inabidi upimwe akili na malinda maana ujui ulitendaloHayo matuta ya miaka 5 pale kihonda.
Kwanini mafuriko yatokee mwaka huu.
Mimi naona Sababu ni Moja
Serikali imepiga marufuku watu wasilime mpunga kwenye bonde la kihindo.
Kama unavyojua ardhi ya kulima mpunga isipotibuliwa tibuliwa ndio Inatwamisha maji kwa kiasi kikubwa. Na kupekekea mafuriko.
Waruhusu watu waendelee na shughuli za kilimo kwenye lilies bonde la mpunga la kihonda otherwise Kila mwaka mafuriko yatatokea tu.
Tia pichaNatamani ukweli huu uwafikie wafanya maamuzi. Kampuni ya Kituruki ya Yapi imeinua tuta kubwa na refu kwa ajili ya kupitisha reli ya SGR badala ya nguzo. Kisha wakaweka outlet mbili za kupitishia maji.
Matokeo yake tuta limekuwa likiyablock maji kutoka milima ya azimio na Lukobe kusambaa kwenye njia zake za asili na kuyakusanya yote na kupita kwenye outlet mbili walizozoelekeza kwenye makazi ya watu!
Hata kama mvua hainyeshi mjini imenyesha Milimani ni mafuriko mjini hasa maeneo ya Lukobe, Azimio, Manyuki na Kihonda!
Kuna maafa makubwa yanakuja! Barabara zote za maeneo haya zimekatika. Rais tafadhali unda tume ujiridhishe na ukweli huu. Hatua zichukuliwe.
Kuna maafa makubwa yanakuja! Barabara zote za maeneo haya zimekatika. Rais tafadhali unda tume ujiridhishe na ukweli huu. Hatua zichukuliwe.[emoji419][emoji375]Natamani ukweli huu uwafikie wafanya maamuzi. Kampuni ya Kituruki ya Yapi imeinua tuta kubwa na refu kwa ajili ya kupitisha reli ya SGR badala ya nguzo. Kisha wakaweka outlet mbili za kupitishia maji.
Matokeo yake tuta limekuwa likiyablock maji kutoka milima ya azimio na Lukobe kusambaa kwenye njia zake za asili na kuyakusanya yote na kupita kwenye outlet mbili walizozoelekeza kwenye makazi ya watu!
Hata kama mvua hainyeshi mjini imenyesha Milimani ni mafuriko mjini hasa maeneo ya Lukobe, Azimio, Manyuki na Kihonda!
Kuna maafa makubwa yanakuja! Barabara zote za maeneo haya zimekatika. Rais tafadhali unda tume ujiridhishe na ukweli huu. Hatua zichukuliwe.
Kuna maafa makubwa yanakuja! Barabara zote za maeneo haya zimekatika. Rais tafadhali unda tume ujiridhishe na ukweli huu. Hatua zichukuliwe.[emoji419][emoji375]Natamani ukweli huu uwafikie wafanya maamuzi. Kampuni ya Kituruki ya Yapi imeinua tuta kubwa na refu kwa ajili ya kupitisha reli ya SGR badala ya nguzo. Kisha wakaweka outlet mbili za kupitishia maji.
Matokeo yake tuta limekuwa likiyablock maji kutoka milima ya azimio na Lukobe kusambaa kwenye njia zake za asili na kuyakusanya yote na kupita kwenye outlet mbili walizozoelekeza kwenye makazi ya watu!
Hata kama mvua hainyeshi mjini imenyesha Milimani ni mafuriko mjini hasa maeneo ya Lukobe, Azimio, Manyuki na Kihonda!
Kuna maafa makubwa yanakuja! Barabara zote za maeneo haya zimekatika. Rais tafadhali unda tume ujiridhishe na ukweli huu. Hatua zichukuliwe.
Tume ya nini wakati tatizo umelizema? Mwisho utasikia Wahandisi Wetu ni kanjanja ila Wazungu ndio wako makini,haya Kiko wapi sasaNatamani ukweli huu uwafikie wafanya maamuzi. Kampuni ya Kituruki ya Yapi imeinua tuta kubwa na refu kwa ajili ya kupitisha reli ya SGR badala ya nguzo. Kisha wakaweka outlet mbili za kupitishia maji.
Matokeo yake tuta limekuwa likiyablock maji kutoka milima ya azimio na Lukobe kusambaa kwenye njia zake za asili na kuyakusanya yote na kupita kwenye outlet mbili walizozoelekeza kwenye makazi ya watu!
Hata kama mvua hainyeshi mjini imenyesha Milimani ni mafuriko mjini hasa maeneo ya Lukobe, Azimio, Manyuki na Kihonda!
Kuna maafa makubwa yanakuja! Barabara zote za maeneo haya zimekatika. Rais tafadhali unda tume ujiridhishe na ukweli huu. Hatua zichukuliwe.
