Moisemusajiografii
JF-Expert Member
- Nov 3, 2013
- 43,960
- 77,533
Tena weye unatakiwa utandikwe na viboko vya shingoni hadi upate chanjo.πππππAcheni ukuda wenu.
Mimi nikifa wewe unaumia nini? Lazima lazima ndio sitakufa au?
Acheni mambo ya ajabu bana. Hata wakisema leo lazima, sichanji ni bora waniue kuliko kuchanja.
Et unachanja kisa li ugonjwa la kutunga. Ujinga bana. Nikichanja then what? Sitaumwa? Sitakufa? I fear nothing to die when right time comes..
To be honest siko tayari kuchanjwa.......
Acheni ukuda wenu.
Mimi nikifa wewe unaumia nini? Lazima lazima ndio sitakufa au?
Acheni mambo ya ajabu bana. Hata wakisema leo lazima, sichanji ni bora waniue kuliko kuchanja.
Et unachanja kisa li ugonjwa la kutunga. Ujinga bana. Nikichanja then what? Sitaumwa? Sitakufa? I fear nothing to die when right time comes..
Muulize ni nini kinachomfanya aikatae chanjo?Uganda na Rwanda hapana kuendekeza ujinga.
Kumbuka ujinga si tusi. Ni suala la kutokuelewa tu.
Ujinga dawa yake ni elimu dunia tu mkuu.
Huku kwetu tutabembelezana baadaye kutakuwa na vikwazo hapa na pale. Mdogo mdogo tutafika tu.
Hiyo ndiyo sayansi ya chanjo.
Umetoa mfano wa Uganda na Rwanda, ebu tuambie mpaka sasa ni asilimia ngapi huko Uganda na Rwanda wamepata hizo chanjo? halafu ndio nitaendelea na swali la ziadaKama mwuungwana tokea pande za Pwani niliyeukataa ukanjanja katika nyanja zote, nina lazimika kutia neno juu ya maneno ya hekima yake Mwamba Aboubakar Laigwanan Mbowe (Mola amjalie maisha marefu).
Uhalisia kuhusiana na chanjo yoyote ni huu hapa:
"Chanjo ina maana kama tu idadi kubwa na ya kutosha katika jamii inakuwa imeipokea. Vinginevyo inakuwa haina maana."
Kiuhalisia chanjo ni kwa manufaa ya wanayoipokea. Serikali zina wajibu wa kuona watu wake wananufaika chanjo husika.
Kuweza kuwapata idadi kubwa kadri iwezekanavyo mbinu mbali mbali hutumika zikiwamo kutoa elimu, ushawishi na hata kutumia nguvu ikibidi.
Kwa wanaume wa shoka, pande za Rwanda na Uganda, huko hakuna cha lele mama au mswalia mtume. Huko kuchanjwa ni lazima na bakora kumhusu mtu anayeleta ujuaji wala si issue.
Kwingine uthibitisho wa chanjo huhitajika kabla ya kupata huduma kama vile usajili, usafiri, ruhusa nk kama kishawishi. Chanjo inakuwa hiari, lakini ni lazima kabla ya huduma husika.
Kwa jamii zilizostaarabika vilivyo na zenye kujitambua, huko chanjo ni vitu vinavyoeleweka.
Rejelea hali halisi ya kwetu ambapo tokea Apr 2020 hazipo takwimu mpya za Corona. Yaani tokea hapo hakuna mgonjwa wala aliyekufa kwa Corona isipokuwa kaka yake Mbowe.
Katika kipindi hicho pia watu wameaminishwa kuwa huu ugonjwa haupo. Bali Corona ni vita vya kiuchumi na chanjo hizi ni sehemu tu katika kuwaangamiza wao.
Hiiiiii bagosha!
Waliowaaminisha hivyo ni Rais wa nchi akishirikiana na wizara yenye dhamana na afya za watu. Katika walioaminishwa hivyo, wengi wao ni "the ignorant mass" vijijini; wakiwamo sungu sungu, wapiga debe, machinga, vibaka vibaka na wa namna hiyo.
Una ibadili vipi mitizamo ya watu kama hao, huku watu wakiendelea kufa?
Ikumbukwe kuwa hadi sasa serikali yetu haitoi takwimu zozote na hayupo ajuaye hali ni njema au mbaya kiasi gani.
Kwa hakika mwenye kujua faida za chanjo na kuthamimi maisha ya watu hatachelea kutumia nguvu kuwataka watu kuchanjwa ambayo aghalabu ni kwa faida yao.
