Chanzo Kikuu cha Watu walio kwenye mahusiano kuchepuka

Chanzo Kikuu cha Watu walio kwenye mahusiano kuchepuka

h
Mwanamke kuchepuka ni hulka hawaridhiki wewe mgegede tu afike vilima vyote kama huna pesa anachepuka tu.

Jiulize kama kapewa kucha safi na nzuri na muumba wake yeye anaweka za bandia.

Kapewa nywele nzuri yeye anaweka za bandia

Kapewa kope nzuri yeye anaweka za bandia

Kapewa makalio mazuri yeye kamuona mchina ndio mungu wake

Kapewa rangi nzuri yeye kauona mkorogo wa Kongo ndio bora zaidi

Kwahyo mwanamke hata umfanyie jambo gani zuri bado hatoridhika
Kumridhisha mwanamke labda mpaka pale atakapokufa ndio utasema ameridhika
ahahahahah eti atakapokufa
teh teh, mwanamke ni rahisi sana kuridhika kama unamjali
 
Hiyo namba tano imeniokoa sana kwani huku kazini kwetu huwa nachagua wale wake za watu wennye chura tu!
 
Ninachojua mm ....hakuna njia ya kum win mwanamke wako asichepuke .....coz wanawake Wanahuitaj vitu vingi sana km
1)muda wako
2) attention yako kwake
3) umjali kwa maneno na vitendo
4) kumuhudumia
5) kumfikisha kileleni
6) mwanaume uwe smart
7) zawadi zi mara kwa mara
8) uwe available kila atakapokuhitaji
9) muamala(pesa)
kutoka kwa mwanaume na...n vigumu mwanaume kutizimiza kila atakalo mwanamke
So swala LA mwanamke kuchepuka nalo ni hitaji LA mwanamke japo hawezi kukuambia
Ukweli mtupu....
 
Wakuu,
Maneno yenu in kweli kabisa!

Mwanamke wako inakulazimu kumthamini na kumjali.

Hata kama pesa au maisha yamebadilika pale nyumbani akielezwa katika njia inayofaa ata coope na mazingira.

Mpige kitu vizuri na wewe ukichepuka asijue! Sababu nyege ya mwanaume haishagi na macho juu juu. Akijua wewe unachepuka atatoa dudu nje.

Mwanamke mwoga sana kutoa kitu unless unamnyanyasa kwa hayo tulioyasema.
Umemaliza yote mkuu
 
Mwanamke kuchepuka ni hulka hawaridhiki wewe mgegede tu afike vilima vyote kama huna pesa anachepuka tu.

Jiulize kama kapewa kucha safi na nzuri na muumba wake yeye anaweka za bandia.

Kapewa nywele nzuri yeye anaweka za bandia

Kapewa kope nzuri yeye anaweka za bandia

Kapewa makalio mazuri yeye kamuona mchina ndio mungu wake

Kapewa rangi nzuri yeye kauona mkorogo wa Kongo ndio bora zaidi

Kwahyo mwanamke hata umfanyie jambo gani zuri bado hatoridhika
Kumridhisha mwanamke labda mpaka pale atakapokufa ndio utasema ameridhika
Sio kweli hata kidogo
 
Mwanamke kuchepuka ni hulka hawaridhiki wewe mgegede tu afike vilima vyote kama huna pesa anachepuka tu.

Jiulize kama kapewa kucha safi na nzuri na muumba wake yeye anaweka za bandia.

Kapewa nywele nzuri yeye anaweka za bandia

Kapewa kope nzuri yeye anaweka za bandia

Kapewa makalio mazuri yeye kamuona mchina ndio mungu wake

Kapewa rangi nzuri yeye kauona mkorogo wa Kongo ndio bora zaidi

Kwahyo mwanamke hata umfanyie jambo gani zuri bado hatoridhika
Kumridhisha mwanamke labda mpaka pale atakapokufa ndio utasema ameridhika
Hahaa jmn eti akifa ndio karidhika
 
Sababu za kuchepuka ziko mbili tu,:mwanamke kama alivyo mwanaume anachepuka kwa sababu anataka kustarehe, tendo la ndoa ni starehe nzuri kuliko starehe zote.Anatoka ili kuona utamu mwingine kwingine ukoje.Sababu ya pili ni uchumi, mwanamke atabadilisha wanaume ili kujiongezea kipato.Sababu zingine zote ni ndogo na hazina uzito.Hata hao wanaume wanaowalipa wanawake wanataka kuona starehe ya mwingine ikoje hata kama nyumbani ana bonge la mwanamke.Kwa kifupi kinachosumbua ni starehe,starehe na si kingine.
 
Ukweli mtupu....
Sio kweli hata kidogo, makorokoro yote yaliotajwa hapo juu kwa mwanamke hayana maana yeyote, mfikishe kileleni kila siku lakini anataka na mwingine amfikishe.Mpatie pesa zote ulizonazo kwake hazina maana yeyote zaidi ya kubadilisha utamu mwingine.Ni sawa na chakula leo wali, kesho viazi keshokutwa ugali na samaki.
 
Back
Top Bottom