Chanzo cha kuchokana, kununiana katika mahusiano/ndoa na jinsi ya kukabiliana na tatizo hili

Chanzo cha kuchokana, kununiana katika mahusiano/ndoa na jinsi ya kukabiliana na tatizo hili

Huku kwetu kujishusha mbele ya mwanamke ni mwiko... (hata kama kosa ni langu).. huku mwanamke anajua kabisaa akizingua au akinuna atalambwa bakola za kutosha tu... so full kuheshimiana na hakuna kununiana...
 
Mkae chini kuongea wapi mme kosana,unajua inakera sana mwenzio akiwa kimnya kama mume wangu, unamuliza mbona umechelewa kurudi leo Habibi na simu yako hupokei inshallah kila kitu kiko sawa? jibu Ivi hili swali la mimi kuchelewa linatoka wapi? ukiona hunioni subiri mpaka 24hrs ndio upeleke habari police Kaaaah!!! unabaki uso mduchuu au uone sms ya ajabu kwenye simu yake anakwambia zidi kuchokonoa simu yangu utakuja kufa kwa BP na hata akikukosea haombi msamaha hata umshikie kisu,atakachofanya nikukununulia zawadi na hajali ni ya kiasi gani atakupa ila SAMAHANI SAHAU...
Yuko tayari kukupeleka hata Nchi za nje kutembea lakini SAMAHANI SAHAU... lakini mambo mengine Alhamdulillah anatimiza baya lake hilo tuuu na ndio linanila roho mpaka basi unaishia kunyamaza,na wala akinuna yeye au ninune mie anasema kwenye mambo ya chumbani hanuni atafanya akimaliza ndio tunaendelea kununa au ndio tunaanza kuongea...
sema nikiwa na mimba anaipata fresh nalipiza yote manake anakua na huruma sana.........
 
sishabikii kumpiga, ila inakuja automatic, na watu mkigombana haimaanishi mtagombana siku zote. hiyo ni moja wapo tu ya namna ya kuexpress your feelings kwamba you are fed up. nenda waulize wanawake wote, kati ya kuvubuana na kuachana bora kipi, watakupa jibu. kupigana si kitu kizuri, na ukipiga mke ujue hadi miezi si chini ya mitatu bado kutakuwa na enemity fulani kati yenu unahitaji mda kuisafisha na kurudi katika hali yake. sasa kama mwanamke anakupanda kichwani, Bible yenyewe imeandika wanawake watiini waume zenu yeye hafanyi hivyo na anafanya makusudi akujua utafanya nini....hadi kufikia kudharauliana, hadi mwanaume unachoka nyumba unaanza kurudi saa tano usiku haelewi, mara unakimbilia kwenye mchepuko tu ili uende kupunguza stress...utamfanya nini mwanamke huyo? ukimwacha ni worse than ukimtandika, ukimrudisha kwa wazazi wake haisaidii, na mkiendelea na ugomvi ujue hamtapeana tunda na matokeo yake kila mtu atatafuta mchepuko na kuleta magonjwa, si bora mmalizane mapema mahasira yaishe mtakuja kupatana baadaye ili muishi vizuri...hahaha.

however, kusema kweli sishabikii kupiga mke. siku hizi siwezi kumpiga kwasababu amebadilika. na hata kama asingebadilika ambacho ningekifanya ningempa saikolojiko tosha ambayo angeona bora angepiga mbata.

Kwakweli kupiga mtu ni ushamba wa hali ya juu - Yani mwanaume ushindwe kutoa ushawishi kwa mkeo hadi unampiga?

Na napingana na wewe kuwa ili ndoa iwe nzuri lazima mgombane ndio mjuane- A big NOO, inategema na uchumba na urafiki wenu ulikuwaje ila kama ndio ndoa za fasta mwaka mmoja urafiki mshaona hayo ya kuadjust tabia lazma yawaletee shida. Nimeona na from experience ndoa zilizojengwa kwa uchumba thabiti na kujuana vema kabla ya kula kiapo zimekuwa na maisha mazuri sana , take it from experience unaweza kukaa 20 yrs wamjagombana ile ya kuzuliana maneno wala nini. Kila patner anahitaji kujua responsibility yake na mipaka basi . Zaidi ya yote wanandoa wasali/waswali pamoja na kuongea as much as they can.
 
mwanamke akikosa mwanaume hautakiwi kujishusha, anayetakiwa kujishusha ni mwanamke na si mwanaume. ukiona mwanaume anajishusha kwa mkewe huyo kaolewa au bwabwa. utajishushaje kwa mwanamke, ina maana mwanamke yuko juu yako? we jamaa sijui unaongea nini. wanawake ni wadhaifu sana ukiona amefanikiwa kukupanda kichwani na wewe ukapandika hakika anaweza kufanya madudu ya ajabu hadi utashangaa na atakudharau kwanza. ukiona hauna uwezo wa kumtawala mkeo wewe umeolewa.


Again nitaita huu ushamba : kujishusha kila mtu ana jukumu la kujishusha si Mke si Mume ; It takes two to make it work.
Kusema kujishusha ni kuolewa ni INFERIORITY COMPEX tena in Advanced stage. Kama unaamini hoja zako zimenyooka , una ushawishi wa kutosha na wewe ni MAn enough kwa nini uhofu utaitwa "bwaba"

Mke hatawalili na wala mume hatawaliwi - wote wana maridhiano ya kuishi kwa kusaidiana sio kutawalana. Siku zote huwa nasema (just a personal idea) mwanaume ambaye ana taka kila saa ajulikane kama yeye mwanaume, anamwambia mkewe , Unajua mi nani humu ndani, anawaambia watoto "Unajua mimi ni nani" ni dalili kubwa ya inferiority complex .

