cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 96,456
- 156,324
Why are you straight?Why are you gay!?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Why are you straight?Why are you gay!?
You are gayWhy are you straight?
Who says am gayYou are gay
Kama Diamond anavyomtumia Noel, kweli yawezekana kuna ukweliHivi karibuni kumekuwa na ongezeko kubwa la vijana mashoga au mabwabwa au mchicha mwiba tena ajabu zaidi vijana hawa wanaonyesha kuwa na maisha makubwa wanaishi kwenye apartment za masaki, osterbay na kigamboni mnajua siri ya hao vijana.?
Kuna wafanyabiashara na viongozi mbalimbali wanawatumia hawa vijana kinyume na maumbile km sehemu ya wao kutimiza masharti ya waganga wa kienyeji ili kufanikisha mambo yao.
Bahati mbaya hawa vijana wao wanaon km wameyapatia kumbe wanatumiwa tu na malipoyk ndio wanapangishiwa hizo apartments na nyumba zima.. ili muda wwte wakubwa hao wakitaka kufanya uchafu wao huo iwe rahisi.
Jaman hichi nilichoandika ni kweli kabisa nimeshuhudia na kuprove kwa macho yangu kutoka kwa watu wangu wa karibu nilikutana nao sehemu tofauti kikazi ambao ni waathirika wa unyama huu wao wanaona sawa maana wanaishi expensive life hadi magari wamenunuliwa hawaelewi.
Uchuguzi wangu nimegundua Mmoja anatajiri mkubwa wa madini na mwingine mtu wake ni katibu mkuu wizara moja hivi..
Haya mambo yapo mkuu nasikia matajiri wengi kwa sasa hawataki kumwaga damuWeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee!!!!!!!!!!!...da!!!!!,,,,,,,,,,,kwa ivo ukimla m2 KIBOGA mkwanja unakuja kivipi??? mbona sielewi???,,,,yaani mpunga unatokea kwenye makalio ya SHOGA kama PRINTER HP500 au?
You are straightYou are gay
Hey which side are you? TeheeeeeeBadooo hamjasemaaaa!!! Poleeeee
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Both. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hey which side are you? Teheeeeee
Sound like good to goBoth. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ni mafuska, wezi wa mali za umma, waesherati na waongo mnoHawa ndio wanaongoza Kwa kula vi-onye kitaa
Mtoto wa kiume toka kazaliwa hajawai muona mwanaume pale nyumbani akifunga taulo kiunoni, yeye anamuona mama yake kila siku amefunga kanga kifuwani, sasa wwe unategemea nini kama nako si kujifunza kufunga kanga kifuwani badala ya taulo kiunoni!!?naingilia hoja!!!,,masingo maza wamekuwa wengi,then wanalea watoto wao wa kiume kama wa kike vile!! katoto ka kiume knpigwa skrabu,kanaoshwa kucha, na kanapakwa black mpaka kanajisifia"mimi mdhuri" alaf kanashuhudia mamake akinyanduliwa na maanko tofauti huku mama akigugumia KAROTI kwa furaha!! matokeo yake mtoto anamuiga maza aake !!
Da!!!.....yaani mwanaume mzima anakubali kuliwa kiboga!!! kisa maisha!!!Haya mambo yapo mkuu nasikia matajiri wengi kwa sasa hawataki kumwaga damu
Tunamshukuru Mungu Muumba wa Vyote ametuletea Mwabukusi.Wabunge na mawaziri, Mungu anawaona👉