M24 Headquarters-Kigali
JF-Expert Member
- Jul 9, 2012
- 8,199
- 8,186
Ukimuona mtu anasherehekea miaka kadhaa ya ndoa msalimie shikamoo
Ukimuona mtu anasherehekea miaka kadhaa ya ndoa msalimie shikamoo
Wajameni (hususani wanandoa) ni kitu cha kawaida wengi kukuta watu wamenuniana hatari yaani hawasemezan hata mwezi mzima, unakuta kuna ugomvi kati yao kwa ishu ndogo tu hasa wivu, kulea watoto, kazi,ndugu na kubamba sms/email za mchepuko.
Binafsi nimesha experiece minuno kadhaa unakuta wife amefanya kosa Fulani unaamuliza kistaarabu lakini atakavyo-react balaa hakubali kama alikosea bali hutafuta KUJITETEA kwa kumbushia makosa yangu ya zamani tukiwa wachumba.
Hapo mimi huwa kimyaaa ili niepushe hasira za kumshushia MAKONDE.
Basi unafuata MNUNO hata wiki 3. Hebu tujuzane ikitokea umekutana na mnuno kwa mwenzi wako dawa ni nini?
Wajameni (hususani wanandoa) ni kitu cha kawaida wengi kukuta watu wamenuniana hatari yaani hawasemezan hata mwezi mzima, unakuta kuna ugomvi kati yao kwa ishu ndogo tu hasa wivu, kulea watoto, kazi,ndugu na kubamba sms/email za mchepuko.
Binafsi nimesha experiece minuno kadhaa unakuta wife amefanya kosa Fulani unaamuliza kistaarabu lakini atakavyo-react balaa hakubali kama alikosea bali hutafuta KUJITETEA kwa kumbushia makosa yangu ya zamani tukiwa wachumba.
Hapo mimi huwa kimyaaa ili niepushe hasira za kumshushia MAKONDE.
Basi unafuata MNUNO hata wiki 3. Hebu tujuzane ikitokea umekutana na mnuno kwa mwenzi wako dawa ni nini?
Mimi sitakupiga kwa mikono na miguu ntakupiga kwa vitendo tuu mpaka utaomba upewe kipigo mwenyeweee,ukipika chakula sili,kugegedana sahau,nyumbani sirudi hata siku mbili mfululizo,simu yako sipokei msg sizijibu,story ndo staki kabisaaaa,chumba tutalala tofauti,kama mwanamke ana akili timamu atachunguzaa yooote yanayonikera na hatayafanya coz anajua akifanya reaction itakuwaje,kama mcharuko basi ataendelea kuzingua na kwa sababu hatujazaliwa tukiwa wawili kila mtu itabidi ashike lake!