Chanzo Kikuu cha Watu walio kwenye mahusiano kuchepuka

Chanzo Kikuu cha Watu walio kwenye mahusiano kuchepuka

Habari.

Hizi Ni sababu zinazomfanya mwanamme kuchepuka katika mahusiano/ ndoa

1. Kutoridhidhwa na mwanamke
2. Gubu ndani ya nyumba
3. Kubana bana papuchi bila mpangilio
4. Kutokuwa saafi
5. Nyingine ongezea wewe basi alaaa
6.
7.
8.
9.
10.
Mwanaume kuchepuka ni Nature ata akitoka kula papuchi muda huo huo akiona mwanamke mwenye matako anaenda kuchepuka nae.
 
Habari.

Hizi Ni sababu zinazomfanya mwanamme kuchepuka katika mahusiano/ ndoa

1. Kutoridhidhwa na mwanamke
2. Gubu ndani ya nyumba
3. Kubana bana papuchi bila mpangilio
4. Kutokuwa saafi
5. Nyingine ongezea wewe basi alaaa
6.
7.
8.
9.
10.
Namba3 ukweli mtupu kabisa hii tabu sana
 
Huwezi kula mboga moja mwaka mzima. Wachache watanielewa nacho maanisha
 
Salamu Sana.

Hivi mnajua chanzo cha wapenzi/wanandoa kuchepuka ?

Ni hiki hapa

Sababu kubwa inayomfanya mtu kuchepuka hasa ndani ya ndoa ni KUONJA ONJA KABLA YA NDOA.

Amini usiamini
Laiti kama watu wote wangekuwa wanayajua mapenzi wakiwa tayari ndoani wala wasingepata tamaa za wapenz wengine kwani wangeridhika na kile wanachokipata. Na wangejua kuwa hali ndivo ilivo siku zote.

Lakini Sasa unaoa/kuolewa na mtu amesha chungulia nyuchi 126 za watu tofauti tofauti. Halafu anakuja kwako Kila siku unampa ile ile!!!! KHAA kwanini asiende kuzisaka nyingine?


Au we unasemaje.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ni kweli asilimia 900

Hata shetani ataona aibu akipinga hili suala
 
TAMAA TAMAA TAMAA...
Hii ndo sababu(kuu) ya kuchepuka.
Wapo wengi waliolewa mabikra lakini saiv wamekuwa wachepukaj wazur..

Pia wapo waliokuwa na tabia za umalaya lkn sasa wameona hakuna jipya na wameamua kutulia zao.

My friend always learn how to control your mind
 
Eti wanachoka kula matembele kila siku wakati mwingine wanahitaji bamia.
 
Salamu Sana.

Hivi mnajua chanzo cha wapenzi/wanandoa kuchepuka ?

Ni hiki hapa

Sababu kubwa inayomfanya mtu kuchepuka hasa ndani ya ndoa ni KUONJA ONJA KABLA YA NDOA.

Amini usiamini
Laiti kama watu wote wangekuwa wanayajua mapenzi wakiwa tayari ndoani wala wasingepata tamaa za wapenz wengine kwani wangeridhika na kile wanachokipata. Na wangejua kuwa hali ndivo ilivo siku zote.

Lakini Sasa unaoa/kuolewa na mtu amesha chungulia nyuchi 126 za watu tofauti tofauti. Halafu anakuja kwako Kila siku unampa ile ile!!!! KHAA kwanini asiende kuzisaka nyingine?


Au we unasemaje.

