Chanzo cha Mafuriko Morogoro mjini ni tuta la SGR, mamlaka zishughulikie hili

Chanzo cha Mafuriko Morogoro mjini ni tuta la SGR, mamlaka zishughulikie hili

Hayo matuta ya miaka 5 pale kihonda.

Kwanini mafuriko yatokee mwaka huu.

Mimi naona Sababu ni Moja

Serikali imepiga marufuku watu wasilime mpunga kwenye bonde la kihindo.

Kama unavyojua ardhi ya kulima mpunga isipotibuliwa tibuliwa ndio Inatwamisha maji kwa kiasi kikubwa. Na kupekekea mafuriko.

Waruhusu watu waendelee na shughuli za kilimo kwenye lilies bonde la mpunga la kihonda otherwise Kila mwaka mafuriko yatatokea tu.
inabidi upimwe akili na malinda maana ujui ulitendalo
 
Natamani ukweli huu uwafikie wafanya maamuzi. Kampuni ya Kituruki ya Yapi imeinua tuta kubwa na refu kwa ajili ya kupitisha reli ya SGR badala ya nguzo. Kisha wakaweka outlet mbili za kupitishia maji.

Matokeo yake tuta limekuwa likiyablock maji kutoka milima ya azimio na Lukobe kusambaa kwenye njia zake za asili na kuyakusanya yote na kupita kwenye outlet mbili walizozoelekeza kwenye makazi ya watu!

Hata kama mvua hainyeshi mjini imenyesha Milimani ni mafuriko mjini hasa maeneo ya Lukobe, Azimio, Manyuki na Kihonda!

Kuna maafa makubwa yanakuja! Barabara zote za maeneo haya zimekatika. Rais tafadhali unda tume ujiridhishe na ukweli huu. Hatua zichukuliwe.
Tia picha
 
Natamani ukweli huu uwafikie wafanya maamuzi. Kampuni ya Kituruki ya Yapi imeinua tuta kubwa na refu kwa ajili ya kupitisha reli ya SGR badala ya nguzo. Kisha wakaweka outlet mbili za kupitishia maji.

Matokeo yake tuta limekuwa likiyablock maji kutoka milima ya azimio na Lukobe kusambaa kwenye njia zake za asili na kuyakusanya yote na kupita kwenye outlet mbili walizozoelekeza kwenye makazi ya watu!

Hata kama mvua hainyeshi mjini imenyesha Milimani ni mafuriko mjini hasa maeneo ya Lukobe, Azimio, Manyuki na Kihonda!

Kuna maafa makubwa yanakuja! Barabara zote za maeneo haya zimekatika. Rais tafadhali unda tume ujiridhishe na ukweli huu. Hatua zichukuliwe.
Kuna maafa makubwa yanakuja! Barabara zote za maeneo haya zimekatika. Rais tafadhali unda tume ujiridhishe na ukweli huu. Hatua zichukuliwe.[emoji419][emoji375]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Natamani ukweli huu uwafikie wafanya maamuzi. Kampuni ya Kituruki ya Yapi imeinua tuta kubwa na refu kwa ajili ya kupitisha reli ya SGR badala ya nguzo. Kisha wakaweka outlet mbili za kupitishia maji.

Matokeo yake tuta limekuwa likiyablock maji kutoka milima ya azimio na Lukobe kusambaa kwenye njia zake za asili na kuyakusanya yote na kupita kwenye outlet mbili walizozoelekeza kwenye makazi ya watu!

Hata kama mvua hainyeshi mjini imenyesha Milimani ni mafuriko mjini hasa maeneo ya Lukobe, Azimio, Manyuki na Kihonda!

Kuna maafa makubwa yanakuja! Barabara zote za maeneo haya zimekatika. Rais tafadhali unda tume ujiridhishe na ukweli huu. Hatua zichukuliwe.
Kuna maafa makubwa yanakuja! Barabara zote za maeneo haya zimekatika. Rais tafadhali unda tume ujiridhishe na ukweli huu. Hatua zichukuliwe.[emoji419][emoji375]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
SGR Popote Inapojengwa Ukiitembelea Utajionea Yapo Maeneo Yanazoiwa Maji Yote Na Kuelekezwa Kupita Sehemu Ambazo Huko Yaendako Hupoteza Uelekeo
 
Natamani ukweli huu uwafikie wafanya maamuzi. Kampuni ya Kituruki ya Yapi imeinua tuta kubwa na refu kwa ajili ya kupitisha reli ya SGR badala ya nguzo. Kisha wakaweka outlet mbili za kupitishia maji.

Matokeo yake tuta limekuwa likiyablock maji kutoka milima ya azimio na Lukobe kusambaa kwenye njia zake za asili na kuyakusanya yote na kupita kwenye outlet mbili walizozoelekeza kwenye makazi ya watu!

Hata kama mvua hainyeshi mjini imenyesha Milimani ni mafuriko mjini hasa maeneo ya Lukobe, Azimio, Manyuki na Kihonda!

