Kidbway yupo Clouds saiv kwenye kamati ya Fiesta na kina Seba Maganga,,uyo mwengine unaemzungumzia ni Frederick Bundala Sky Walker au?Sijui wengine huwa mnaangalia vipi uwezo wa watangazaji.
Iko hivi kwa show za mchana Tanzania yote hakuna kama Twangala.
Hao kina crispin ni wapiga kelele tu hawajui kitu.
Mtu aliyekuwa anamuweza Dozen kwa show za mchana alikuwa Kidbway na mwamba mmoja nimemsahau wa RFA miaka hiyo now days namuona yupo na online radio.
Hivi unamjua vizuri Kenedy The remedy weweKwaiyo XXL ndo basi tena
AiseeKidbway yupo Clouds saiv kwenye kamati ya Fiesta na kina Seba Maganga,,uyo mwengine unaemzungumzia ni Frederick Bundala Sky Walker au?
SkywalkerSijui wengine huwa mnaangalia vipi uwezo wa watangazaji.
Iko hivi kwa show za mchana Tanzania yote hakuna kama Twangala.
Hao kina crispin ni wapiga kelele tu hawajui kitu.
Mtu aliyekuwa anamuweza Dozen kwa show za mchana alikuwa Kidbway na mwamba mmoja nimemsahau wa RFA miaka hiyo now days namuona yupo na online radio.
EXTRA EXTRA LARGE!XXL maanayake nini
OK kijanaEXTRA EXTRA LARGE!
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Mkuu unaonekana unampenda sana Mbowe aisee! Yaani wakizingumzia mziki wewe unamtaja Mbowe, nasubiri wazungumzie mpira umtaje tena
[emoji848]Huyu si ndie aliyembebelezwa kule bukoba ama?
Hebu tupe na wewe maoni yako hapa maana najua utakuwa na info tuHuyu si ndie aliyembebelezwa kule bukoba ama?
Hii kauli aliizungumza wiki iliyopita kwa 90% inaweza kuwa sababu ya kuhama.
Mngt baada kusikia kauli yake labda wakaamua waifanyie kazi kali yake.
Kwani huko alikotaja wamemtaka?Boss mwenyewe alimpigia jamaa simu live, pia wanafanya biashara pamoja.Sasa wasielewane na mfanyakazi wake kisa kamtaja huyo jamaa si angeenda huko alikotaja
Yah mkuuOK kijana
EX=X
Kwani huko alikotaja wamemtaka?
Boss mwenyewe alimpigia jamaa simu live, pia wanafanya biashara pamoja.Sasa wasielewane na mfanyakazi wake kisa kamtaja huyo jamaa si angeenda huko alikotaja