Chanzo Cha Umaskini Tanzania hiki Hapa. Deep State kazi kwenu

Chanzo Cha Umaskini Tanzania hiki Hapa. Deep State kazi kwenu

MKUU

Hiyo taasisi unayoitaja ya 0101 IPO katika reformation kubwa ya nchi yetu,ndio maaana inataka kitabu kipya na muelekeo upya!!

Hukonmwanzo hatma ya kiuchumi ya nchi iliachiwa wanasiasa lakini.sasa Kuna mpango mpya na Kuna vijana Kwa miaka 12 wanapikwa pale st.peters watakuja kuweka mambo sawa kuhusu ujasusi was kiuchumi!!

Hiyo taasisi ilitukosea Sana kuachia uchumi na mstakabali was watz wanasiasa ambao wanajali matumbo Yao kwa ubunge na vyeo plus uchawa ndio janga kuu la taifa Hadi kesho!!
Hiyo taasisi hakuna la maana wanalo fanya,zaidi ya kulinda wezi maana nao ni wanufaika wa mfumo.Hizo story za st.peter huwa naona kama hadithi za Abunuwasi tu,zenye wahusika wa kufikilika tu.

Taifa hili halija anza harakati za kudai mageuzi leo,miaka 60s ya uhuru ni muda mrefu sana,Cha kushangaza hali inakuwa mbaya zaidi,Na hao DP wapo tu wanashangaa jinsi nchi inavyo liwa na tabaka la wachache.kuamini kwamba hawa ndo mworabaini wa matatizo ni kuwa "wapumbavu".

Kutegemea kikundi kinacho jivika uzalendo uchwara matokea yake ndo haya,kila kitu kipo hovyo.kule Japan Emporer Meiji kupitia sera ya "reforms au reformation" aliamua kuwamaliza wahafidhina wa kisamurai ambao walikuwa wanufaika wa mfumo,hivyo basi Tanzania inapaswa kupata kiongozi kama Meiji.
 
Mkuu hujaona kitu wewe!!?

Hujaiona sequence and series' Fulani hapa nchini!!?

Huona Kuna mambo yanaandaliwa kimya kimya!!?

Wanaanza na wale wakubwa pole pole halafu Hawa wadogo wanawekwa benchi TU by 2025!!

Nadhani hujaona vizuri kinachofanyika!!

Ile Kambi inayojiita chama kina wenyewe naiona ikishughulikiwa pole pole Kwa namna fulani ambayo wenye akili TU ndio wata notice hiyo kitu!!

Ukishaondoa hao wazee watoto hawana mizizi kwa sana!utaona na kuelewa!!

Moja ya kazi wanayoifanya ni kutopangiwa namba Moja na wao hao wanaojiona wenye nchi!

Namuona kijana mmoja anaejiandaa na 2025 akikosa support ya Nia yake coz wa kumpigania wanaondoka kiaina !we huoni!!?

Utanielewa!!

Urais ulishaanza kuonekana wa kawaida hata mambumbu wanautaka hao jamaa wamegoma na wanakata mizizi kimya kimya!

Utaelewa TU,coz 2025 anasimama mwingine kabisa sio huyu,na wale vijana wale wanaoutaka watapotea kabisa kisiasa!!

Utaona!!
Hiyo taasisi hakuna la maana wanalo fanya,zaidi ya kulinda wezi maana nao ni wanufaika wa mfumo.Hizo story za st.peter huwa naona kama hadithi za Abunuwasi tu,zenye wahusika wa kufikilika tu.

Taifa hili halija anza harakati za kudai mageuzi leo,miaka 60s ya uhuru ni muda mrefu sana,Cha kushangaza hali inakuwa mbaya zaidi,Na hao DP wapo tu wanashangaa jinsi nchi inavyo liwa na tabaka la wachache.kuamini kwamba hawa ndo mworabaini wa matatizo ni kuwa "wapumbavu".

