Washawasha
JF-Expert Member
- Aug 7, 2006
- 16,717
- 13,176
Kwahiyo hapa rais anawauza raia wake?Marais waliopata chanjo msisanganyike kuwa ile ni chanjo, ni danganya toto mbele ta camera ili watu waamini haina madhara.
Hakuna raisi achome haya ma chanjo yasioeleweka.wanachoma dawa nyingine kuhamasisha watu wapate chanjo ili wao watimize mashart waliopewa.
Nalog off