Fabian Vitus
JF-Expert Member
- Jul 18, 2022
- 5,828
- 7,532
Kama ulitumia condom, ni infection ya condom kutovalishwa vizuri utakaa sawa, na kama ulipiga kavukavu wahi hospitali ukafanye vipimo vya magonjwa ya zinaa.Ndugu Wana JF,
Kama Uzi unavyojieleza mwamba nimekutana na jambo, nimemshona mtoto wa mtu uko sasa siku iliyofuata natazama uume umeanza kujaa.
Matabibu mliopo umu msaada katika hili, tupanuane mawazo nijue nini kinanikabili. Kuna hali fulani ya maumivu tu, naomba mnifungue ubongo 🙏
Wewe umetoka kumpanua mtoto wa mtu miguuni, hapa unatuita tukupanue mawazo?Ndugu Wana JF,
Kama Uzi unavyojieleza mwamba nimekutana na jambo, nimemshona mtoto wa mtu uko sasa siku iliyofuata natazama uume umeanza kujaa.
Matabibu mliopo umu msaada katika hili, tupanuane mawazo nijue nini kinanikabili. Kuna hali fulani ya maumivu tu, naomba mnifungue ubongo 🙏
Majuto pande zote mkuu, sema wanawake wanaugulia kimya kimya[emoji23][emoji23]Ila tunapenda ngono ila majuto huwa makubwa mbeleni kwa sisi wanaume
KUvimba tu hakuna matokeo mengine isipokua kadri kunavyozidi kuvimba ndipo maumivu yanapanda alafu ngozi ya kichwa cha penis iko na magamba ya ugumu kwa sehemKama ulitumia condom, ni infection ya condom kutovalishwa vizuri utakaa sawa, na kama ulipiga kavukavu wahi hospitali ukafanye vipimo vya magonjwa ya zinaa.
Acha kupakia mikongoKUvimba tu hakuna matokeo mengine isipokua kadri kunavyozidi kuvimba ndipo maumivu yanapanda alafu ngozi ya kichwa cha penis iko na magamba ya ugumu kwa sehem
Kwa sasa hakuna ngono salama aseee washaanza kutudanganya tutatumia vilainishi🤣🤣[emoji23][emoji23]Ila tunapenda ngono ila majuto huwa makubwa mbeleni kwa sisi wanaume
Ata mkongo siujui unafananaje chief 🤣Acha kupakia mikongo
Pole chamsingi kama hukuvaa kondom nenda kafanye checking up...usije ukapata madhara makubwaAta mkongo siujui unafananaje chief 🤣
Wahi kwa hospit sawa chief Wacha nifanye hivo
Kwer chifu niligeuka samsoni hiyo siku🤣🤣🤣Pole chamsingi kama hukuvaa kondom nenda kafanye checking up...usije ukapata madhara makubwa
Binti alikiwa mkavu ukakamua kibabeNdugu Wana JF,
Kama Uzi unavyojieleza mwamba nimekutana na jambo, nimemshona mtoto wa mtu uko sasa siku iliyofuata natazama uume umeanza kujaa.
Matabibu mliopo umu msaada katika hili, tupanuane mawazo nijue nini kinanikabili. Kuna hali fulani ya maumivu tu, naomba mnifungue ubongo [emoji120]
Sasa kama Ivo chief siniwawe wanatuambia tu tuendelee kuchukua Sheria mkononiMajuto pande zote mkuu, sema wanawake wanaugulia kimya kimya
Mbn comment zinanitisha hiviIyo ni dalili ya pangusa stage ya pili usipoenda hospital leo jiandae kukwatwa
Alipiga show mpk maji yakakauka apo bado kasema aeke kilainishi ndipo shida kesho yake ikaanzia apo,🤣