Je, unakubali hakuna jibu ? na kwa vizazi vyote vilivyopita na vijavyo hakutatokea jibu ? Nini majibu yako sasa ?Boss, hilo swali lina umri mkubwa sana kukushinda. Limekuwepo karne na karne. Hapa unachofanya ni kupokea majibu yaleyale yaliyokwishatolewa na waliozaliwa na kuishi miaka mingi nyuma kabla wewe hujazaliwa.
Unathibitishaje kwamba dunia na maisha yalisukwa kwa mipangilio?Mwanzo wa dunia na maisha upo,,,,sababu.
1. Jinsi dunia na maisha yalivyosukwa kwa mipangilio ambayo hakuna uwezekano ukatokea kwa bahati mbaya,,,, ntakupa maelezo na mifano michache Tazama viumbe wote, mpangilio wa maisha yao kuzaliwa, kuzaliana, kula, kukua na kufa kwao,,, ni vitu vilivyopamgiliwa kwa mtiririko sahihi, hakuna uwezekano ikatokea kwa bahati mbaya.
Kwanza mikate🍞haina uwezo wa kutambua kitu.2. ntarejea mfano wAngu wa mikate na muokajiiii,,,, mikate imepewa uwezo wa kutambua kwamba imetengenezwa au imeletwa ila haijapewa njia au uwezo wa uhakika Nani kaitengeneza na kwa vipi imetengenezwa,,,, ni sawa na sisi binadamu hatuna jibu la uhakika Mwanzo wetu, ila tunajua tuna Mwanzo.
Je atakayesahihisha ile jibu na kupata mshindi, atatumia reference ipi?Swali: Ukitoa princliple zote za kisayansi unazozijua na usizojijua na Ukitoa imani zote za Dini zote unazozijua na usizozijua Je, Chanzo cha Dunia, Uhai na Ulimwengu ni nini ?
NB; Uzi huu utawekwa kwenye record za Dunia kwamba ndio uzi pekee uliotaja chanzo cha Dunia, Uhai na ulimwengu bila kutaja principle zozote za Kisayansi au Imani (Dini)
Nawasilisha.
Angalia maisha ya binadamu na viumbe wengine, angalia kila hatua,,,, alafu kwa kutumia akili yako Fikia hitimisho, kwamba yalitokea kwa bahati mbaya au yamepangiliwa, sababu Mtoa Mada amekataza tusitumie principles, sayansi au Dini,,, kinachobaki ni reasoning ,,, ambayo ni self reasoning( akili).Unathibitishaje kwamba dunia na maisha yalisukwa kwa mipangilio?
Je, unakubali hakuna jibu ? na kwa vizazi vyote vilivyopita na vijavyo hakutatokea jibu ? Nini majibu yako sasa ?
Kwani jibu lazima litoe chanzo cha binadamu?Swali : Nini chanzo cha binadamu , yeye anakuambia ''hamna chanzo''. Huoni kama ni akili mbaya.
Chanzo kipo ndio maana wewe upo hapo , tatizo husemi unataka kubishana ukiambiwa ...Ishu iko wazi chanzo cha mwanadamu kipo mpaka wakaendeleza vizazi wakawa wengi .Kwani jibu lazima litoe chanzo cha binadamu?
Je kama chanzo hakipo?
Si unasema hakipo.
Kwani lazima chanzo kiwepo?
Kama kipo ndio unajibu kipo, kama hakipo unajibu hakipo.
Ili anayesema kipo, Athibitishe uwepo wa hicho chanzo kilichopo.
Sasa wewe unataka niseme chanzo kipo wakati hakipo, Na wewe mwenyewe umeshindwa kujibu na kuthibitisha hicho chanzo unachodai kipo.
Mbona hujiulizi, Huyo aliye yapangilia maisha ya binadamu na viumbe wengine, Yeye pia alipangiliwa na nani?Angalia maisha ya binadamu na viumbe wengine, angalia kila hatua,,,, alafu kwa kutumia akili yako Fikia hitimisho, kwamba yalitokea kwa bahati mbaya au yamepangiliwa, sababu Mtoa Mada amekataza tusitumie principles, sayansi au Dini,,, kinachobaki ni reasoning ,,, ambayo ni self reasoning( akili).
Hicho chanzo, chanzo chake ni nini?Chanzo kipo ndio maana wewe upo hapo , tatizo husemi unataka kubishana ukiambiwa ...Ishu iko wazi chanzo cha mwanadamu kipo mpaka wakaendeleza vizazi wakawa wengi .
kila siku idadi ya watu inaongezeka .
