Zulu Man Tz
Member
- Sep 23, 2020
- 73
- 99
Balozi wa Marekani nchini Afrika Kusini Reuben Brigety alisema siku ya Alhamisi Tarehe 11 May 2023 kuwa ana uhakika kwamba meli ya Urusi chini ya vikwazo vya Marekani ilichukua silaha kutoka kambi ya Simon's Town mwezi Disemba, akipendekeza uhamisho huo hauendani na msimamo wa Pretoria wa kutoegemea upande wowote katika vita vya Russia dhidi ya Ukraine.
Kauli ya balozi ikaathiri masoko ya kifedha
Dola ilipanda sana hadi randi 19.5150 Ijumaa asubuhi-kiwango chake cha juu zaidi dhidi ya sarafu ya Afrika Kusini kwenye rekodi-lakini baadaye iliteleza na kushuka hadi kwa randi 19.33.
Maafisa wa Afrika Kusini wamejibu shutuma za Marekani kwamba meli ya Urusi ilikusanya silaha kutoka kambi ya wanamaji karibu na Cape Town mwishoni mwa mwaka jana.
Balozi wa Marekani mjini Pretoria aliitwa baada ya kusema ana uhakika kwamba meli ya Urusi ilikuwa imekusanya silaha kutoka Afrika Kusini.
Licha ya USA-Washington imeonya kwamba nchi zinazotoa msaada wa nyenzo kwa Urusi zinaweza kunyimwa ufikiaji wa masoko ya Amerika. Balozi huyo hakuwa na uhakika na ikamladhimu aombe radhi kwa Serikali ya Afrika ya Kusini siku ya ijumaa asbuhi.
Mawazo Binafsi
Bado dollar ya Marekani iko na nguvu kwny Uchumi wa Dunia na inaweza kusababisha economic sanctions kwa Nchi nyingine ila bado tuko na mbadala wa Nchi za BRICS kuanzisha Sarafu ya pamoja ambayo mpaka sasa Nchi zaidi ya 30 imekubaliana na mpango huo.
Ambazo ni Afghanistan, Algeria, Argentina, Bahrain, Bangladesh, Belarus, Egypt, Indonesia, Iran, Kazakhstan, Mexico, Nicaragua, Nigeria, Pakistan, Saudi Arabia, Senegal, Sudan, Syria, the United Arab Emirates, Thailand, Tunisia, Turkey, Uruguay, Venezuela, and Zimbabwe.
Je, utulivu utapatikana kwa Nchi wanachama wa BRICS maana wao kati ya wao wako na migogoro ili wafikie malengo yao ya pamoja kiuchumi dhidi ya Marekani?
Kauli ya balozi ikaathiri masoko ya kifedha
Dola ilipanda sana hadi randi 19.5150 Ijumaa asubuhi-kiwango chake cha juu zaidi dhidi ya sarafu ya Afrika Kusini kwenye rekodi-lakini baadaye iliteleza na kushuka hadi kwa randi 19.33.
Maafisa wa Afrika Kusini wamejibu shutuma za Marekani kwamba meli ya Urusi ilikusanya silaha kutoka kambi ya wanamaji karibu na Cape Town mwishoni mwa mwaka jana.
Balozi wa Marekani mjini Pretoria aliitwa baada ya kusema ana uhakika kwamba meli ya Urusi ilikuwa imekusanya silaha kutoka Afrika Kusini.
Licha ya USA-Washington imeonya kwamba nchi zinazotoa msaada wa nyenzo kwa Urusi zinaweza kunyimwa ufikiaji wa masoko ya Amerika. Balozi huyo hakuwa na uhakika na ikamladhimu aombe radhi kwa Serikali ya Afrika ya Kusini siku ya ijumaa asbuhi.
Mawazo Binafsi
Bado dollar ya Marekani iko na nguvu kwny Uchumi wa Dunia na inaweza kusababisha economic sanctions kwa Nchi nyingine ila bado tuko na mbadala wa Nchi za BRICS kuanzisha Sarafu ya pamoja ambayo mpaka sasa Nchi zaidi ya 30 imekubaliana na mpango huo.
Ambazo ni Afghanistan, Algeria, Argentina, Bahrain, Bangladesh, Belarus, Egypt, Indonesia, Iran, Kazakhstan, Mexico, Nicaragua, Nigeria, Pakistan, Saudi Arabia, Senegal, Sudan, Syria, the United Arab Emirates, Thailand, Tunisia, Turkey, Uruguay, Venezuela, and Zimbabwe.
Je, utulivu utapatikana kwa Nchi wanachama wa BRICS maana wao kati ya wao wako na migogoro ili wafikie malengo yao ya pamoja kiuchumi dhidi ya Marekani?