Kuna maafa makubwa yanakuja! Barabara zote za maeneo haya zimekatika. Rais tafadhali unda tume ujiridhishe na ukweli huu. Hatua zichukuliwe.
Tume ya nini wakati tatizo umelizema? Mwisho utasikia Wahandisi Wetu ni kanjanja ila Wazungu ndio wako makini,haya Kiko wapi sasa
 
Bwawa la Mindu limejaa sana, na likijaa huwa linatema maji(overflow), likiyatema hayo maji ndio yanazagaa mitaani.

Kuna mpango wa kulitanua liwe kubwa zaidi.

SSH, kabla hajazindua treni ya umeme, kwanza aangalie athari za kimazingira za mradi wa reli hiyo (environmental impact assessment).

Haya mambo jiwe alikuwa anakataa kuyafanya, watu wanamshangilia
Hizo environment assessment zilifanywa kimagumashi na kina Mwendazake.

Bwawa litatanuliwa na Kuna mabilioni hapo ujenzi kuanza soon.

Komaeni na Sgr yenu.Vilio vya Mafuriko viko maeneo mengi sana ilikopita hii Sgr
 
Natamani ukweli huu uwafikie wafanya maamuzi. Kampuni ya Kituruki ya Yapi imeinua tuta kubwa na refu kwa ajili ya kupitisha reli ya SGR badala ya nguzo. Kisha wakaweka outlet mbili za kupitishia maji.

Matokeo yake tuta limekuwa likiyablock maji kutoka milima ya azimio na Lukobe kusambaa kwenye njia zake za asili na kuyakusanya yote na kupita kwenye outlet mbili walizozoelekeza kwenye makazi ya watu!

Hata kama mvua hainyeshi mjini imenyesha Milimani ni mafuriko mjini hasa maeneo ya Lukobe, Azimio, Manyuki na Kihonda!

Kuna maafa makubwa yanakuja! Barabara zote za maeneo haya zimekatika. Rais tafadhali unda tume ujiridhishe na ukweli huu. Hatua zichukuliwe.
Mkuu
Mpaka leo hata picha ya hilo tuta haujafanikiwa kuipata?

Tukisema.huu uzi ni umbea usitulaumu
 
Huu upumbavu unaanza kurudi kama mtu hakubaliki mnalazimishaje watu wamkubali
Kinachopimwa kukubalika ni matokeo ya kazi zake sio ujinga wenu wa mnataka au hamtaki.

Yaani tumpoteze Rais anaeleta matokeo mazuri kisa kukufurahisha wewe mpumbavu mmja?
 
Yako nje ya uwezo wake kimbinu maana wasaidizi wake wako busy kumhadaa kuhusu 2025 kuwa anakubalika ili wao wazidi kupiga maokoto kirahisi.

Wanalazimisha mikutano iwe Nyomi kwa nguvu na ahadi hewa kama za Bashite.

View attachment 2888001

Sent from my SM-A125F using JamiiForums mobile app
Hili la Watumishi ni lazima siku zote ni kama Mwenge tuu utake au usitake.

Nyie Watumishi ambao ni Wapinzani mtatafutwa tuu huko maofisini.
 
Naomba kuuliza yale matuta SGR sio hapo tu kuna sehemu nimeona utadhani ukuta na sehemu za maji yanatakiwa kujiachia, hii reli tumepigwa za uso.
Bado hamjasema,mtaogelea sana 😁😁

Huwezi sikia ujinga ujinga kama huo reli ya Tazara Kwa sababu cheap is expensive.

Kamfufueni Jiwe
 
Kinachopimwa kukubalika ni matokeo ya kazi zake sio ujinga wenu wa mnataka au hamtaki.

Yaani tumpoteze Rais anaeleta matokeo mazuri kisa kukufurahisha wewe mpumbavu mmja?
Nini sababu ya kulazimisha watu wakamuone?
 
Wanalipwa kusomba kile kifusi, wewe, magari, madereva, spare parts, weee ni gharama Sana Ndugu.

Wanalipwa kusomba kile kifusi, wewe, magari, madereva, spare parts, weee ni gharama Sana Ndugu!
Aisee! Ila nguzo zinapendeza na kuacha nafasi kubwa chini kuliko hayo matuta. Kuna lile tuta la kuingia dodoma yaani limekua kama mlima, halafu tuta limewekwa lami haina ubora linapukutika mvua ikinyesha.
 
Natamani ukweli huu uwafikie wafanya maamuzi. Kampuni ya Kituruki ya Yapi imeinua tuta kubwa na refu kwa ajili ya kupitisha reli ya SGR badala ya nguzo. Kisha wakaweka outlet mbili za kupitishia maji.

Matokeo yake tuta limekuwa likiyablock maji kutoka milima ya azimio na Lukobe kusambaa kwenye njia zake za asili na kuyakusanya yote na kupita kwenye outlet mbili walizozoelekeza kwenye makazi ya watu!

Hata kama mvua hainyeshi mjini imenyesha Milimani ni mafuriko mjini hasa maeneo ya Lukobe, Azimio, Manyuki na Kihonda!

Kuna maafa makubwa yanakuja! Barabara zote za maeneo haya zimekatika. Rais tafadhali unda tume ujiridhishe na ukweli huu. Hatua zichukuliwe.
"Sisi" wana JF tumezoea kudeka."Tunaomba" picha ya tuta hilo.
 
Back
Top Bottom