Ama kwa hakika itakuwa jambo la kushangaza kwa serikali yoyote, kama itakaa kimya iache watu kufa iwapo matumizi ya nguvu tu yangali nusuru maisha dhidi ya ujinga wao.
Viva Museveni na viva Kagame kwa kuyajali maisha ya watu wenu vilivyo kiasi cha kutumia nguvu stahiki inapobidi katika kuwanusuru.
Kwa hakika waja nyie mnayo thwawabu kubwa huko mbinguni, Inshallah!
Cc: BAK Erythrocyte technically Salary Slip Jumbe Brown Mshana Jr
Kwa hiyo ukipewa asilimia ndiyo zitakuponya na maradhi?Pokea chanjo acha maroroso.ππππUmetoa mfano wa Uganda na Rwanda, ebu tuambie mpaka sasa ni asilimia ngapi huko Uganda na Rwanda wamepata hizo chanjo? halafu ndio nitaendelea na swali la ziada
Kama hauna Data za kunijibu kaa pembeni, nataka kujua asilimia ngapi Rwanda na Uganda wamepata chanjoKwa hiyo ukipewa asilimia ndiyo zitakuponya na maradhi?Pokea chanjo acha maroroso.ππππ
It won't help you.Mwisho utauliza kama wanakula mara ngapi kwa siku.Unapaswa upate chanjo usife kibudu.Kama hauna Data za kunijibu kaa pembeni, nataka kujua asilimia ngapi Rwanda na Uganda wamepata chanjo
Ndio shida ya misukule unaulizwa Data unaleta porojo , Uganda na Rwanda asilimia ngapi wamepata chanjo?It won't help you.Mwisho utauliza kama wanakula mara ngapi kwa siku.Unapaswa upate chanjo usife kibudu.
Data haitokusaidia weye!Utakaa unasoma data za wenzio huku unapangusa makamasi ya korona?Kuwa mwerevu.Pata chanjo.Mambo ya Uganda na Rwanda watahesabiana huko.Ndio shida ya misukule unaulizwa Data unaleta porojo , Uganda na Rwanda asilimia ngapi wamepata chanjo?
Kusaidia au kutokusaidia hiyo sio kazi yako, lete hapa Data acha mboyoyo watu kiasi gani Rwanda na Uganda wamepata chanjo?Data haitokusaidia weye!Utakaa unasoma data za wenzio huku unapangusa makamasi ya korona?Kuwa mwerevu.Pata chanjo.Mambo ya Uganda na Rwanda watahesabiana huko.
Sasa ukishapewa hizo namba ndiyo unataka upigie nyungu? Chawa ni chawa.πππππKusaidia au kutokusaidia hiyo sio kazi yako, lete hapa Data acha mboyoyo watu kiasi gani Rwanda na Uganda wamepata chanjo?
Watu wanaojitambua.Covid-19: Turkmenistan becomes first country to make vaccination mandatory for all adults
Turkmenistan will legally require all residents over 18 to be vaccinated against the coronavirus, the countryβs health ministry said on 7 July. Only those with medical contraindications will be exempted. Turkmenistanβs vaccine laws will be the strictest in the world, surpassing those of Saudi...www.bmj.com
Ndio shida ya misukule nilishasema toka mwanzo nataka data ili niulize swali la ziada, badala yake Data hakuna unapuyanga tuuuuSasa ukishapewa hizo namba ndiyo unataka upigie nyungu?Chawa ni chawa.πππππ
Jamaa waoga wa kudungwa sindano.Wanaweza hata kuhama nchi.πππWatanzania, kwanini mnaogopa chanjo? Mbona ni kitu cha kawaida tu!
Alafu hapo kwenye "lazima" watu wanadhani utafuatwa nyumbani na maaskari na nesi akuchome kwa nguvu. Ulazima wa chanjo ni masuala ya sera na mipango tu!
Weye hata ukipewa data mbona hautaacha kupiga nyungu.Chawa.πππNdio shida ya misukule nilishasema toka mwanzo nataka data ili niulize swali la ziada, badala yake Data hakuna unapuyanga tuuuu
Kuruka ruka kwa maharage ndio kuiva kwake, Data unazo au unajichekesha?Weye hata ukipewa data mbona hautaacha kupiga nyungu.Chawa.πππ
Data hupewi na chanjo utachanjwa kwa nguvu.Kama umenuna jigongeshe ukutani.Kuruka ruka kwa maharage ndio kuiva kwake, Data unazo au unajichekesha?
Hauna data kaa pembeni, endeleeni kudanganyana misukule ya MboweData hupewi na chanjo utachanjwa kwa nguvu.Kama umenuna jigongeshe ukutani.