Chanzo ambacho hakisemwi cha ongezeko la ushoga ni ushirikina, wazazi wachungeni sana vijana wenu wa kiume

Chanzo ambacho hakisemwi cha ongezeko la ushoga ni ushirikina, wazazi wachungeni sana vijana wenu wa kiume

Kuna mmoja yeye pesa zake zinamtaka aingiliwe, ila wengi wao ni matokeo ya wanaume waharibifu wasio na hofu.! Mjomba, baba mdogo, babu. Hawa watu ni waharibifu sana. Sema jf hahiruhusu kuweka video, ila ningeweka muone baba mtu mzima anampanda ng’ombe na mate anampakia. Sasa mtu km huyo ukimuacha na mtoto atashindwa kumuingilia??!
Afya ya akili ni tatizo na janga kubwa kitaifa
 
Kwa jinsi nnaowaona huku mtaani mtoto wa kiume hata kubeba tofali hataki anaona anachafuka.. Mabishoo wako kwenye hatari zaidi ya kuwa Gays
Maana wanaishi maisha flani fantasy mwanaume ukishaanza kuona unapenda ubishoo mpaka kazi za kiume unaona noma yani umebakiza hatua 2 uwe shoga!!! Mana utaona kila kitu kigumu heri ukauze msambwanda upate mil 1 ukae magetoni unacheza Ps sijui Netflix utauza tena upate kafrem ka Kuuza ma t shirt
Yani hutaki ugumu
 
Wanaume itisheni kikao cha dharura mjitathimini...kama sio wewe basi ni mwanao wa kiume au wa ndugu yako au wa dada yako..angalieni tabia zenu hizo mbaya..chanzo ni nyie wenyewe...mkibadilika walai dunia itakua salama...
 
Sema jf hahiruhusu kuweka video, ila ningeweka muone baba mtu mzima anampanda ng’ombe na mate anampakia. Sasa mtu km huyo ukimuacha na mtoto atashindwa kumuingilia??!
Samahani mkuu, umehifadhi video ya hivi kwenye simu yako?
 
Kwa jinsi nnaowaona huku mtaani mtoto wa kiume hata kubeba tofali hataki anaona anachafuka.. Mabishoo wako kwenye hatari zaidi ya kuwa Gays
Maana wanaishi maisha flani fantasy mwanaume ukishaanza kuona unapenda ubishoo mpaka kazi za kiume unaona noma yani umebakiza hatua 2 uwe shoga!!! Mana utaona kila kitu kigumu heri ukauze msambwanda upate mil 1 ukae magetoni unacheza Ps sijui Netflix utauza tena upate kafrem ka Kuuza ma t shirt
Yani hutaki ugumu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Hivi karibuni kumekuwa na ongezeko kubwa la vijana mashoga au mabwabwa au mchicha mwiba tena ajabu zaidi vijana hawa wanaonyesha kuwa na maisha makubwa wanaishi kwenye apartment za masaki, osterbay na kigamboni mnajua siri ya hao vijana.?

Kuna wafanyabiashara na viongozi mbalimbali wanawatumia hawa vijana kinyume na maumbile km sehemu ya wao kutimiza masharti ya waganga wa kienyeji ili kufanikisha mambo yao.

Bahati mbaya hawa vijana wao wanaon km wameyapatia kumbe wanatumiwa tu na malipoyk ndio wanapangishiwa hizo apartments na nyumba zima.. ili muda wwte wakubwa hao wakitaka kufanya uchafu wao huo iwe rahisi.

Jaman hichi nilichoandika ni kweli kabisa nimeshuhudia na kuprove kwa macho yangu kutoka kwa watu wangu wa karibu nilikutana nao sehemu tofauti kikazi ambao ni waathirika wa unyama huu wao wanaona sawa maana wanaishi expensive life hadi magari wamenunuliwa hawaelewi.

Uchuguzi wangu nimegundua Mmoja anatajiri mkubwa wa mmadini na mwingine mtu wake ni katibu mkuu wizara moja hivi..a


Kuna mhubiri mmoja alisema kwenye White house Fulani shetani ndiye anatawala !

Alikamatwa lakini ukifuatilia matukio yanyotokea unaamini kuwa sasa ni shetani amepata uhuru zaidi wa kutawala nchi na matukio makubwa bado yatakuja kama watanzania hatutashtuka na kuamua kudai katiba mpya inayowapa watu wengi nguvu ya kuwaondoa waovu wachache wanaowaza fedha na mali na kuwakejeli wananchi kuwa wanalalamika kuwa hakuna fedha kwa sababu ya ujinga wao na kama waaona maisha ni magumu wahame nchi.

