Chanzo cha kuvimba uume siku moja baada ya tendo la ndoa ni kiashiria cha nini?

Chanzo cha kuvimba uume siku moja baada ya tendo la ndoa ni kiashiria cha nini?

Kondom ulivaa Kwa usahii? Vigi game ya mwisho ulipiga lini?
Game la mwisho Nina siku ya tatu sasa tangu nimepiga game jana siku ya pili ndio Hali Ikawa ngumu kabisaaa alafu dalili zake utasema uko na malaria au UTI vile maana mwili unakua hovyo
 
Ndugu Wana JF,

Kama Uzi unavyojieleza mwamba nimekutana na jambo, nimemshona mtoto wa mtu uko sasa siku iliyofuata natazama uume umeanza kujaa.

Matabibu mliopo umu msaada katika hili, tupanuane mawazo nijue nini kinanikabili. Kuna hali fulani ya maumivu tu, naomba mnifungue ubongo šŸ™
Mhhhh umekula kavu ukala pabaya ww.
Jiandae kwa sindano za matako zote utakua unakalia miguu.
 
Nilikua nataka nijue muda uliochukua kabla ya game hiyo ya juzi
Nilianza saa sita 9t mpk saa tisa na nusu night hiyo baada ya hapo upepo ukawa ukipiga kuna Hali Fulani nikawa nasikia ya maumivu kwa mbali hivi nikitazama naona poa tu siku iliyofuata nikaamka mwili ukiwa mchovu ukawa ukiuma kila Mahala kwenda maabara kupima jamaa kaniambia Niko na malaria moja nikameza metakefin za Kenya nikajua zoezi litakua poa ndipo uume ulipanza kuvimba
 
Back
Top Bottom