Glenn
JF-Expert Member
- May 23, 2015
- 69,329
- 164,730
Bro hunitakii mema vunga basi😂😂😂😂😂Waliosomea Cuba mtusaidie huyu jamaa kitaalam wa hivi tunamuitaje mpiga master😂😂
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bro hunitakii mema vunga basi😂😂😂😂😂Waliosomea Cuba mtusaidie huyu jamaa kitaalam wa hivi tunamuitaje mpiga master😂😂
Hv Kuna mwanaume asiyependa ngono jamani??[emoji23][emoji23]Ila tunapenda ngono ila majuto huwa makubwa mbeleni kwa sisi wanaume
[emoji1787][emoji1787]kmmmk.Kuna any discharge Kwa Said kichwa wazi?
Acha unokoWe kufa tu
Ushauri Wangu usipe magonjwa ambayo wazungu bado hawajagundua dawa yake.[emoji3064]Swala HIV apa napo sasa ndio linalofata
Usikute uume wako umepata mimbaNdugu Wana JF,
Kama Uzi unavyojieleza mwamba nimekutana na jambo, nimemshona mtoto wa mtu uko sasa siku iliyofuata natazama uume umeanza kujaa.
Matabibu mliopo umu msaada katika hili, tupanuane mawazo nijue nini kinanikabili. Kuna hali fulani ya maumivu tu, naomba mnifungue ubongo 🙏
Hizo dume mwisho round ya kwanza tu, ya2 na 3 zinakata stimu, HIV unaanza kuichukulia poa tu kama malaria,Muwe mnakumbukaga dume, mtakufa vibaya [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hizo dume mwisho round ya kwanza tu, ya2 na 3 zinakata stimu, HIV unaanza kuichukulia poa tu kama malaria,
SEMA baada ya kumaliza show ndio akili inakuja.
🙄 Duh mimba tena itakua maana sasa wenyew unajaaje ghafla,😂😂😂Usikute uume wako umepata mimba
Duu hiyo ni live wire yaani umechimba mgodi kavukavu, nenda hospitali ukapimweNdugu Wana JF,
Kama Uzi unavyojieleza mwamba nimekutana na jambo, nimemshona mtoto wa mtu uko sasa siku iliyofuata natazama uume umeanza kujaa.
Matabibu mliopo umu msaada katika hili, tupanuane mawazo nijue nini kinanikabili. Kuna hali fulani ya maumivu tu, naomba mnifungue ubongo 🙏
Asante chief nishaenda ninaendelea na dose😂Duu hiyo ni live wire yaani umechimba mgodi kavukavu, nenda hospitali ukapimwe
Hahah dawa zipo chief izo ni biashara za duniani tu uku ondoa dhana yakutokuna tumaini jipya la dawaUshauri Wangu usipe magonjwa ambayo wazungu bado hawajagundua dawa yake.[emoji3064]
Je nikichoma power safe tatu kwa mbadala wa hii je1.IV inj. Ceftriaxaone 2g stat
2.Tab. Azithromycin 1g (PO) stat
3.Tab. Tinidazole 2g (PO) stat
4.Cap. Doxycycline 100mg b.d for 7days
Nunua hizo dawa,tafuta mtaalamu akuchome mara moja hiyo sindano no. 1
Masharti: 1. Hakikisha wife/partner nayeye anatibiwa.
2. Simama kufanya mapenzi mpaka kumaliza dawa.
3. Acha pombe mpaka utakapomaliza dawa (ikiwa unatumia)
Guideline ya kutibu Urethral Discharge Syndrome (uds) inahitaji dawa zaidi ya moja.Kutumia Power_cef(Ceftriaxaone) haitatosha.Je nikichoma power safe tatu kwa mbadala wa hii je
Sent from my Infinix X650B using JamiiForums mobile app
Power safe nichome ngapi mkuuGuideline ya kutibu Urethral Discharge Syndrome (uds) inahitaji dawa zaidi ya moja.Kutumia Power_cef(Ceftriaxaone) haitatosha.
Tumia hizo dawa nina uhakika utapata matokeo mazuri.
N.B: Zingatia masharti
2 grams au 2000mg
🌚🌚🌚🌚Mbn hili nalo nenoHIYO TEGO MZEE WAZEE KWA VIJANA wa upande wa pwani wanawatega sana mabint na wake ili wapate mchele