Chanzo cha kuvimba uume siku moja baada ya tendo la ndoa ni kiashiria cha nini?

Chanzo cha kuvimba uume siku moja baada ya tendo la ndoa ni kiashiria cha nini?

Ni mke wa mtu!?
Maana kuna jamaa namjua sahivi tumeshamzika 🙁. Daah yule mwamba aliteseka sana, alikuwa anakula mke wa mtu jamaa wanamwambia anavunga. Siku ya siku akaanza ona 🍆 inavimba tu mkojo hautoki kaenda hospital kupima kila aina ya ugonjwa wa zinaa hana. Alikaa kama wiki tumbo nalo linavimba. Watu wa karibu wanasema siku ya mwisho 🍆 ilipasuka, and that was the end
 
Ni mke wa mtu!?
Maana kuna jamaa namjua sahivi tumeshamzika 🙁. Daah yule mwamba aliteseka sana, alikuwa anakula mke wa mtu jamaa wanamwambia anavunga. Siku ya siku akaanza ona 🍆 inavimba tu mkojo hautoki kaenda hospital kupima kila aina ya ugonjwa wa zinaa hana. Alikaa kama wiki tumbo nalo linavimba. Watu wa karibu wanasema siku ya mwisho 🍆 ilipasuka, and that was the end
Hapna huyu sio mke wa mtu sinaga tabia ya kula mke wa mtu nikijua najikataa huyu labda atakua mpenzi wa mtu. Maana vimejaa tamaa kama nini😄😄
 
Kweri mimi jinga chief ila utapo zoa zoa siku utaleta nawe Uzi😄
Nishaleta bahati mbaya
Kwenda Hospital sio ushauri? Kwa hiyo mimi kabka sijaona aina ya uvimbe na hali yake namshaurije?
We daktari?unauliza ujinga gani hapa huku tumemshauri awaone watabibu?
Pumbu zinavimba ni tezi dume.
Ukikojoa uji gono hilo.
Ukiota vipele kwenye pumbu ushindwe kukojoa kaswende hiyo.
HIV inasoma
Hayo maradhi siyo ya jana wala juzi.
Huelewi nini hapo
 
Ni mke wa mtu!?
Maana kuna jamaa namjua sahivi tumeshamzika 🙁. Daah yule mwamba aliteseka sana, alikuwa anakula mke wa mtu jamaa wanamwambia anavunga. Siku ya siku akaanza ona 🍆 inavimba tu mkojo hautoki kaenda hospital kupima kila aina ya ugonjwa wa zinaa hana. Alikaa kama wiki tumbo nalo linavimba. Watu wa karibu wanasema siku ya mwisho 🍆 ilipasuka, and that was the end
So yule mpiga kinanda chief pale prokiani? Aliyezikwa mwezi mmoja au miwili now.
 
Nishaleta bahati mbaya

We daktari?unauliza ujinga gani hapa huku tumemshauri awaone watabibu?
Pumbu zinavimba ni tezi dume.
Ukikojoa uji gono hilo.
Ukiota vipele kwenye pumbu ushindwe kukojoa kaswende hiyo.
HIV inasoma
Hayo maradhi siyo ya jana wala juzi.
Huelewi nini hapo


Hemu jaribu kutafuta utatuzi wa stress zako, unaweza ukawa productive kwenye maeneo fulani fulani.
 
Sasa parestina doctor kaichunguzaa kaniambia iyo ni Hali ya kawaida utarudi kwa Hali yake tu sipokua kuna sindano nimedungwa yakupoteza huo uvimbe na madawa baada ya kumaliza dose nirudishe mrejesho wa maendeleo🤣
Wakati mwingine hata hizi manati tunazovaa huwa na shida, unaweza kujikuna mpaka ukavimba
 
Hivi kukiwa na discharge ya white inayovutika kama mlenda ni dalili ya nini maana nishakunywa azuma mpaka nimechoka nikinywa inapotea baada ya kumaliza tu inaanza

Sent from my Infinix X650B using JamiiForums mobile app
1.IV inj. Ceftriaxaone 2g stat
2.Tab. Azithromycin 1g (PO) stat
3.Tab. Tinidazole 2g (PO) stat
4.Cap. Doxycycline 100mg b.d for 7days

Nunua hizo dawa,tafuta mtaalamu akuchome mara moja hiyo sindano no. 1

Masharti: 1. Hakikisha wife/partner nayeye anatibiwa.
2. Simama kufanya mapenzi mpaka kumaliza dawa.
3. Acha pombe mpaka utakapomaliza dawa (ikiwa unatumia)
 
Back
Top Bottom