Moisemusajiografii
JF-Expert Member
- Nov 3, 2013
- 43,960
- 77,533
Hata ukipewa data hazitokusaidia.Endelea kupiga nyungu huku unapiga mikelele kama unabakwa.Hauna data kaa pembeni, endeleeni kudanganyana misukule ya Mbowe
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hata ukipewa data hazitokusaidia.Endelea kupiga nyungu huku unapiga mikelele kama unabakwa.Hauna data kaa pembeni, endeleeni kudanganyana misukule ya Mbowe
Kule kwetu kuna usemi kuwa ukicheza na mjinga atakulambisha kinyesi ,huyu TONDO mbowe anawalisha wapuuzi wanzake ujingaKama mwuungwana tokea pande za Pwani niliyeukataa ukanjanja katika nyanja zote, nina lazimika kutia neno juu ya maneno ya hekima yake Mwamba Aboubakar Laigwanan Mbowe (Mola amjalie maisha marefu).
Uhalisia kuhusiana na chanjo yoyote ni huu hapa:
"Chanjo ina maana kama tu idadi kubwa na ya kutosha katika jamii inakuwa imeipokea. Vinginevyo inakuwa haina maana."
Kiuhalisia chanjo ni kwa manufaa ya wanayoipokea. Serikali zina wajibu wa kuona watu wake wananufaika chanjo husika.
Kuweza kuwapata idadi kubwa kadri iwezekanavyo mbinu mbali mbali hutumika zikiwamo kutoa elimu, ushawishi na hata kutumia nguvu ikibidi.
Kwa wanaume wa shoka, pande za Rwanda na Uganda, huko hakuna cha lele mama au mswalia mtume. Huko kuchanjwa ni lazima na bakora kumhusu mtu anayeleta ujuaji wala si issue.
Kwingine uthibitisho wa chanjo huhitajika kabla ya kupata huduma kama vile usajili, usafiri, ruhusa nk kama kishawishi. Chanjo inakuwa hiari, lakini ni lazima kabla ya huduma husika.
Kwa jamii zilizostaarabika vilivyo na zenye kujitambua, huko chanjo ni vitu vinavyoeleweka.
Rejelea hali halisi ya kwetu ambapo tokea Apr 2020 hazipo takwimu mpya za Corona. Yaani tokea hapo hakuna mgonjwa wala aliyekufa kwa Corona isipokuwa kaka yake Mbowe.
Katika kipindi hicho pia watu wameaminishwa kuwa huu ugonjwa haupo. Bali Corona ni vita vya kiuchumi na chanjo hizi ni sehemu tu katika kuwaangamiza wao.
Hiiiiii bagosha!
Waliowaaminisha hivyo ni Rais wa nchi akishirikiana na wizara yenye dhamana na afya za watu. Katika walioaminishwa hivyo, wengi wao ni "the ignorant mass" vijijini; wakiwamo sungu sungu, wapiga debe, machinga, vibaka vibaka na wa namna hiyo.
Una ibadili vipi mitizamo ya watu kama hao, huku watu wakiendelea kufa?
Ikumbukwe kuwa hadi sasa serikali yetu haitoi takwimu zozote na hayupo ajuaye hali ni njema au mbaya kiasi gani.
Kwa hakika mwenye kujua faida za chanjo na kuthamimi maisha ya watu hatachelea kutumia nguvu kuwataka watu kuchanjwa ambayo aghalabu ni kwa faida yao.
Ama kwa hakika itakuwa jambo la kushangaza kwa serikali yoyote, kama itakaa kimya iache watu kufa iwapo matumizi ya nguvu tu yangali nusuru maisha dhidi ya ujinga wao.
Viva Museveni na viva Kagame kwa kuyajali maisha ya watu wenu vilivyo kiasi cha kutumia nguvu stahiki inapobidi katika kuwanusuru.
Kwa hakika waja nyie mnayo thwawabu kubwa huko mbinguni, Inshallah!
Cc: BAK Erythrocyte technically Salary Slip Jumbe Brown Mshana Jr
Mjomba wenu alikuwa na tunenoneno twa dharau hivyohivyo.Mwisho akafukiwa na kujengewa wigo wa mabati.Kule kwetu kuna usemi kuwa ukicheza na mjinga atakulambisha kinyesi ,huyu TONDO mbowe anawalisha wapuuzi wanzake ujinga
Hata ukipewa data hazitokusaidia.Endelea kupiga nyungu huku unapiga mikelele kama unabakwa.
Hata nikila mavi afya ni Mali yangu mimi, ndio nyungu zimenisaidia wave ngapi zimepita niko ngangari? wewe ni msukule wa Mbowe huwezi kujitambua ,ndio maana mnatoa mfano wa nchi ambazo Data pia hamnaHata ukipewa data hazitokusaidia.Endelea kupiga nyungu huku unapiga mikelele kama unabakwa.
Kama unataka data kwa nini usimpigie simu Museveni au Kagame?Hata nikila mavi afya ni Mali yangu mimi, ndio nyungu zimenisaidia wave ngapi zimepita niko ngangari? wewe ni msukule wa Mbowe huwezi kujitambua ,ndio maana mnatoa mfano wa nchi ambazo Data pia hamna
Mbowe na mtoa taarifa mnateseka mkiwa wapi.?
Admin unganisheni huu Uzi na Uzi mama
Hakuna sababu ya multiple threads
Kabisa, nakubaliana nawe, hii nchi imejaa wajinga wengi sana, wanafuata mikumbo tu.Mbowe yupo sahihi ila kwa Tanzania iliyojaa vilaza ataonekana kituko.
Watu wamedanganywa chanjo ni vita ya kiuchumi hivyo wazungu wanataka kutuangamiza.
