Chanzo cha kushuka thamani kwa pesa ya South Africa, Rand kwa cent zaidi ya 30 dhidi ya USD$

Chanzo cha kushuka thamani kwa pesa ya South Africa, Rand kwa cent zaidi ya 30 dhidi ya USD$

Hivi tumepata faida gani kuondokana na ukoloni wa mtu mweupe na kuingiza ukoloni wa mtu mweusi. Eti rasilmali zetu ambazo zingetusaidia kujiletea maendeleo ndizo tena tunapora wenyewe na zingine tunapeleka kuficha tena hukohuko kwa hao wakoloni weupe, rejea issue ya akina Chenge.

Kila mwaka ripoti ya CAG inaonyesha kwamba hatukustahili kabisa kudai huo mnaoita uhuru kwa sababu lengo la kudai uhuru ilikuwa ni sasa kupigania maslahi ya nchi ili wote wafurahie matunda ya uhuru lakini kilichopo ni kinyume chake kabisa halafu eti bado tu tunatafuta visingizio. Bure kabisa.
Hoja Nzito sana hii kunywa soda mkuu 🙏
 
Hayo mambo ya De-dollarization ni kujidanganya tu hamna lolote.

Wakopeshaji wakubwa bado ni Marekani na washirika wake pamoja na mashirika ya kifedha walizounda wenyewe na sarafu wanazotumia ni hizo hizo ambazo hao Brics wanajaribu kukwepa na ukishakopeshwa utalipa tena kwa sarafu hizo hizo na wala hamna cha Brics wala cha nini.
Ruto anawachora tu
 
Back
Top Bottom