Chanzo cha Mgogoro Mashariki ya Kati. You must read this

Wakuu tujadili objectively kwa kuweka mbali mihemko ya imani zetu na kueleza UKWELI juu chanzo hasa cha mgogoro huu uliodumu miongo mingi.

Tuelimisha?
Tatizo
[emoji116][emoji116]
Ω„ΩŽΨͺΩŽΨ¬ΩΨ―ΩŽΩ†Ω‘ΩŽ Ψ£ΩŽΨ΄ΩŽΨ―Ω‘ΩŽ Ψ§Ω„Ω†Ω‘ΩŽΨ§Ψ³Ω ΨΉΩŽΨ―ΩŽΨ§ΩˆΩŽΨ©Ω‹ Ω„Ω‘ΩΩ„Ω‘ΩŽΨ°ΩΩŠΩ†ΩŽ Ψ’Ω…ΩŽΩ†ΩΩˆΨ§ Ψ§Ω„Ω’ΩŠΩŽΩ‡ΩΩˆΨ―ΩŽ ΩˆΩŽΨ§Ω„Ω‘ΩŽΨ°ΩΩŠΩ†ΩŽ Ψ£ΩŽΨ΄Ω’Ψ±ΩŽΩƒΩΩˆΨ§ Ϋ– ΩˆΩŽΩ„ΩŽΨͺΩŽΨ¬ΩΨ―ΩŽΩ†Ω‘ΩŽ Ψ£ΩŽΩ‚Ω’Ψ±ΩŽΨ¨ΩŽΩ‡ΩΩ… Ω…Ω‘ΩŽΩˆΩŽΨ―Ω‘ΩŽΨ©Ω‹ Ω„Ω‘ΩΩ„Ω‘ΩŽΨ°ΩΩŠΩ†ΩŽ Ψ’Ω…ΩŽΩ†ΩΩˆΨ§ Ψ§Ω„Ω‘ΩŽΨ°ΩΩŠΩ†ΩŽ Ω‚ΩŽΨ§Ω„ΩΩˆΨ§ Ψ₯ΩΩ†Ω‘ΩŽΨ§ Ω†ΩŽΨ΅ΩŽΨ§Ψ±ΩŽΩ‰Ω° ۚ Ψ°ΩŽΩ°Ω„ΩΩƒΩŽ Ψ¨ΩΨ£ΩŽΩ†Ω‘ΩŽ مِنْهُمْ Ω‚ΩΨ³Ω‘ΩΩŠΨ³ΩΩŠΩ†ΩŽ ΩˆΩŽΨ±ΩΩ‡Ω’Ψ¨ΩŽΨ§Ω†Ω‹Ψ§ ΩˆΩŽΨ£ΩŽΩ†Ω‘ΩŽΩ‡ΩΩ…Ω’ Ω„ΩŽΨ§ ΩŠΩŽΨ³Ω’ΨͺΩŽΩƒΩ’Ψ¨ΩΨ±ΩΩˆΩ†ΩŽ ( 82 )
Hakika utawakuta walio shadidi kuliko watu wote katika uadui kwa walio amini ni Mayahudi na washirikina. Na utawakuta walio karibu mno kwa mapenzi ni wale wanao sema: Sisi ni Manasara. Hayo ni kwa sababu wapo miongoni mwao makasisi na wamonaki, na kwa sababu wao hawafanyi kiburi
 
Tangu Disemba 27 hadi 18 Januari 2009 vyombo vya habari duniani vilitawaliwa na taarifa za mapigano kati ya Israel na kundi la Hamas la Palestina. Katika vita hiyo takriban wapalestina 1300 na Waisraeli 13 walipoteza maisha...
Umenihabarisha sana mkuu. Thanks.
 
Tangu Disemba 27 hadi 18 Januari 2009 vyombo vya habari duniani vilitawaliwa na taarifa za mapigano kati ya Israel na kundi la Hamas la Palestina. Katika vita hiyo takriban wapalestina 1300 na Waisraeli 13 walipoteza maisha...
Uchambuzi mzuri
 
Hapo hata mwarabu afanyeje haiwezi kurithi Mali Ya ndoa halali ya Ibrahim na Sara. Hapo mwarabu ni mchepuko tu. Mungu anaonyesha kuwa akiamua Kumlinganisha mwenye haki hashindwi.
Acha kucoment kwa mihemuko mtoto wa kiume
 
Soma kuanzia Aya ya 20
haya mambo yesu alishasema.
Wakuu tujadili objectively kwa kuweka mbali mihemko ya imani zetu na kueleza UKWELI juu chanzo hasa cha mgogoro huu uliodumu miongo mingi.