Kutegemea kikundi kinacho jivika uzalendo uchwara matokea yake ndo haya,kila kitu kipo hovyo.kule Japan Emporer Meiji kupitia sera ya "reforms au reformation" aliamua kuwamaliza wahafidhina wa kisamurai ambao walikuwa wanufaika wa mfumo,hivyo basi Tanzania inapaswa kupata kiongozi kama Meiji.
hUJ
 
Najua Chadema mnataka kutumia fursa hii ya mgawanyo Mpya wa Majimbo mkiamini kwamba Kwa kuwa mnaungaa mkono na watu wa Mjini basi mtashinda Majimbo mengi Mijini.

Hii logic yenu Haina maana Kwa sababu mara zote kura za ujumla Huwa mnazidiwa bila kujalisha ni mjini au Vijijini.

Mwisho naweza kukubaliana kwamba Baadhi ya vigezo sio sawa kulingana na huo mfano wa Lisu lakini mazingira ya Tanzania kijiografia ni tofauti sana na huko kwingine.

Kwanza Nchi yetu ni kubwa na Ina mtawanyiko mkubwa wa watu so ukifuata idadi tuu bila vigezo vingine sio sawa kabisa.
Wewe unaona sawa watu laki tatu kuwa na mbunge mmoja sawa na watu elfu tano??
 
Najua Chadema mnataka kutumia fursa hii ya mgawanyo Mpya wa Majimbo mkiamini kwamba Kwa kuwa mnaungaa mkono na watu wa Mjini basi mtashinda Majimbo mengi Mijini.

Hii logic yenu Haina maana Kwa sababu mara zote kura za ujumla Huwa mnazidiwa bila kujalisha ni mjini au Vijijini.

Mwisho naweza kukubaliana kwamba Baadhi ya vigezo sio sawa kulingana na huo mfano wa Lisu lakini mazingira ya Tanzania kijiografia ni tofauti sana na huko kwingine.

Kwanza Nchi yetu ni kubwa na Ina mtawanyiko mkubwa wa watu so ukifuata idadi tuu bila vigezo vingine sio sawa kabisa.
Marekani ni kubwa kuliko Tanzania mara kumi na ina jiografia complicated kuliko Tanzania ila katiba yao imeweka sheria rasmi majimbo ya uchaguzi yatapangwa kulingana na idadi ya watu.
 
Marekani ni kubwa kuliko Tanzania mara kumi na ina jiografia complicated kuliko Tanzania ila katiba yao imeweka sheria rasmi majimbo ya uchaguzi yatapangwa kulingana na idadi ya watu.
Level za Marekani sio sawa na Tzn,tukifuata huo utaratibu wao tutaangukia Pua.
 
Mkuu hujaona kitu wewe!!?

Hujaiona sequence and series' Fulani hapa nchini!!?

Huona Kuna mambo yanaandaliwa kimya kimya!!?

Wanaanza na wale wakubwa pole pole halafu Hawa wadogo wanawekwa benchi TU by 2025!!

Nadhani hujaona vizuri kinachofanyika!!

Ile Kambi inayojiita chama kina wenyewe naiona ikishughulikiwa pole pole Kwa namna fulani ambayo wenye akili TU ndio wata notice hiyo kitu!!

Ukishaondoa hao wazee watoto hawana mizizi kwa sana!utaona na kuelewa!!

Moja ya kazi wanayoifanya ni kutopangiwa namba Moja na wao hao wanaojiona wenye nchi!

Namuona kijana mmoja anaejiandaa na 2025 akikosa support ya Nia yake coz wa kumpigania wanaondoka kiaina !we huoni!!?

Utanielewa!!

Urais ulishaanza kuonekana wa kawaida hata mambumbu wanautaka hao jamaa wamegoma na wanakata mizizi kimya kimya!

Utaelewa TU,coz 2025 anasimama mwingine kabisa sio huyu,na wale vijana wale wanaoutaka watapotea kabisa kisiasa!!

