Chanzo Kikuu cha Watu walio kwenye mahusiano kuchepuka

Chanzo Kikuu cha Watu walio kwenye mahusiano kuchepuka

Ni mtazamo wako tu, kuchepuka ni tabia ya mtu, kukosa uaminifu na hali ya kutoridhika
 
Ninachojua mm ....hakuna njia ya kum win mwanamke wako asichepuke .....coz wanawake Wanahuitaj vitu vingi sana km
1)muda wako
2) attention yako kwake
3) umjali kwa maneno na vitendo
4) kumuhudumia
5) kumfikisha kileleni
6) mwanaume uwe smart
7) zawadi zi mara kwa mara
8) uwe available kila atakapokuhitaji
9) muamala(pesa)
kutoka kwa mwanaume na...n vigumu mwanaume kutizimiza kila atakalo mwanamke
So swala LA mwanamke kuchepuka nalo ni hitaji LA mwanamke japo hawezi kukuambia
 
Ninachojua mm ....hakuna njia ya kum win mwanamke wako asichepuke .....coz wanawake Wanahuitaj vitu vingi sana km
1)muda wako
2) attention yako kwake
3) umjali kwa maneno na vitendo
4) kumuhudumia
5) kumfikisha kileleni
6) mwanaume uwe smart
7) zawadi zi mara kwa mara
8) uwe available kila atakapokuhitaji9) kutoka kwa mwanaume na...n vigumu mwanaume kutizimiza kila atakalo mwanamke
Umemaliza kila kitu mkuu...
 
(1)Akiwa na urafiki na mwanaume
(2)Kipindi mmekosana/mmenuniana
(3)kipato cha mwanaume kikipungua.
(4)uwepo/awapo amesafiri
(5)Akiwa kazini hasa kama ameajiriwa
Mwanamke kuchepuka ni hulka hawaridhiki wewe mgegede tu afike vilima vyote kama huna pesa anachepuka tu.

Jiulize kama kapewa kucha safi na nzuri na muumba wake yeye anaweka za bandia.

Kapewa nywele nzuri yeye anaweka za bandia

Kapewa kope nzuri yeye anaweka za bandia

Kapewa makalio mazuri yeye kamuona mchina ndio mungu wake

Kapewa rangi nzuri yeye kauona mkorogo wa Kongo ndio bora zaidi

Kwahyo mwanamke hata umfanyie jambo gani zuri bado hatoridhika
Kumridhisha mwanamke labda mpaka pale atakapokufa ndio utasema ameridhika
 
Ninachojua mm ....hakuna njia ya kum win mwanamke wako asichepuke .....coz wanawake Wanahuitaj vitu vingi sana km
1)muda wako
2) attention yako kwake
3) umjali kwa maneno na vitendo
4) kumuhudumia
5) kumfikisha kileleni
6) mwanaume uwe smart
7) zawadi zi mara kwa mara
8) uwe available kila atakapokuhitaji
9) muamala(pesa)
kutoka kwa mwanaume na...n vigumu mwanaume kutizimiza kila atakalo mwanamke
So swala LA mwanamke kuchepuka nalo ni hitaji LA mwanamke japo hawezi kukuambia
utumwa huu
 
Mwanamke kuchepuka ni hulka hawaridhiki wewe mgegede tu afike vilima vyote kama huna pesa anachepuka tu.

Jiulize kama kapewa kucha safi na nzuri na muumba wake yeye anaweka za bandia.

Kapewa nywele nzuri yeye anaweka za bandia

Kapewa kope nzuri yeye anaweka za bandia

Kapewa makalio mazuri yeye kamuona mchina ndio mungu wake

Kapewa rangi nzuri yeye kauona mkorogo wa Kongo ndio bora zaidi

Kwahyo mwanamke hata umfanyie jambo gani zuri bado hatoridhika
Kumridhisha mwanamke labda mpaka pale atakapokufa ndio utasema ameridhika
Ukweli mtupu
 
Wakuu,
Maneno yenu in kweli kabisa!

Mwanamke wako inakulazimu kumthamini na kumjali.

Hata kama pesa au maisha yamebadilika pale nyumbani akielezwa katika njia inayofaa ata coope na mazingira.

Mpige kitu vizuri na wewe ukichepuka asijue! Sababu nyege ya mwanaume haishagi na macho juu juu. Akijua wewe unachepuka atatoa dudu nje.

Mwanamke mwoga sana kutoa kitu unless unamnyanyasa kwa hayo tulioyasema.
Ndugu mwanamke hata umjari vip kama ameumbwa na tamaa hawezi tulia hata mara moja hata umpende vip.tambua binadam ameumbwa pia anamapungufu yake kwahiyo kama ni mke lazima atambue hilo na awe na uaminifu tu.unaweza ukawa unampa matunzo lakini kama roho yake haitosheki hariziki hasirani,kwan wao tunavyowavumiliaga ndo wanatulizisha kwa kila kitu au??
 
Back
Top Bottom