Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Asilimia kubwa kimapenzi. Asilimia ndogo ki-usela kwa wale wanaokuta mapungufu kwa waume zao, hawa wanakumbuka enzi za usela na kama wasela wapo jirani ndio kimbilioKuwa nao kimapenzi au usela tu??
Wanaume wanachepuka kwa uerevu wao....Wanawake wanachepuka kwa ujinga wao wenyewe japo pia hizo zinaweza kuchangia
Umesema kweli Kabisa. Watu wanafata kale kastarehe, kautamu kanakopatikana kwenye kutomb.ana. Kuna wanaume wako vzr kitandani na uchumi pia mzuri lkn mke anachepuka. Wapo wanawake wana kila kinachohitajika mke awe nacho lkn utakuta mmewe anachepuka...Sababu za kuchepuka ziko mbili tu,:mwanamke kama alivyo mwanaume anachepuka kwa sababu anataka kustarehe, tendo la ndoa ni starehe nzuri kuliko starehe zote.Anatoka ili kuona utamu mwingine kwingine ukoje.Sababu ya pili ni uchumi, mwanamke atabadilisha wanaume ili kujiongezea kipato.Sababu zingine zote ni ndogo na hazina uzito.Hata hao wanaume wanaowalipa wanawake wanataka kuona starehe ya mwingine ikoje hata kama nyumbani ana bonge la mwanamke.Kwa kifupi kinachosumbua ni starehe,starehe na si kingine.
Sababu za kuchepuka ziko mbili tu,:mwanamke kama alivyo mwanaume anachepuka kwa sababu anataka kustarehe, tendo la ndoa ni starehe nzuri kuliko starehe zote.Anatoka ili kuona utamu mwingine kwingine ukoje.Sababu ya pili ni uchumi, mwanamke atabadilisha wanaume ili kujiongezea kipato.Sababu zingine zote ni ndogo na hazina uzito.Hata hao wanaume wanaowalipa wanawake wanataka kuona starehe ya mwingine ikoje hata kama nyumbani ana bonge la mwanamke.Kwa kifupi kinachosumbua ni starehe,starehe na si kingine.
YAANI...UMEMALIZA...ni kujiendekezaMtu yeyote anayeijali nafsi yake hawezi kuchepuka awe mwanamke au mwanaume. Tamaa ya nafsi zetu kama binadamu inatushinda na hivyo kushindwa kuzithamini nafsi zetu
Sins usemiNdo Wewe ?
Mwanaume ruksa au sijakuelewa?Mwanamke hapaswi kuchepuka kwa namna yoyote kwa hari yoyote aliyonayo mumewe ni kosa halivumiliki na hukumu yake ni kutengana penzi haligawanyiki unamwachia mwingine
Mie I don't care achepuke au asichepuke sina mda wa kufuatilia mambo ya mwanamke wangu,kwani ukigonga inaisha,cha msingi nisijue baaaasiWakuu,
Maneno yenu in kweli kabisa!
Mwanamke wako inakulazimu kumthamini na kumjali.
Hata kama pesa au maisha yamebadilika pale nyumbani akielezwa katika njia inayofaa ata coope na mazingira.
Mpige kitu vizuri na wewe ukichepuka asijue! Sababu nyege ya mwanaume haishagi na macho juu juu. Akijua wewe unachepuka atatoa dudu nje.
Mwanamke mwoga sana kutoa kitu unless unamnyanyasa kwa hayo tulioyasema.
Kheri Ya Mwaka LakiniSins usemi