Chanzo cha kuvimba uume siku moja baada ya tendo la ndoa ni kiashiria cha nini?

Chanzo cha kuvimba uume siku moja baada ya tendo la ndoa ni kiashiria cha nini?

Nilianza saa sita 9t mpk saa tisa na nusu night hiyo baada ya hapo upepo ukawa ukipiga kuna Hali Fulani nikawa nasikia ya maumivu kwa mbali hivi nikitazama naona poa tu siku iliyofuata nikaamka mwili ukiwa mchovu ukawa ukiuma kila Mahala kwenda maabara kupima jamaa kaniambia Niko na malaria moja nikameza metakefin za Kenya nikajua zoezi litakua poa ndipo uume ulipanza kuvimba
Au ulikamia game
 
Ulikutwa na nin?
Sasa parestina doctor kaichunguzaa kaniambia iyo ni Hali ya kawaida utarudi kwa Hali yake tu sipokua kuna sindano nimedungwa yakupoteza huo uvimbe na madawa baada ya kumaliza dose nirudishe mrejesho wa maendeleo🤣
 
Huko kwenye ndoa nako hakupo salama mkuu. Hawa wake zetu wanagegedwa sana huko nje tena kavu kavu
Na wanajituma hao sijui na kwa waume zao wanajituma ivoivo wajengewe masanamu tu Sasa apa ushauri wako nini na mbususu hutaki acha😄😄
 
Na wanajituma hao sijui na kwa waume zao wanajituma ivoivo wajengewe masanamu tu Sasa apa ushauri wako nini na mbususu hutaki acha😄😄
Ushauri wangu ni kwamba tusiogope kushare maana mbususu tamu na de liboloz tamu pia na wanawake wanataka although sie wenye le kibamia wanatutenga sana sema ndio hivyo kwa sababu ya pesa inabidi tuu wavumilie vibamia vyetu
 
Ushauri wangu ni kwamba tusiogope kushare maana mbususu tamu na de liboloz tamu pia na wanawake wanataka although sie wenye le kibamia wanatutenga sana sema ndio hivyo kwa sababu ya pesa inabidi tuu wavumilie vibamia vyetu
Duh we kiboko tumia na libamia vizuri pia unaweza mfikisha anapotaka ila usisahau kua unakua unapita ktk tanuru la moto😄
 
Fanya uchunguzi zaidi chief usiishie kujikandika masumu ktk mwili utaanzisha tatizo jingine
 
Back
Top Bottom