Chanzo Kikuu cha Watu walio kwenye mahusiano kuchepuka

Chanzo Kikuu cha Watu walio kwenye mahusiano kuchepuka

Kuchepuka imekua nigonjwa la dunia nzima.

Na hii ipo pande zote mbili Wanaume kwa Wanawake. Huu ni ugonjwa wa dunia maanake kwamba hatakama ungeenda nchi yoyote lazima ukumbwe na kimbunga hiki.

Nilidhani labda ni fedha au mahitaji lakini wapo wapenzi wenye uwezo wakujikidhi wenyewe lakini bado wanachepuka,

Nilidhani labda ni Mapenzi lakini wapo wapenzi kwenye Degree na uzoefu wamaswala ya mapenzi nawanajua vizuri kutumia viungo vya mapenzi lakini bado wanachepuka hawatulii.

Je tatizo hili linaweza kuisha? Je kwa njia zipi?

FB_IMG_15748213490307264.jpg
 
Sababu:

Mwanaume - Tamaa

Mwanamke - Kutoridhishwa na mwenza wake, kulipa kisasi, shida za familia.
 
matamanio hujenga taswira yapekee sana akilini mwetu nakutupelekea tutaman kuiprove taswira ile
 
True na maandiko yanakazia hawana 'AKILI' kabisa.

Sema karibu vyote vinavyoonekana ni dhambi ndio vina ladha na utamu wa aina yake, ndio maana kila uchwao dhambi utendwaji wa dhambi unaongezeka. Mungu atusaidie.
Pia inasemekana kwa binadamu anaekula lishe bora na mwenye afya matamanio ya ngono huongezeka zaidi kwa hiyo mwili unaleta msukumo
 
Lawama zote zitupiwe kwa nyege na tamaa

Kimsingi tatizo la uchepukaji linaweza kupungua kwa kuwa mvumilivu na kuridhika kwa hali ya mtu uliyenae
Nikweli kabisa kubwa zaidi kila mmoja anataka kuonekana na bidhaa mpya yani mpenzi mpya
Aturehemu tuu,.lakini nafasi ya kuchagua iko mikononi mwetu
Inabidi tuchukue muda kuchagua tusiharakishe
 
Back
Top Bottom