JF-Expert Member
- Oct 29, 2012
- 1,889
- 1,127
yamekukuta pole, ndo ukubwa huo, hata akinuna wewe usiku muombe kitu upige ataongea tu, lakini yote ya yote ni jambo la kawaida hasa kwa vijana na kwenye ndoa changa, jitahidi mnuniane hata kwa siku tatu au mbili nje ya hapo ni makosa makubwa saana.