Anyway all these arguments depends on how you grew up, what u believe and your attitude in relationships/ marrige.
 
Dawa inategemea na akili ya mwenza, wengine dawa yao ni kuvunja ukimya kwa kumuongelesha jambo zuri. Wengine ni kuchapa kibao kabisa, wengine na kunywa pombe mpaka ataongea tu. Wengine ni kumpa kazi binafis au kumuomba kitu binafsi ili akunyime au asifanye then issue iende kwa wazazi. so pima akili na shule ktka maana ya uelewa wa mwenzi wako.
 
Mimi sitakupiga kwa mikono na miguu ntakupiga kwa vitendo tuu mpaka utaomba upewe kipigo mwenyeweee,ukipika chakula sili,kugegedana sahau,nyumbani sirudi hata siku mbili mfululizo,simu yako sipokei msg sizijibu,story ndo staki kabisaaaa,chumba tutalala tofauti,kama mwanamke ana akili timamu atachunguzaa yooote yanayonikera na hatayafanya coz anajua akifanya reaction itakuwaje,kama mcharuko basi ataendelea kuzingua na kwa sababu hatujazaliwa tukiwa wawili kila mtu itabidi ashike lake!
 
mwanamke akikosa mwanaume hautakiwi kujishusha, anayetakiwa kujishusha ni mwanamke na si mwanaume. ukiona mwanaume anajishusha kwa mkewe huyo kaolewa au bwabwa. utajishushaje kwa mwanamke, ina maana mwanamke yuko juu yako? we jamaa sijui unaongea nini. wanawake ni wadhaifu sana ukiona amefanikiwa kukupanda kichwani na wewe ukapandika hakika anaweza kufanya madudu ya ajabu hadi utashangaa na atakudharau kwanza. ukiona hauna uwezo wa kumtawala mkeo wewe umeolewa.
Si bure utakuwa mkurya wewe.
 
wanawake ki-marangu ni kidomo-kidomo sana yaan usijiloge uoe dada zangu. Mimi mwenyewe ni mmarangu lakini siwataki hata bure.
toka zamani walijulikana kama wanawake wa barabarani,''wana wa parapareny''
kwa sasa ni mabingwa wa kuloga pia
 
Ukiona hivyo jua unamegewa so kaa uongee nae ili ujue tatizo ni nn had anachepuka,,,,,,,,,,,,,,,,ila usimpige maana ndo atazidi
 
Wajameni (hususani wanandoa) ni kitu cha kawaida wengi kukuta watu wamenuniana hatari yaani hawasemezan hata mwezi mzima, unakuta kuna ugomvi kati yao kwa ishu ndogo tu hasa wivu, kulea watoto, kazi,ndugu na kubamba sms/email za mchepuko.

Binafsi nimesha experiece minuno kadhaa unakuta wife amefanya kosa Fulani unaamuliza kistaarabu lakini atakavyo-react balaa hakubali kama alikosea bali hutafuta KUJITETEA kwa kumbushia makosa yangu ya zamani tukiwa wachumba.

Hapo mimi huwa kimyaaa ili niepushe hasira za kumshushia MAKONDE.

Basi unafuata MNUNO hata wiki 3. Hebu tujuzane ikitokea umekutana na mnuno kwa mwenzi wako dawa ni nini?
Huko kote mbali ndugu yangu kuna kununiana kisa mmebishana mpite njia ipi? huyu anasema hii mwingine hii atayeshindwa kununa kunaanza!!!
Hapa bila ya mmoja kuwa na busara mtajikuta mwezi mzima ni kununiana!
 
Kuna wengine hawakwepeki anakukomalia mpaka kieleweke. Na wanavyojua kuongea hawa viumbe utakoma kumpenda. Anaweza kuwananga ukoo wenu mzima ndani ya sekunde chache tu.

na nisivyopenda mwanamke anayeongeaongea shombo sijui itakuwaje aisee!!
 
ila dawa ni kumtundika miguu juuu baada ya hapo kila kitu shwari
 
Duu! mm wiki ya 2 sasa wife kaninunia kisa hata hakieleweki leo narudi kazi hakuna chakura wala nn nauliza eti mboga hakuna amechoka hawezi kwenda sokoni amenirushia hela niende sokoni duuu.!!
 
Wanawake kwa asili wanapaswa kuwa watulivu na wanyenyekevu mbele za waume zao. Ukiona analeta kiburi basi ujue ameshapata bwana huko nje anampa dushelele na ndo kiburi kinapoanzia. Wenye majibishano/madharau dizaini hiyo WENGI wao ni WACHAGA (Marangu & Machame)

oooooo! kumbe marangu nao?
 
Lazima mwanamke ajishushe kwa mume wake, hata kama mwanamke ana mapembe ya aina gani, ila hiki kizazi cha kuanzia kwa mwinyi hiki ni tatizo sana...
 
Inakubidi uwe mpole tuu, na ujishushe fanya kama hivi....pic below
 
Back
Top Bottom