Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni kweli asilimia 900
Hata shetani ataona aibu akipinga hili suala
Salamu Sana.
Hivi mnajua chanzo cha wapenzi/wanandoa kuchepuka ?
Ni hiki hapa
Sababu kubwa inayomfanya mtu kuchepuka hasa ndani ya ndoa ni KUONJA ONJA KABLA YA NDOA.
Amini usiamini
Laiti kama watu wote wangekuwa wanayajua mapenzi wakiwa tayari ndoani wala wasingepata tamaa za wapenz wengine kwani wangeridhika na kile wanachokipata. Na wangejua kuwa hali ndivo ilivo siku zote.
Lakini Sasa unaoa/kuolewa na mtu amesha chungulia nyuchi 126 za watu tofauti tofauti. Halafu anakuja kwako Kila siku unampa ile ile!!!! KHAA kwanini asiende kuzisaka nyingine?
Au we unasemaje.
Sent using Jamii Forums mobile app
😂😂😂😂😂🍺 my ribsNa wanaochepuka wanajua kujihami, wanavaa khanga zimeandikwa SICHEPUKI NG'OO NILIYE NAYE ANANITOSHA
Sent using Jamii Forums mobile app
Wewe ni Malaya sema ulikuwa hujijui! Uoga ndiyo ulikuwa unakusumbua jinsi ya kuanza.Siyo Kweli. Mimi na mwenzangu tulioana tukiwa hatujawahi kukutana na for sure tulikuwa virgin wote. Ila baada ya mwaka hivi nilianza kidogo kuonja pembeni na hadi sasa nina uhakika nimeshafikisha mia au zaidi hata wengine sikumbuki majina. Hebu niambie hiyo theory yako inaapply vipi kwangu
Ahaaahh kwa utafiti upi? kiasili biadamu hupenda kujaribu mambo tofauti hivyohivyo wale waliofanya sana uzinzi wana chance kubwa ya kutulia zaidi ya wale walioanzia ndoani. Atapenda ajaribu huyu na yule kuona kama kuna utofauti.Salamu Sana.
Hivi mnajua chanzo cha wapenzi/wanandoa kuchepuka ?
Ni hiki hapa
Sababu kubwa inayomfanya mtu kuchepuka hasa ndani ya ndoa ni KUONJA ONJA KABLA YA NDOA.
Amini usiamini
Laiti kama watu wote wangekuwa wanayajua mapenzi wakiwa tayari ndoani wala wasingepata tamaa za wapenz wengine kwani wangeridhika na kile wanachokipata. Na wangejua kuwa hali ndivo ilivo siku zote.
Lakini Sasa unaoa/kuolewa na mtu amesha chungulia nyuchi 126 za watu tofauti tofauti. Halafu anakuja kwako Kila siku unampa ile ile!!!! KHAA kwanini asiende kuzisaka nyingine?
Au we unasemaje.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ni kwannNatoka Kigali hapa huko ndio nimejua kwanini watu wanachepuka
Baada ya siku 5 narudi huko tena mkuu kama uko vizuri twende ukafanye ka utalii upate na jibu la swali lako
SwadaktaBaada ya siku 5 narudi huko tena mkuu kama uko vizuri twende ukafanye ka utalii upate na jibu la swali lako
HIZI NGOJERA ZIKO POA ILA BILA MWANAUME KUWA NA PESA UTAGONGEWA TU