Sent using Jamii Forums mobile app
Hivi ukiwa unatembea barabarani,ukaona begi la pesa,ukalichukua,ukaenda nalo nyumbani,siku ya kwanza kama mwenyewe hajatokea,utatumia kiasi Fulani,ikipita mwaka,utatumia zaidi.
Pesa ni kitu kizuri,kama yalivyo mapenzi/sex.
Sasa kwa hulka ya mwanadamu,huwezi kutosheka na kitu kizuri utataka zaidi na zaidi,wanaume kwa asili yao ni polygamous,kinachowafanya wawe monogamous,ni nidhamu tu,hakuna kitu mwanamke anaweza kufanya kumfanya mwanaume asitoke nje,mwanaume anatoka nje kutimiza hitaji lake la asili,(uwezi kuchoka vitu vitamu)
Hata mkeo akiwa Elizabeth Michael(lulu),siku ukikutana na Zari the boss lady,utatamani,na kama nafasi IPO unakula mzigo.
Na hii sio kwa sababu mkeo Lulu umpendi,la hasha,ndio hulka ya mwanaume,
Kwa sasa HV,mapenzi ni bwelele yapo tele,ukihitaji tu,unapata.
Vile vile kumbuka ukioa,uzuri wa mkeo,haupo customized kwa ajiri yako tu,watu wengine wataendelea kumuona mzuri,na watalusha ndoano,hivi unafikiri akili ya mwanamke akishaolewa inaturia,kuangaria dunia inaendaje,na kama anaweza kufaidika na yanayoendelea katika mazingira yake?
Wewe unaweza ukawa mume wa ndoa,unampa heshima kitaa,na stability katika jamii,lakini mkeo anatoka na badboy mmoja kitaa kwa sababu anampa chalenges/na msisimko,anamchanganya akili,anamsisimua hisia zake za usichana,lakini bad boy huyo sio husband material,kwa hiyo wewe utapewa heshima ya mume wa ndoa,na hawezi kukuacha,lakini na kibenten wake ataendelea kumkuna sawa sawa,
Wanawake wana cheat kama kisasi au revenge kwa vile kuna vitu hujatimiza,au ata cheat kwa sababu akili zao zinapenda sana sintofshamu,hivi nikitoka na huyu jamaa itakuwaje?!!!
Wanaume wanacheat kwa sababu ,kwanza ni hulka,tumeumbwa hivyo,ni dini na taratibu za jamii zinazoturazimisha tuwe na mmoja.
Mwanaume hata akioa wanawake 10,ata cheat tu,kifaa kikari kama wema,au Uwoya kikikatiza mbele yake!we were created that way,its part of our being human,sex ni tamu bwana!uwezi kutosheka na vitu vitamu,kwa vile tu,yupo mmoja nyumbani

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hivi ukiwa unatembea barabarani,ukaona begi la pesa,ukalichukua,ukaenda nalo nyumbani,siku ya kwanza kama mwenyewe hajatokea,utatumia kiasi Fulani,ikipita mwaka,utatumia zaidi.
Pesa ni kitu kizuri,kama yalivyo mapenzi/sex.
Sasa kwa hulka ya mwanadamu,huwezi kutosheka na kitu kizuri utataka zaidi na zaidi,wanaume kwa asili yao ni polygamous,kinachowafanya wawe monogamous,ni nidhamu tu,hakuna kitu mwanamke anaweza kufanya kumfanya mwanaume asitoke nje,mwanaume anatoka nje kutimiza hitaji lake la asili,(uwezi kuchoka vitu vitamu)
Hata mkeo akiwa Elizabeth Michael(lulu),siku ukikutana na Zari the boss lady,utatamani,na kama nafasi IPO unakula mzigo.
Na hii sio kwa sababu mkeo Lulu umpendi,la hasha,ndio hulka ya mwanaume,
Kwa sasa HV,mapenzi ni bwelele yapo tele,ukihitaji tu,unapata.
Vile vile kumbuka ukioa,uzuri wa mkeo,haupo customized kwa ajiri yako tu,watu wengine wataendelea kumuona mzuri,na watalusha ndoano,hivi unafikiri akili ya mwanamke akishaolewa inaturia,kuangaria dunia inaendaje,na kama anaweza kufaidika na yanayoendelea katika mazingira yake?
Wewe unaweza ukawa mume wa ndoa,unampa heshima kitaa,na stability katika jamii,lakini mkeo anatoka na badboy mmoja kitaa kwa sababu anampa chalenges/na msisimko,anamchanganya akili,anamsisimua hisia zake za usichana,lakini bad boy huyo sio husband material,kwa hiyo wewe utapewa heshima ya mume wa ndoa,na hawezi kukuacha,lakini na kibenten wake ataendelea kumkuna sawa sawa,
Wanawake wana cheat kama kisasi au revenge kwa vile kuna vitu hujatimiza,au ata cheat kwa sababu akili zao zinapenda sana sintofshamu,hivi nikitoka na huyu jamaa itakuwaje?!!!
Wanaume wanacheat kwa sababu ,kwanza ni hulka,tumeumbwa hivyo,ni dini na taratibu za jamii zinazoturazimisha tuwe na mmoja.
Mwanaume hata akioa wanawake 10,ata cheat tu,kifaa kikari kama wema,au Uwoya kikikatiza mbele yake!we were created that way,its part of our being human,sex ni tamu bwana!uwezi kutosheka na vitu vitamu,kwa vile tu,yupo mmoja nyumbani

Sent using Jamii Forums mobile app
Makofi kwako

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Salamu Sana.

