Chanzo Kikuu cha Watu walio kwenye mahusiano kuchepuka

Umesema kweli Kabisa. Watu wanafata kale kastarehe, kautamu kanakopatikana kwenye kutomb.ana. Kuna wanaume wako vzr kitandani na uchumi pia mzuri lkn mke anachepuka. Wapo wanawake wana kila kinachohitajika mke awe nacho lkn utakuta mmewe anachepuka...
 
 
Kwa iyo wawo wamezaliwa kusubir kujariwa na wanaume na wawo inabid watambue wapo wengi akizingua piga chin mwanamke ameumbwa na roho ya tamaa kumridhisha kila kitu umedanganya we kuwa nae akizingua piga chin
 
Mie I don't care achepuke au asichepuke sina mda wa kufuatilia mambo ya mwanamke wangu,kwani ukigonga inaisha,cha msingi nisijue baaaasi
 
Wanaume wachungu sana kusikia mwanamke kachepuka
Ila wao mipango ya kando ni ujanja na nilazima!

Michepuko ya kike haina sababu au ndio lazima!?

Je kama analipiza baada ya kukuona wewe unamchepuko?

Mnafakamia sana mabeki tatu!
Ila mnajiona mnasababu za kutosha kulala na hg!
Eti wanaume nyege haziishi[emoji51]
Aliwaambia wanawake nyege zinaisha nani? Kama bwana wako anakunyanyasa,ukikutana na mshona viazi anakubembeleza na kukuheshimu,unahamisha kambi tuu,wala sio kuchit tuu,
Mfyuuu!

NB. siwapendi wazinzi wa jinsia zote!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…