Kulazimisha mtu kuchoma chanjo Sio lazima mtu ashikwe KWA nguvu, bali ni kuweka taratibu za kumfanya mtu achomwe chanjo,
Kauli ya Mh mbowe ipo sawa, utakichoma chanjo baki wilayani kwako, au mkoani kwako, hatuwezi chukulia Mambo mazito Kama CORONA Kimzaa zaaa