Utaona!!

hUJ
🤣 🤣 🤣
 
Hoja ya msingi ni mtawanyiko wa watu kwenye eneo,Hilo la mapori ni lako.
Mtawanyiko wa watu sio jambo la msingi katika ubunge, idadi ya watu ndio jambo la msingi. Ubunge una uhusiano mkubwa na kulipa kodi, walipa kodi wanatakiwa kuwakilishwa katika vyombo vya kufanya maamuzi kwa msingi wa idadi yao.
 
Tangu lini Wabunge wakaleta maendeleo? Hata Dar nzima ikiwakilishwa na Mbunge mmja Wala hakuna shida yeyote.
Sawa kwa nini haiwakilishwi na mbunge mmoja na badala yake tunapoteza pesa kuwalipa wabunge wengine tisa wa ziada??
 
Kwa nchi kama Tanzania, umasikini ni more cultural na personal issue kuliko uongozi mkuu, vijana pesa wanapata, ila bata zinatuua sana, bongo ukiwa smart kidogo tu unatoboa
Sio kweli
 
Sio kweli
Mapori kibao, hapa mjin ukikaza hela unapata, ila shida inakuja vitu kama extended families vinatuua sanaaa, unalipwa 700k ila 300k unaitumia kwenye shughuli za kijamii,

Serikali ina part yake ila cultural na personal issue zina nafasi yake kubwa sana
 
Kwani hayo majukumu yanahitaji watu Lundo? Ni lini Wabunge wakaleta maendeleo?
Sasa kama hawaleti maendeleo kwa nini Mtwara isiwakilishwe na wabunge watatu kwa uwiano sawa na Dar ili tuache kupoteza pesa za walipa kodi kuwalipa wabunge wengine saba wa wa ziada?

Kwa nini tupoteze bilioni 200 kila baada ya miaka mitano kulipa wabunge wa viti maalumu badala ya kuzipeleka kujenga lami Wilayani??
 
Sasa kama hawaleti maendeleo kwa nini Mtwara isiwakilishwe na wabunge watatu kwa uwiano sawa na Dar ili tuache kupoteza pesa za walipa kodi kuwalipa wabunge wengine saba wa wa ziada?

Kwa nini tupoteze bilioni 200 kila baada ya miaka mitano kulipa wabunge wa viti maalumu badala ya kuzipeleka kujenga lami Wilayani??
Mtawanyiko wa watu ndio kigezo kikubwa.
 
Level za Marekani sio sawa na Tzn,tukifuata huo utaratibu wao tutaangukia Pua.
Kenya, Africa Kusini, Zambia na kwingine kote kwenye angalau dalili za demokrasia kigezo cha kugawa majimbo ya ubunge ni idadi ya watu, sio milima, barabara na mapori.
 
Kenya, Africa Kusini, Zambia na kwingine kote kwenye angalau dalili za demokrasia kigezo cha kugawa majimbo ya ubunge ni idadi ya watu, sio milima, barabara na mapori.
Kuna maendeleo gani kushinda Tzn?
 
Tangu lini Wabunge wakaleta maendeleo? Hata Dar nzima ikiwakilishwa na Mbunge mmja Wala hakuna shida yeyote.
Huoni kwamba kuongezwa idadi ya majimbo ni kuongeza gharama na matumizi yasiyo na maana yoyote kwa kulipa wabunge?

Badala ya hizo fedha kulipa iddadi kubwa ya wabunge ambao kwa maoni yako hawawezi hata kuleta maendeleo, si bora bajeti hiyo kuelekezwa kwenye miundo mbinu mingine na siyo kulipa kisichochangia maendeleo yoyote???
 
Mapori kibao, hapa mjin ukikaza hela unapata, ila shida inakuja vitu kama extended families vinatuua sanaaa, unalipwa 700k ila 300k unaitumia kwenye shughuli za kijamii,

Serikali ina part yake ila cultural na personal issue zina nafasi yake kubwa sana
Sio kweli, kwanza ni vigumu sana kupata pesa maporini n pia hata mjini kama sera na uongozi sio mzuri sio rahisi kupata pesa au kutoboa kwa walio wengi.
Masuala ya nchi unapaswa kuyatazama katika ngazi ya macro sio micro.
 
Back
Top Bottom