jje's
JF-Expert Member
- Sep 3, 2014
- 10,812
- 16,487
h
teh teh, mwanamke ni rahisi sana kuridhika kama unamjali
ahahahahah eti atakapokufaMwanamke kuchepuka ni hulka hawaridhiki wewe mgegede tu afike vilima vyote kama huna pesa anachepuka tu.
Jiulize kama kapewa kucha safi na nzuri na muumba wake yeye anaweka za bandia.
Kapewa nywele nzuri yeye anaweka za bandia
Kapewa kope nzuri yeye anaweka za bandia
Kapewa makalio mazuri yeye kamuona mchina ndio mungu wake
Kapewa rangi nzuri yeye kauona mkorogo wa Kongo ndio bora zaidi
Kwahyo mwanamke hata umfanyie jambo gani zuri bado hatoridhika
Kumridhisha mwanamke labda mpaka pale atakapokufa ndio utasema ameridhika
teh teh, mwanamke ni rahisi sana kuridhika kama unamjali