Chanzo cha kuchokana, kununiana katika mahusiano/ndoa na jinsi ya kukabiliana na tatizo hili

Chanzo cha kuchokana, kununiana katika mahusiano/ndoa na jinsi ya kukabiliana na tatizo hili

Ewe mwanaume jishushe hata kama kosa ni lake mwanamke hayo mambo yaishe tu kwa wakati huo. Wanawake by nature ni wakarimu na wapole bali ikifika maeneo hayo hujidai hamnazo. Tunapaswa kuishi na wanawake kwa akili na si kwa mabavu. Jishushe (mwanaume) maisha yaendelee lakini ujue kichwani hapo unakaa na hamnazo so hata ishu zako za muhimu piga kimya kimya usimshirikishe

Hivi wewe??? kwenye ndoa ajishushe mwanamke au mwanaume?

Ni ujinga uliotukuka eti mwanaume ajishushe kwa mwanamke bila sababu, ok

well, kimsingi mwanamke anawekwa ndani na mwanaume, mke hajiweki mwenyewe ndan ya ndoa, kama sijiamini sinamsimamo na akili za maisha, ndio yanapokuja maneno yenu eti nijishushe! So what!!

Kwa hiyo ananinanihii au namnanihii?

Tabia za kimachame naziona kwa majirani nazichikia sana. mke wangu ni msomi anakazi na mshahara, anafwata maelekezo yangu.

Anajua sipendi kumtawala, wkt mwngine namweleza ajitawale mwenyewe mm namuassess tu.

namshaur mleta uzi, kila kitu wewe ndio mwalimu, kwa kuwa mlioana wote hamjuani tabia, wewe nde mwl wake, utamharibu au kumtengeneza.

mwanamke lazima afate mashart na utaratibu ndan ya nyumba. na ndo mana nyumba zina milango, ni mipaka ya taratibu ya kila ndoa, sio lazima nyumbn kwngu sheria zifanane, mm naheshimiwa mtaani kw taratibu za ndoa yangu.

mke kaja kujifunza sheria za mume, hajaja kujiunga na mume, anatakiwa atii, awe mpole kwa mumewe ili mume amuonee huruma mkewe.

Kama mke atataka ukingi ndan ya nyumba huo ni upuuzi kwa sabb atakuzalia watoto na utalea watoto wa michepuko

wanaume wengi hawataki kuoa wanawake kama ni wapenda utawala ndan ya ndoa ni kwamba madem hawo watabaki kuwa manunga embe kama ral1 wa jf
 
wanawake wengi wanaongea sana, yaani itokee mmetofautiana kidogo UTACHAMBWA mpaka BIBI yako MZAA BABU> wanawake kwa kweli mnaboa
 
Ewe mwanaume jishushe hata kama kosa ni lake mwanamke hayo mambo yaishe tu kwa wakati huo. Wanawake by nature ni wakarimu na wapole bali ikifika maeneo hayo hujidai hamnazo. Tunapaswa kuishi na wanawake kwa akili na si kwa mabavu. Jishushe (mwanaume) maisha yaendelee lakini ujue kichwani hapo unakaa na hamnazo so hata ishu zako za muhimu piga kimya kimya usimshirikishe
Hapa hujasomeka vizuri! Una maana gani unaposhauri mwanaume ajishushe hata anapokosewa na mtani wa jadi?
 
Wajameni (hususani wanandoa) ni kitu cha kawaida wengi kukuta watu wamenuniana hatari yaani hawasemezan hata mwezi mzima, unakuta kuna ugomvi kati yao kwa ishu ndogo tu hasa wivu, kulea watoto, kazi,ndugu na kubamba sms/email za mchepuko.

Binafsi nimesha experiece minuno kadhaa unakuta wife amefanya kosa Fulani unaamuliza kistaarabu lakini atakavyo-react balaa hakubali kama alikosea bali hutafuta KUJITETEA kwa kumbushia makosa yangu ya zamani tukiwa wachumba.

Hapo mimi huwa kimyaaa ili niepushe hasira za kumshushia MAKONDE.

Basi unafuata MNUNO hata wiki 3. Hebu tujuzane ikitokea umekutana na mnuno kwa mwenzi wako dawa ni nini?