Ni kweli kuwa dini za kigeni zilikuja na changamoto zake lakini kuna mambo mengi vitabu vya dini vilionya sana na kuwapa tahadhari sana wanadamu.
Yesu ni msingi wa uadilifu ,utu ,ukweli, na mfano mwema mana alizaliwa na kulelelewa na mwanamke asiyekua na dhambi. Kwa waislam wao wameenda mblali zaidi kwa kusema kuwa Mariam mama yake Yesu alikua analetewa chakula toka mbinguni kwa muda wote aliokua na ujauzito wa Yesu. Kwasababu aliyekua anazaliwa alikua ni mtakatifu sana.

Kama Yesu alikua mtakatifu sana basi ni lazima tuyasililize mafundisho yake na kuyatii.

Shetani anahangaika sana sana Mamlaka au utawala na ufahari. Yaani wanadamu wakimsahau Mungu kidogo tu shetani anaweka mtawala wake juu ya watu.

Watu wanahongwa mapesa ya dhulma na wizi kisha wanashangilia nchi kukosa tamko la kiutawala juu ya waovu wanaotumia ufahari wa dunia na kuharibu kizazi kizima. Kuna watu wanaletewa mabiloni ya pesa toka nje kuharibu vijana na watoto kupitia NGOs kama ile ya Kapuya . Zipo nyingi sana . Ufahari na umiliki au utawala au mamlaka ndio chanzo. Hakuna mtu anayejali tena maadili kwa jamii.

Ni rahisi kuona watu wanatumia nguvu kubwa kupambana na wanawake makahaba wanaofanya ngono kwa tamaa zao na miili yao lakini wapo kimya kufuatilia Taasisi zinaoeneza ushoga wakati wametajwa na Mwakyembe live .

Lamada ipo mita chache sana kutoka Ofisi ya mkuu wa mkoa lakini hatukusikia Polisi wala mkuu wa Wilaya wala mkoa akivamia eneo lile na kuwakamata au hata kueahoji watuhumiwa au kufuatilia taarifa ya mwakyembe na kufunga lile danguro la Sodoma na Gomora.

Kulaeiti wanaume imekuwa ni halali lakini wanawake walevi na wanaume walevi kukutana bar na kwenda kulewa kisha kwenda kufanya yao kwenye magesti ni haramu.

Kama tunataka maadili basi tutunge sheria kali ya walawiti, wazinzi bila kujali umaarufu wa mtu.

Tumetajiwa wazi mlawiti mmoja mwenye mamlaka kule kanda ya ziwa lakini kwa sababu ana fedha na mamlaka jambo hilo ovu likageuzwa kuwa ni la kisiasa .

Kuna wakati JPM alikua akilizungumzia hilo janga alikua analizungumza kwa kumaanisha na kwa nia ya dhati ya kulikomesha na wahusika walijawa na hofu kubwa sana.

Sasa watu wema ndio wanahofu na kuhofia watoto wao kulawitiwa na kundi dogo sana la watu waovu.

Kundi la watu wasiozidi 5000 wakiachwa wataharibi kizazi cha watu milioni 60 kwa sababu ya kumsujudia shetani ili wapate mamlaka na ufahari wa dunia kirahisi.

CCM wanatafuta madaraka kwa njia haramu ya rushwa ,kutisha watu,kununua vitambulisho vya mpiga kura , kuteka watu ,kubadili matokeo ,wizi wa kura n.k. Haya yote ni matendo ya kishetani na yanaleta serikali ya kishetani na matokeo yake ni kukithiri kwa vitendo vya kishetani.

2025 watanzania tukatae kuweka madarakani watu kwa mbinu za kishetani.

Tutajuta zaidi kwa sababu tumeona matokeo ya wizi wa kura na ushetani wake unavyoliangamiza taifa kwa kasi kubwa . Tunaelekea kufanana sana na Kongo.
Kule kongo kuna watu wanauana na kuchinjana na hata kuwala watu wengine kama chakula kwa sababu ya unyama uliotokana na wawekezaji wanaogombania utajiri wa kongo. Fedha imeabudiwa badala ya kazi na utu.

Sidhani kuwa Korea ya Kaskazini kuna mwananchi anayeweza kuweka Danguro la kulawiti watoto akabaki salama. Hayo yapo Huku kwenye manchi ya kibepari kutokana na kuabudu fedha badala ya Mungu.

Wakati wa kampeni tumchague mtu aliyepigania Katiba mpya tangu mwanzo na tumkatae mtu aliyehujumu mchakato wa Katiba mpya kwa malengo ya kisiasa badala ya Taifa na vizazi vijavyo.
 
Back
Top Bottom