Hivi mnajua chanzo cha wapenzi/wanandoa kuchepuka ?

Ni hiki hapa

Sababu kubwa inayomfanya mtu kuchepuka hasa ndani ya ndoa ni KUONJA ONJA KABLA YA NDOA.

Amini usiamini
Laiti kama watu wote wangekuwa wanayajua mapenzi wakiwa tayari ndoani wala wasingepata tamaa za wapenz wengine kwani wangeridhika na kile wanachokipata. Na wangejua kuwa hali ndivo ilivo siku zote.

Lakini Sasa unaoa/kuolewa na mtu amesha chungulia nyuchi 126 za watu tofauti tofauti. Halafu anakuja kwako Kila siku unampa ile ile!!!! KHAA kwanini asiende kuzisaka nyingine?


Au we unasemaje.

Sent using Jamii Forums mobile app
Mi nafikiri ni UPUUZI na Uhasherati na Mapepo Tu ukisema eti mtu akiingia ndani ya ndoa alafu kashapitia mahusiano zaidi ya 100 THEN anaingia ndani ya ndoa na kupata KITU UNACHOKIITA ''ladha ilele '' huo ni UPUUZI kwanza tambua NDOA sio kufanya Mapenzi tu, ni zaidi ya icho kitu na mtu mpaka unapofikia hatua ya kuingia ktk ndoa na soul mate wako huwezi kumpima uwezo wake wa kufanya mapenzi Mi naona sio SAHIHI siku izi watu wengi tumevamiwa na MAPEPO ya kuchoropoka nje ya NDOA
 
Hivi ukiwa unatembea barabarani,ukaona begi la pesa,ukalichukua,ukaenda nalo nyumbani,siku ya kwanza kama mwenyewe hajatokea,utatumia kiasi Fulani,ikipita mwaka,utatumia zaidi.
Pesa ni kitu kizuri,kama yalivyo mapenzi/sex.
Sasa kwa hulka ya mwanadamu,huwezi kutosheka na kitu kizuri utataka zaidi na zaidi,wanaume kwa asili yao ni polygamous,kinachowafanya wawe monogamous,ni nidhamu tu,hakuna kitu mwanamke anaweza kufanya kumfanya mwanaume asitoke nje,mwanaume anatoka nje kutimiza hitaji lake la asili,(uwezi kuchoka vitu vitamu)
Hata mkeo akiwa Elizabeth Michael(lulu),siku ukikutana na Zari the boss lady,utatamani,na kama nafasi IPO unakula mzigo.
Na hii sio kwa sababu mkeo Lulu umpendi,la hasha,ndio hulka ya mwanaume,
Kwa sasa HV,mapenzi ni bwelele yapo tele,ukihitaji tu,unapata.
Vile vile kumbuka ukioa,uzuri wa mkeo,haupo customized kwa ajiri yako tu,watu wengine wataendelea kumuona mzuri,na watalusha ndoano,hivi unafikiri akili ya mwanamke akishaolewa inaturia,kuangaria dunia inaendaje,na kama anaweza kufaidika na yanayoendelea katika mazingira yake?
Wewe unaweza ukawa mume wa ndoa,unampa heshima kitaa,na stability katika jamii,lakini mkeo anatoka na badboy mmoja kitaa kwa sababu anampa chalenges/na msisimko,anamchanganya akili,anamsisimua hisia zake za usichana,lakini bad boy huyo sio husband material,kwa hiyo wewe utapewa heshima ya mume wa ndoa,na hawezi kukuacha,lakini na kibenten wake ataendelea kumkuna sawa sawa,
Wanawake wana cheat kama kisasi au revenge kwa vile kuna vitu hujatimiza,au ata cheat kwa sababu akili zao zinapenda sana sintofshamu,hivi nikitoka na huyu jamaa itakuwaje?!!!
Wanaume wanacheat kwa sababu ,kwanza ni hulka,tumeumbwa hivyo,ni dini na taratibu za jamii zinazoturazimisha tuwe na mmoja.
Mwanaume hata akioa wanawake 10,ata cheat tu,kifaa kikari kama wema,au Uwoya kikikatiza mbele yake!we were created that way,its part of our being human,sex ni tamu bwana!uwezi kutosheka na vitu vitamu,kwa vile tu,yupo mmoja nyumbani

Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji1] huwezi choka vitu vitamu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom