani.

2. Wapi unapoiokota statement hiyo ambayo ni kweli, "but totally irrelevant" kulingana na mada iliyopo mkononi?
 
Great one thing at a time:

1. Karibu duniani.

2. Wapi unapoiokota statement hiyo ambayo ni kweli, but totally irrelevant kulingana na mada iliyopo mkononi?
Unaandika one thing at a time halafu unapost mambo mawili.

Unajua kuhesabu?
 
Marekani uliyoitaja haina utaratibu wa chanjo kuwa ya lazima kwa watu wote.

Mimi naishi Marekani. Mtaani kwangu kuna nurse. Kazini kwake wanamlazimisha kuchanja. Yeye hataki.

Anafikiria kuacha kazi na kutafuta kazi sehemu nyingine ambayo halazimishwi kuchanja.

Hakuna mpango wowote state yoyote ya Marekani kulazimisha watu kuchanja.

Watu wanaelimishwa umuhimu wa kuchanja na wanahimizwa kuchanja.

Mbowe na wewe ama mna uelewa mdogo wa habari nzima ya "mandatory vaccination", ama mnataka udikteta.

Mnalinganisha limited mandates kama kwa wafanyakazi wa sekta ya afya na mandate ya chanjo kwa watu wote.

Kuna watu hawakubali chanjo kwa sababu za kidini. Kuna watu hawakubali hata kuwekewa damu kwa sababu za kidini.

Hizi ni haki zao za kidini. Mimi sina dini, lakini natetea haki zao za kidini.

Hawa nao mtawalazimisha wachanje?

Ikitokea variant ya Covid ambayo tiba yake pekee ni nyama ya nguruwe, mtawalazimisha Waislamu wasiotaka kula nguruwe wale nguruwe kwa sababu inatibu Covid?
Haya unayoyasema hapa unayarudia maana tumekwisha jadili kuhusu haya hapo awali.

Umeongelea masuala ya kidini, nami naongezea mengine kama matatizo ya kiafya kwa baadhi ya watu. Hizo ni exemptions zinazotambuliwa pia na sera hiyo ya mandatory vaccination.

Hizo exemptions hazizuii sera kutekelezwa ama kufanyiwa kazi.

Sera inaweza kutumika lakini pia baadhi ya watu wakatengwa na kuwekwa katika utaratibu mwingine wa afya kutokana na sababu hizo mbalimbali.

Mandatory vaccination sio lazima iwe kwa watu wote (population-wide), lakini inaweza ikawa population-wide kwa kupitia hatua mbalimbali kwanza.

Huo sio udikteta! Ni sera ya afya ambayo inakubalika kimataifa. Mandatory vaccination policy ambayo ni justifiable inatumika ili kuokoa maisha ya watu hasa wakati wa dharura. Huwezi kusema ni udikteta.
 
Unaandika one thing at a time halafu unapost mambo mawili.

Unajua kuhesabu?

Ninakazia ninajua kuhesabu ndiyo maana:

Swali Lako moja ulileta limejibiwa. Nami mimekuuliza moja ninasubiri majibu.

Au wewe hujui kuhesabu? Au huna majibu?
 
Haya unayoyasema hapa unayarudia maana tumekwisha jadili kuhusu haya hapo awali.

Umeongelea masuala ya kidini, nami naongezea mengine kama matatizo ya kiafya kwa baadhi ya watu. Hizo ni exemptions zinazotambuliwa pia na sera hiyo ya mandatory vaccination.

Hizo exemptions hazizuii sera kutekelezwa ama kufanyiwa kazi.

Sera inaweza kutumika lakini pia baadhi ya watu wakatengwa na kuwekwa katika utaratibu mwingine wa afya kutokana na sababu hizo mbalimbali.

Mandatory vaccination sio lazima iwe kwa watu wote (population-wide), lakini inaweza ikawa population-wide kwa kupitia hatua mbalimbali kwanza.

Huo sio udikteta! Ni sera ya afya ambayo inakubalika kimataifa. Mandatory vaccination policy ambayo ni justifiable inatumika ili kuokoa maisha ya watu hasa wakati wa dharura. Huwezi kusema ni udikteta.
Wapi Mbowe kasema mandatory vaccination si lazima iwe kwa watu wote?

Kama si lazima kwa watu wote Tanzania, how is that mandatory kwa Watanzania?

Na ukishaweka exemptions kwa groups fulani, whats the point ya kulazimisha wengine wasiotaka chanjo wachanjwe?
 
You are the one who can't count.

Fucktard.

Straight to ignore list.

We meet on a common ground.

You are the one who can't count.

Fucktard!

Straight to ignore list.
 
Hivi mfano chanjo ikawa inaleta complications za kiafya kwa raia , ni nani atawajibika na maisha yao na afya (assume hizo complications ni irreversible)?!

Huwezi lazimisha mtu kuweka makitu kwenye mwili wake na hajui yataleta shida gani.

Mkiendelea kulazimisha hivi siku mtalazimisha watu kushare personal info zao au kuwalazimisha wale vyakula wasivyotumia.....

Wapi panapolazimishwa mkuu?

IMG_20210721_131455_708.jpg


Hii pia imekuwapo wazi wazi:

IMG_20210720_094159_438.jpg
 
Wapi Mbowe kasema mandatory vaccination si lazima iwe kwa watu wote?

Kama si lazima kwa watu wote Tanzania, how is that mandatory kwa Watanzania?

Na ukishaweka exemptions kwa groups fulani, whats the point ya kulazimisha wengine wasiotaka chanjo wachanjwe?
Tatizo, hausomi vyema kilichoandikwa. Unasoma tu ili mradi u-reply!

Hakuna anayelazimishwa kwa nguvu. Ila ukiamua kukataa, kuna huduma au ajira ambazo unaweza kuzikosa. Pia kuna sehemu ambazo unaweza usiruhusiwe kuingia hasa katika maeneo yenye mikusanyiko ya watu.

Hiyo ni sera ambayo inakwenda kwa awamu kama ilivyo kwa nchi zingine kadhaa (usiitaje Marekani peke yake). Ndicho alichosema huyo Mbowe.

Ile video si umeileta wewe mwenyewe hapa? Au hata wewe mwenyewe haujaitazama?
 
Tatizo, hausomi vyema kilichoandikwa. Unasoma tu ili mradi u-reply!

Hakuna anayelazimishwa kwa nguvu. Ila ukiamua kukataa, kuna huduma au ajira ambazo unaweza kuzikosa. Pia kuna sehemu ambazo unaweza usiruhusiwe kuingia hasa katika maeneo yenye mikusanyiko ya watu.

Hiyo ni sera ambayo inakwenda kwa awamu kama ilivyo kwa nchi zingine kadhaa (usiitaje Marekani peke yake). Ndicho alichosema huyo Mbowe.

Ile video si umeileta wewe mwenyewe hapa? Au hata wewe mwenyewe haujaitazama?
Nimekuuliza swali wapi Mbowe kasema chanjo isiwe lazima kwa Watanzania?

Hujanionesha aliposema hivyo.

Halafu unanilaumu kwamba nakujibu bila kusoma ulichoandika.
 
Acheni ukuda wenu.
Mimi nikifa wewe unaumia nini? Lazima lazima ndio sitakufa au?

Acheni mambo ya ajabu bana. Hata wakisema leo lazima, sichanji ni bora waniue kuliko kuchanja.

Et unachanja kisa li ugonjwa la kutunga. Ujinga bana. Nikichanja then what? Sitaumwa? Sitakufa? I fear nothing to die when right time comes..
Wewe hata hujui unachoongea, kwani siku zote unapougua kwa nini waga unajitibu kwa nini usijiachie tu ufe.
 
Tatizo, hausomi vyema kilichoandikwa. Unasoma tu ili mradi u-reply!

Hakuna anayelazimishwa kwa nguvu. Ila ukiamua kukataa, kuna huduma au ajira ambazo unaweza kuzikosa. Pia kuna sehemu ambazo unaweza usiruhusiwe kuingia hasa katika maeneo yenye mikusanyiko ya watu.

Hiyo ni sera ambayo inakwenda kwa awamu kama ilivyo kwa nchi zingine kadhaa (usiitaje Marekani peke yake). Ndicho alichosema huyo Mbowe.

Ile video si umeileta wewe mwenyewe hapa? Au hata wewe mwenyewe haujaitazama?
Exactly my point. Nadhani alisoma haraka haraka kunijibu.
 
Nimekuuliza swali wapi Mbowe kasema chanjo isiwe lazima kwa Watanzania?

Hujanionesha aliposema hivyo.

Halafu unanilaumu kwamba nakujibu bila kusoma ulichoandika.
Nimesema hivi, mandatory vaccination sio lazima iwe kwa watu wote (population-wide), lakini inaweza ikawa population-wide kwa kupitia awamu au hatua mbalimbali kwanza.

Yeye Mbowe amependekeza hiyo option ya pili, ukiitazama hiyo video mahali alipozungumza kuhusu "mandatory".
 
Kwa nini swali liwe mimi au wanasayansi wa Ulaya?

Where is this false dichotomy coming from?
Hebu ngoja kidogo, achana na hicho Kiingereza kwanza...

Umesema kwamba watu wanapaswa kupewa "chanjo nzuri"?

Ndiyo nakuuliza weye, huo uzuri wa chanjo unapimwa na nani?
 
Back
Top Bottom