Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mtoto mzuri kama cute wife unatumiaje dume?
😆 hii nayo nilisahau jinaPangusa iyo[emoji28]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Iyo ni dalili ya pangusa stage ya pili usipoenda hospital leo jiandae kukwatwa
Hivi kukiwa na discharge ya white inayovutika kama mlenda ni dalili ya nini maana nishakunywa azuma mpaka nimechoka nikinywa inapotea baada ya kumaliza tu inaanza
Sent from my Infinix X650B using JamiiForums mobile app
🤣🤣🤣🤣🤣Kaka mbn kama cjakuelewa vizuri nimeharibu kucheka kimya kimya nimeshindwa hatimae saiti imetokaWakati mwingine hata hizi manati tunazovaa huwa na shida, unaweza kujikuna mpaka ukavimba
Hahahah🤣🤣🤣sawa dondosha comment zako chini apo chiefKuna mwenzako aliendesha rough tyre ikakwajuka akaweka picha hapa akasaidiwa na sasa anashiriki mijadala vilivyo
Hizo dalili zote mimi Sina chief naona imekuborea ila ucjr nishapata huduma Nawashakuru wote mlionipa ushauri nimeufanyia kazi sasa naendelea na matibabuNishaleta bahati mbaya
We daktari?unauliza ujinga gani hapa huku tumemshauri awaone watabibu?
Pumbu zinavimba ni tezi dume.
Ukikojoa uji gono hilo.
Ukiota vipele kwenye pumbu ushindwe kukojoa kaswende hiyo.
HIV inasoma
Hayo maradhi siyo ya jana wala juzi.
Huelewi nini hapo
🤣🤣🤣🤣Mbususu na Kinga wapi na wapi siku izi wajanja wa mjini washaleta vilainishiUlitumia kinga?
Hahaaaa ila sisi wanaume yaani wote waliokushauri hapo juu umewaona kama DP world ukaja kumpa shukrani Lenie hahaaaaaAsante nimetoka kuna sindano nimepigiwa kutupoteza huo uvimbe na dawa naendelea nazo sasa asante kwa ushauri LENIE[emoji120]
🤣🤣🤣🤣Duh yaani ata wewe umenitupia baharini kabisa cjategemeaMuwe mnakumbukaga dume, mtakufa vibaya [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hapo kwenye kumpanua sasa😋😋
Aiseee 😅😅Lione ushatepeta😂
😂😂😂😂Waliosomea Cuba mtusaidie huyu jamaa kitaalam wa hivi tunamuitaje mpiga master😂😂Lione ushatepeta😂