Hizo environment assessment zilifanywa kimagumashi na kina Mwendazake.Bwawa la Mindu limejaa sana, na likijaa huwa linatema maji(overflow), likiyatema hayo maji ndio yanazagaa mitaani.
Kuna mpango wa kulitanua liwe kubwa zaidi.
SSH, kabla hajazindua treni ya umeme, kwanza aangalie athari za kimazingira za mradi wa reli hiyo (environmental impact assessment).
Haya mambo jiwe alikuwa anakataa kuyafanya, watu wanamshangilia
MkuuNatamani ukweli huu uwafikie wafanya maamuzi. Kampuni ya Kituruki ya Yapi imeinua tuta kubwa na refu kwa ajili ya kupitisha reli ya SGR badala ya nguzo. Kisha wakaweka outlet mbili za kupitishia maji.
Matokeo yake tuta limekuwa likiyablock maji kutoka milima ya azimio na Lukobe kusambaa kwenye njia zake za asili na kuyakusanya yote na kupita kwenye outlet mbili walizozoelekeza kwenye makazi ya watu!
Hata kama mvua hainyeshi mjini imenyesha Milimani ni mafuriko mjini hasa maeneo ya Lukobe, Azimio, Manyuki na Kihonda!
Kuna maafa makubwa yanakuja! Barabara zote za maeneo haya zimekatika. Rais tafadhali unda tume ujiridhishe na ukweli huu. Hatua zichukuliwe.
Kinachopimwa kukubalika ni matokeo ya kazi zake sio ujinga wenu wa mnataka au hamtaki.Huu upumbavu unaanza kurudi kama mtu hakubaliki mnalazimishaje watu wamkubali
Hili la Watumishi ni lazima siku zote ni kama Mwenge tuu utake au usitake.Yako nje ya uwezo wake kimbinu maana wasaidizi wake wako busy kumhadaa kuhusu 2025 kuwa anakubalika ili wao wazidi kupiga maokoto kirahisi.
Wanalazimisha mikutano iwe Nyomi kwa nguvu na ahadi hewa kama za Bashite.
View attachment 2888001
Sent from my SM-A125F using JamiiForums mobile app
Bado hamjasema,mtaogelea sana 😁😁Naomba kuuliza yale matuta SGR sio hapo tu kuna sehemu nimeona utadhani ukuta na sehemu za maji yanatakiwa kujiachia, hii reli tumepigwa za uso.
Rais aje kuangalia eti nyie mumezingirwa na maji kisa Mafuriko ambayo Kila Nchi hutokea? Subirieni wapumbavu ndio watakuja kuangalia.
Nini sababu ya kulazimisha watu wakamuone?Kinachopimwa kukubalika ni matokeo ya kazi zake sio ujinga wenu wa mnataka au hamtaki.
Yaani tumpoteze Rais anaeleta matokeo mazuri kisa kukufurahisha wewe mpumbavu mmja?
Wanalipwa kusomba kile kifusi, wewe, magari, madereva, spare parts, weee ni gharama Sana Ndugu!Ohoo! Ni kweli? Mimi nikajua nguzo ni gharama kuliko tuta!
Mambo ya kiprotokali hayo ,boss wa Watumishi ni nani?Nini sababu ya kulazimisha watu wakamuone?
Wanalipwa kusomba kile kifusi, wewe, magari, madereva, spare parts, weee ni gharama Sana Ndugu.
Aisee! Ila nguzo zinapendeza na kuacha nafasi kubwa chini kuliko hayo matuta. Kuna lile tuta la kuingia dodoma yaani limekua kama mlima, halafu tuta limewekwa lami haina ubora linapukutika mvua ikinyesha.Wanalipwa kusomba kile kifusi, wewe, magari, madereva, spare parts, weee ni gharama Sana Ndugu!
Television na redio zina kazi ganiMambo ya kiprotokali hayo ,boss wa Watumishi ni nani?
"Sisi" wana JF tumezoea kudeka."Tunaomba" picha ya tuta hilo.Natamani ukweli huu uwafikie wafanya maamuzi. Kampuni ya Kituruki ya Yapi imeinua tuta kubwa na refu kwa ajili ya kupitisha reli ya SGR badala ya nguzo. Kisha wakaweka outlet mbili za kupitishia maji.
Matokeo yake tuta limekuwa likiyablock maji kutoka milima ya azimio na Lukobe kusambaa kwenye njia zake za asili na kuyakusanya yote na kupita kwenye outlet mbili walizozoelekeza kwenye makazi ya watu!
Hata kama mvua hainyeshi mjini imenyesha Milimani ni mafuriko mjini hasa maeneo ya Lukobe, Azimio, Manyuki na Kihonda!
Kuna maafa makubwa yanakuja! Barabara zote za maeneo haya zimekatika. Rais tafadhali unda tume ujiridhishe na ukweli huu. Hatua zichukuliwe.