Wapo wanaojua kulizika lakin.Binadamu tumeumbiwa tamaa hili ndo kubwa zingine kelele
True na maandiko yanakazia hawana 'AKILI' kabisa.Hawana Mungu ndio maana wanachepuka,.wachepukaji wote ni ndugu za shetani,.
Pia inasemekana kwa binadamu anaekula lishe bora na mwenye afya matamanio ya ngono huongezeka zaidi kwa hiyo mwili unaleta msukumoTrue na maandiko yanakazia hawana 'AKILI' kabisa.
Sema karibu vyote vinavyoonekana ni dhambi ndio vina ladha na utamu wa aina yake, ndio maana kila uchwao dhambi utendwaji wa dhambi unaongezeka. Mungu atusaidie.
Nikweli labda wanakua hawajapendana kwa dhati kunakua na uongo ndani yakeTabia ya mtu, tamaa, kutokua na mapenz ya dhati kwa mwenza, etc
Sababu:
Mwanaume - Tamaa
Mwanamke - Kutoridhishwa na mwenza wake, kulipa kisasi, shida za familia.
Kweli kabisaWapo wanaojua kulizika lakin.
Sema ubaya wanalizikia kwa wrong person,
Sababu:
Mwanaume - Tamaa
Mwanamke - Kutoridhishwa na mwenza wake, kulipa kisasi, shida za familia.
Aturehemu tuu,.lakini nafasi ya kuchagua iko mikononi mwetuTrue na maandiko yanakazia hawana 'AKILI' kabisa.
Sema karibu vyote vinavyoonekana ni dhambi ndio vina ladha na utamu wa aina yake, ndio maana kila uchwao dhambi utendwaji wa dhambi unaongezeka. Mungu atusaidie.
Nikweli kabisa kubwa zaidi kila mmoja anataka kuonekana na bidhaa mpya yani mpenzi mpyaLawama zote zitupiwe kwa nyege na tamaa
Kimsingi tatizo la uchepukaji linaweza kupungua kwa kuwa mvumilivu na kuridhika kwa hali ya mtu uliyenae
Inabidi tuchukue muda kuchagua tusiharakisheAturehemu tuu,.lakini nafasi ya kuchagua iko mikononi mwetu
Inabidi tujikite zaidi kwenye Imani mana mambo mengine bila Mungu hstuweziHawana Mungu ndio maana wanachepuka,.wachepukaji wote ni ndugu za shetani,.
Napia imasemekana kama unapata lishe bora mwili unaongeza matamanio ya ngonoBinadamu tumeumbiwa tamaa hili ndo kubwa zingine kelele