Makanisani kina Gwajima wanasema chanjo ni alama ya mpinga Kristo 666 hivyo huu ni ujio wa NEW WORLD ORDER.
Unaogopa nini?Admin unganisheni huu Uzi na Uzi mama
Hakuna sababu ya multiple threads
Kule kwetu kuna usemi kuwa ukicheza na mjinga atakulambisha kinyesi ,huyu TONDO mbowe anawalisha wapuuzi wanzake ujinga
kwanza chanjo ya nini na wakati mlituambia hakuna korona.alafu ujinga mwingine kama huu msiwe mnatuletea humu usikia we punguuKama mwuungwana tokea pande za Pwani niliyeukataa ukanjanja katika nyanja zote, nina lazimika kutia neno juu ya maneno ya hekima yake Mwamba Aboubakar Laigwanan Mbowe (Mola amjalie maisha marefu).
Uhalisia kuhusiana na chanjo yoyote ni huu hapa:
"Chanjo ina maana kama tu idadi kubwa na ya kutosha katika jamii inakuwa imeipokea. Vinginevyo inakuwa haina maana."
Kiuhalisia chanjo ni kwa manufaa ya wanayoipokea. Serikali zina wajibu wa kuona watu wake wananufaika chanjo husika.
Kuweza kuwapata idadi kubwa kadri iwezekanavyo mbinu mbali mbali hutumika zikiwamo kutoa elimu, ushawishi na hata kutumia nguvu ikibidi.
Kwa wanaume wa shoka, pande za Rwanda na Uganda, huko hakuna cha lele mama au mswalia mtume. Huko kuchanjwa ni lazima na bakora kumhusu mtu anayeleta ujuaji wala si issue.
Kwingine uthibitisho wa chanjo huhitajika kabla ya kupata huduma kama vile usajili, usafiri, ruhusa nk kama kishawishi. Chanjo inakuwa hiari, lakini ni lazima kabla ya huduma husika.
Kwa jamii zilizostaarabika vilivyo na zenye kujitambua, huko chanjo ni vitu vinavyoeleweka.
Rejelea hali halisi ya kwetu ambapo tokea Apr 2020 hazipo takwimu mpya za Corona. Yaani tokea hapo hakuna mgonjwa wala aliyekufa kwa Corona isipokuwa kaka yake Mbowe.
Katika kipindi hicho pia watu wameaminishwa kuwa huu ugonjwa haupo. Bali Corona ni vita vya kiuchumi na chanjo hizi ni sehemu tu katika kuwaangamiza wao.
Hiiiiii bagosha!
Waliowaaminisha hivyo ni Rais wa nchi akishirikiana na wizara yenye dhamana na afya za watu. Katika walioaminishwa hivyo, wengi wao ni "the ignorant mass" vijijini; wakiwamo sungu sungu, wapiga debe, machinga, vibaka vibaka na wa namna hiyo.
Una ibadili vipi mitizamo ya watu kama hao, huku watu wakiendelea kufa?
Ikumbukwe kuwa hadi sasa serikali yetu haitoi takwimu zozote na hayupo ajuaye hali ni njema au mbaya kiasi gani.
Kwa hakika mwenye kujua faida za chanjo na kuthamimi maisha ya watu hatachelea kutumia nguvu kuwataka watu kuchanjwa ambayo aghalabu ni kwa faida yao.
Ama kwa hakika itakuwa jambo la kushangaza kwa serikali yoyote, kama itakaa kimya iache watu kufa iwapo matumizi ya nguvu tu yangali nusuru maisha dhidi ya ujinga wao.
Viva Museveni na viva Kagame kwa kuyajali maisha ya watu wenu vilivyo kiasi cha kutumia nguvu stahiki inapobidi katika kuwanusuru.
Kwa hakika waja nyie mnayo thwawabu kubwa huko mbinguni, Inshallah!
kwanza chanjo ya nini na wakati mlituambia hakuna korona.alafu ujinga mwingine kama huu msiwe mnatuletea humu usikia we punguu
unataka kuniambia kwamba mwendazake alituongopea kuwa hakukuwa na koronaAliyekwambia korona hamna yuko Chatto nenda ukamwambie hayo.
Kwenye chanjo:
Hoja ya Mbowe ina mashiko iwapo Corona ni existential threat ya Taifa au kama kuna uwezekano wa Wananchi wengi sana kufa kwa ugonjwa huo.
Tukifikia hatua hiyo hata hao wanaomponda Mbowe watapiga kelele wenyewe kuitaka serikali iharakishe upatikanaji wa chanjo
Uko sahihi, Mbowe ameweka mbele maslahi ya watu wengi, anaamini kwa dhati ili kunusuru uhai wa watu wengi basi wachanjweMsingi wa hoja uko hapa:
1. Mbowe angeweza kuwa mbinafsi akanyamaza kama walivyo nyamaza wenye kutuaminisha ugonjwa haupo na watu hawafi.
2. Mbowe angeweza kuwa mbinafsi kuacha kuirejea sayansi ya chanjo inayohitaji ulazima wa idadi kubwa ya watu kuchanjwa kabla ya chanjo kuwa na manufaa kwa jamii.
3. Wote serikali na wenye uelewa wanafahamu ugonjwa upo na unauwa ila wako kimya (ubinafsi mkubwa).
4. Wote serikali na wenye uelewa wa sayansi ya chanjo wanaelewa ni lazima threshold inayotakiwa ichanjwe kwa jamii kunufaika na chanjo ila wako kimya (ubinafsi mkubwa).
Kwa hali hii basi Mbowe analaumiwa kwa kutokuwa mbinafsi.
Hiiiiii bagosha!