Akifanya makosa muonyeshe kwa njia yoyote kuwa umeligundua kosa lake bila kumwambia kwa maneno..ikibidi kutumia maneno basi isiwe sentensi ndeefu...just unamwambia "wife umekosea hivi na hivi"..tena unamwambia huku unamove sio ukae kama mnajadili

Akikukasirisha makusudi, ile anabwabwaja mbele yako we mtafutie kijitabasamu fulani kinachoishia mdomoni lakini hakifiki kwenye macho..na usimjibu.

Ukimuona yupo kwenye foul mood we mtreat kama vile she doesnt exist..endelea na mchakato wako..akikufuatafuata mpishe kidoogo uende sehemu nyingine..garden, sebuleni, chumbani..nk

Yaani nakwambia the most effective way to get at a woman ni kuact kinyume na matarajio yake na kumuignore
 
dawa kubwa kushinda zote ni KUMPA DUSHELELE mwanzo-mwisho
 
Natumai tuu wazima wana MMU...baada ya kupata lunch hebu tuidadavue hii topic kipi bora kati ya Gubu na Kununa katika Ndoa au maisha ya Unyumba?

Karibuni!!!👏👏
 
eee pamekucha!!!!

kuitana baba nanii au mama nanii inahusu???, kuitana majina yetu au majina mbadala inapendeza.

kuhusu kununa mnataka tufanye nini?? lijitu jingine kila siku linakosea na kuomba msamaha, kujirekebisha hakuna, inatia hasira

Achana Nalo...
 
Hakuna kitu kibaya kama hicho; naongea from xperience nakwambai ni Neema ya mungu ilituponya kwani the moment mwenzio anakufanyia hivyo inaleta messsage mabya sana kwako na unachukia toka moyoni; kibaya zaidi waweza kufanya lolote baada ya hapo kwani saa zote mtu unakuwa na hasira na kwa wenye roho nyepesi hushindwa kujizuia; Ilitugharimu sana sisi kupona na janga na nawaa couples humu ndani msinyimane eti ikiwa ni silaha ya kurekebishana; MMEKWISHA!

They will end UP on cactus,....
 
Mwanamke lazima awe chini iwe isiwe na kutafuta mbinu za kuweza kusikilizana na mumewe. Huku kutaka wote kuwa juu ndio kunakosababisha ndoa ziwe na matatizo

Avatar nzuri,hekima tele,..umejaliwa mdada!...
 
1.NATIRIRIKA SASA .kuzeeka,maziwa kuwa ndala,kupata kilema,mbunye kutoa harufu,Kuishiwa nguvu za kiume,kutokuwa wabunifu,mmoja au wote kutokuwa mwaminifu,mmoja kuwa na tabia ngeni mfano ulalamishi,kuropoka,kubwata,kufumaniana,ugonjwa,kunenepa kupita kiasi,kukonda kupita kiasi,ulevi kupindukia,kufilisika,mbunye kuwa pana kupita enzi zile,kutokuwa na mabadiliko ya kimaisha miaka nenda rudi,ndugu kuingilia penzi lenu,kuzaa sana,kukithiri kwa umaskini n.k ni MENGI MNO AISEE SO UMEULIZA SWALI AMBALO LIPO TOO GENERAL COZ KILA MTU ANA SABABU ZAKE KUTOKANA NA YALE YANAYOMSIBU
2.wanaume wengi ndio wanaongoza kwa sababu tumewekeza mapenzi yetu kwenye muonekano wa nje badala moyoni so ikitokea badiliko dogo tu tayari tunachokana.

Tiririkaaa...
 
mwanamke akikosa mwanaume hautakiwi kujishusha, anayetakiwa kujishusha ni mwanamke na si mwanaume. ukiona mwanaume anajishusha kwa mkewe huyo kaolewa au bwabwa. utajishushaje kwa mwanamke, ina maana mwanamke yuko juu yako? we jamaa sijui unaongea nini. wanawake ni wadhaifu sana ukiona amefanikiwa kukupanda kichwani na wewe ukapandika hakika anaweza kufanya madudu ya ajabu hadi utashangaa na atakudharau kwanza. ukiona hauna uwezo wa kumtawala mkeo wewe umeolewa.

Akiona amefanikiwa kukupanda kichwani atamtafuta mwanaume aliye juu yake...
 
Back
Top Bottom