Tuelimishane...
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] Mkuu comment yako nimecheka na hayo maswali
 
Hongera sana mwandishi kwa kuandika madini adimu kma haya. Kuna mambo mengi ya kujifunza hapa kijajusi,ulinzi na usalama. Jamaa wapo vizuri sana. Jinsi wanavyoishi eneo lile ingekuwa taifa lingine lingekuwa limeshafutika.
Wanaishije eneo la watu, watafute nchi yao wakaishi, Mungu alivyowapiga laana watahangaika mpka siku ya mwisho, Hitla alijua hawa watu watafanya ufisadi mkubwa na hakuna nchi Ulaya inawataka yaani watasumbuka sana, angalia waisraili katika hizo picha apo chini wanavyosema
 
Hapo hata mwarabu afanyeje haiwezi kurithi Mali Ya ndoa halali ya Ibrahim na Sara. Hapo mwarabu ni mchepuko tu. Mungu anaonyesha kuwa akiamua Kumlinganisha mwenye haki hashindwi.
Ungejua kuwa Waislamu na Wayahudi wako karibu sana kiimani kuliko ilivyo ukristo na Uyahudi ungefunga zipu.

Pia Wailamu wanashika nafasi ya pili kwa uwingi watu waliopo Israel wakati wakristo ni kiduchu tu, na pia Wairael hawaamini kitu kiitwacho biblia, na Jesus wanamchukulia kama kijana tu wa fundi seremala, na wanamsubiri Mkombozi wao walioahidiwa na Mungu wao!
 
Acha uongo na upotoshaji Agano la kale la wakristo ni sawa πŸ’― na biblia ya kiyahudi, tofauti ni uwepo wa Agano jipya biblia ya kiyahudi Haina Agano jipya
 
Mgogoro wa Israel vs Palestine hua unachosha sana ukiuusoma kila upande unavutia kwake, mpaka Leo sijui sababu na chanzo halisi cha huu mgogoro ambaye anajua atusaidie lkn iwe uhalisia bila kuegemea upande wowote[emoji848][emoji848][emoji848]

Chanzo ni chuki za asili katika imani zao. Uyahudi, ukristo, Islam

Hawakubliani, hawapendani, mahasimu wa asili.
 
Ndo weshafika. Wanatanga tanga wapi wakati ndo wapo hapo walipo? Unaleta proverb ikurahishie uwezo wako mdogo wa akili? Kuna methali ya kiswahili inasemA MFICHA UCHI HAZAI. so kwa akili yako utasema angalia watanzania wanasema wanawake wawe wanaachia tu uchis zao. We kilaza sana. πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚


 
WE MUONGO HALAFU UONGO WAKO WA KITOTO NA HUNA HATA ELIMU. πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Wapalestina na vibaraka wao wanaanzisha uchokozi kwa Israel wakiwa na mbwembwe nyingi, wakishatandikwa wanaanza kulialia.

Ukweli ni kwamba, hakuna taifa wala kikundi kitakachoanzisha vita na Israel na kushinda.
Ukweli wote upo kwenye Biblia

I STAND WITH ISRAEL, I PRAY FOR ISRAEL...
 
Dada ww hujui kilichotokea, ndio maana ukiziona hizo picha na ukweli huwa inakuuma sana ila ukweli ndio huo, hata useme vp ukweli hauwezi kubadilika so ww endelea na upimbi wako
 
Ww muabudia Yesu wazayuni wanajimwambafai kuwa wamemuuwa Yesu na wanasema wanajiproud kwa hilo coz alikua adui yao alaf unatoka huko umeshashiba matembere maskini bila kujitambua unasema unaunga mkono wazayuni wakati hawana mpango na ww kabisa yaani ww ndio kwanza unawashobokea mtoto wa kiume? Jitambue kijana utakuja kubanfuliwa na wazayuni mchana kweupeeee
 
Israel ilikua wapi kabla ya 1948? ukijua hili basi swali limeisha.
Hili zahma kidogo litue Uganda. Kwa rehema za mwenyezi Mungu ameepusha mfarakano EA-The early Zionists were offered, and nearly accepted, Uganda as the Jewish homeland.
 
Dada ww hujui kilichotokea, ndio maana ukiziona hizo picha na ukweli huwa inakuuma sana ila ukweli ndio huo, hata useme vp ukweli hauwezi kubadilika so ww endelea na upimbi wako
Sawa shangazi yangu. Naona unateseka bure tu. Jamaa ndo washakaa..... Wewe endelea kuteseka.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…