Literally kasema usitumie reference ya kidini au ya kisayansi we una ctrl P + VThe origins of Earth, life, and the universe are profound topics that encompass various scientific disciplines, including cosmology, geology, and biology. Here’s a brief overview of each:
▎Origin of the Universe
- Big Bang Theory: The most widely accepted explanation for the origin of the universe is the Big Bang theory, which posits that the universe began approximately 13.8 billion years ago from an extremely hot and dense state. It has been expanding ever since.
- Cosmic Microwave Background Radiation: Evidence for the Big Bang includes the cosmic microwave background radiation, which is the afterglow of the initial explosion.
▎Origin of Earth
- Formation of the Solar System: Earth formed about 4.5 billion years ago from the solar nebula, a rotating disk of gas and dust left over from the formation of the Sun.
- Accretion: Particles in this disk collided and stuck together through a process called accretion, gradually forming larger bodies, including Earth.
▎Origin of Life
- Abiogenesis: The prevailing scientific hypothesis for the origin of life on Earth is abiogenesis, which suggests that life arose naturally from non-living matter, possibly in environments like deep-sea hydrothermal vents or shallow ponds.
- Early Life Forms: The first simple life forms are believed to have emerged around 3.5 to 4 billion years ago, with single-celled organisms like prokaryotes being among the earliest.
▎Interconnections
- Astrobiology: This field studies the potential for life elsewhere in the universe, examining how life might arise under different conditions and what it would look like.
These topics are still areas of active research, and new discoveries continue to refine our understanding of how Earth, life, and the universe came to be.
mpamgiliajiii yupo na sijui Kama na yeye kapangiliwa pia au la, kwa maana hata Nikijua Hilo halibadirishi huuu mpangilio uliopo…..Mbona hujiulizi, Huyo aliye yapangilia maisha ya binadamu na viumbe wengine, Yeye pia alipangiliwa na nani?
Mkuu, kwa kusema rejea yoyote isitumike swali lako umelifanya kuwa ni la kujibiwa kwa kufikirika, na kufikirika mara nyingi lazima blah blah zitokee, majibu lazima utayapokea ya blah blah. Vumilia majibu yote utakayopewa.Jibu swali, nenda kwenye mada, toa majibu bila Imani au sayansi. Acha blah blah.
Tulia usome acha ubishi 😀 😀 😀 mpaka watu kufika bilion 8 basi kulikuwana chanzo mpaka idadi ikafika hapa.Hicho chanzo, chanzo chake ni nini?
Hicho chanzo, kabla hakijawa chanzo, kilikuwa wapi?
Huko kilipokuwa, kulitoka wapi?
Na chanzo chake ni nini?
Kama nitakosea naomba kusahihishwa. Bwana Newton kwenye ile third law of motion alisema "In every action there is equal and opposite reaction" Je alifanya rejea wapi ?Mkuu, kwa kusema rejea yoyote isitumike swali lako umelifanya kuwa ni la kujibiwa kwa kufikirika, na kufikirika mara nyingi lazima blah blah zitokee, majibu lazima utayapokea ya blah blah. Vumilia majibu yote utakayopewa.
MweziHili swali ni gumu kinyama na linaonyesha vile tuko weupe nje knowledge ya science na dini.
Kabla ya kupata chanzo mimi nawaza, hivi mwanzo wa muda ni nini?
Hapo inatakiwa kujibiwa na wasio na diniSwali: Ukitoa princliple zote za kisayansi unazozijua na usizojijua na Ukitoa imani zote za Dini zote unazozijua na usizozijua Je, Chanzo cha Dunia, Uhai na Ulimwengu ni nini ?
NB; Uzi huu utawekwa kwenye record za Dunia kwamba ndio uzi pekee uliotaja chanzo cha Dunia, Uhai na ulimwengu bila kutaja principle zozote za Kisayansi au Imani (Dini)
Nawasilisha.
Kama hujui mpangiliaji na yeye kapangiliwa au la, Sasa ulijuaje yupo?mpamgiliajiii yupo na sijui Kama na yeye kapangiliwa pia au la,
Kwani lazima mpangilio uliopo uwe umepangiliwa?kwa maana hata Nikijua Hilo halibadirishi huuu mpangilio uliopo…..
Kwani lazima viumbe hai wote viwe na mwanzo?Uliukataaa mfano wAngu wa mikate,,, ukasema si kiumbe hai,,, ni kweli. Ila ndio mfano rahisi zaidiiii maana nikiweka kiumbe hai katika maelezo yangu ntakuwa najichanganya maana Hapa tunajadiri Mwanzo wa viumbe wote hai,,,,
Je huyo mtengenezaji wa mikate, yeye alitengenezwa na nani?So ntarejerea kwenye huo mfano,,,,, mikate hata ikijuaaa kwamba muoka mikate aliokwa ( alitokana) pia na nguvu Fulani,,, bado haibadirishi ukweliiii kwamba mikate yote inetengenezwa na yeye.