Chapa Chapa: Katibu Mkuu Kiongozi yuko wapi?

Chapa Chapa: Katibu Mkuu Kiongozi yuko wapi?

Kwanini Katibu Mkuu wa CCM azungumzie na kuonya watendaji wa serikali? Katibu Mkuu Kiongozi kazi yake ni kutangaza watenguliwa na wateuliwa tu? Yeye siyo sehemu ya mamlaka ya nidhamu ya watumishi wa umma?

Wakoloni (Wajerumani hasa) walitumia Sana huu utaratibu wa kuchapa watu wazima pale Bomani (kwenye Ofisi ya Mkuu wa Wilaya). Na watu wazima wanakubali vipi kuchapa na mtu mzima mwingine? Kwa sababu hawataki au wanaogopa kupoteza kazi?
Katibu Mkuu kiongozi ameteuliwa na Rais ambaye ndio anayechochea siasa za kishamba za kutandika fimbo raia kinyume cha sheria .

Kwa mfano , Magufuli katika hotuba yake aliyoitoa hadharani alimpongeza na kumsifia RC wa Mbeya ndugu Chalamila kwa kuwatwanga fimbo wanafunzi waliotuhumiwa kuchoma mabweni , adhabu hii ilikuwa ni kinyume cha sheria za nchi , sasa haya yote Katibu Mkuu kiongozi anayajua , anafahamu kuwa mkuu wake anaunga mkono mambo haya , anawezaje kutoa kauli tofauti ?

Halafu ukiangalia kwa makini body language ya Bashiru kwenye jambo hili utajua tu kwamba anazuga ili kuwapumbaza wajinga , wala hamaanishi anachokisema .
 
Waliochapwa ni wateule wa Rais?
Kipi cha kushangaza kwa utawala huu wa jiwe? Bado nina kumbukumbu ya mzee Rugemalila na Sethi wakiwa wamepigishwa magoti, picha ile ya udhalili ilipamba uzi wako na bila aibu ulisherehesha tukio lile. Ulishajivua nguo siku nyingi, endelea tu kuchutama
 
Kwanini Katibu Mkuu wa CCM azungumzie na kuonya watendaji wa serikali? Katibu Mkuu Kiongozi kazi yake ni kutangaza watenguliwa na wateuliwa tu? Yeye siyo sehemu ya mamlaka ya nidhamu ya watumishi wa umma?

Wakoloni (Wajerumani hasa) walitumia Sana huu utaratibu wa kuchapa watu wazima pale Bomani (kwenye Ofisi ya Mkuu wa Wilaya). Na watu wazima wanakubali vipi kuchapa na mtu mzima mwingine? Kwa sababu hawataki au wanaogopa kupoteza kazi?
Heshima yako ilishashuka sana. From hero to zero. Maandiko yanaishi. Wanao na wajukuu ipo siku watakulaumu kuhusiana na unafiki wako
 
Kwanini Katibu Mkuu wa CCM azungumzie na kuonya watendaji wa serikali? Katibu Mkuu Kiongozi kazi yake ni kutangaza watenguliwa na wateuliwa tu? Yeye siyo sehemu ya mamlaka ya nidhamu ya watumishi wa umma?

Wakoloni (Wajerumani hasa) walitumia Sana huu utaratibu wa kuchapa watu wazima pale Bomani (kwenye Ofisi ya Mkuu wa Wilaya). Na watu wazima wanakubali vipi kuchapa na mtu mzima mwingine? Kwa sababu hawataki au wanaogopa kupoteza kazi?
Mkuu, hawa WATEKA NYARA wamepoteza muelekeo mapema sana.
 
Ndio Mkuu wa watumishi wote wa umma...walioajiriwa
Huwa naona kama anashughulika zaidi na wale amabo huwa wanaapishwa na Rais, na hawa wengine wanaoapishwa na Wakuu wa Mikoa kama vile wakuu wa wilaya pamoja na sie wengine ambao huwa hatuapishwi, wakuu wa mikoa na wilaya si wapo? Kwa mfano, mimi hapa nilipo nikifanya chochote kisichokuwa cha kawaida, kuna Mkuu wa Idara tu anatosha kabisa kuniweka kwenye mstari. KMK ana mamlaka hayo ndiyo ila sasa issue ya Division of Labour na chain of Command ndiyo viinamrestrict. Yeye yuko peke yake, wanaomhusu wako kwenye mamilion
 
Kwanini Katibu Mkuu wa CCM azungumzie na kuonya watendaji wa serikali? Katibu Mkuu Kiongozi kazi yake ni kutangaza watenguliwa na wateuliwa tu? Yeye siyo sehemu ya mamlaka ya nidhamu ya watumishi wa umma?

Wakoloni (Wajerumani hasa) walitumia Sana huu utaratibu wa kuchapa watu wazima pale Bomani (kwenye Ofisi ya Mkuu wa Wilaya). Na watu wazima wanakubali vipi kuchapa na mtu mzima mwingine? Kwa sababu hawataki au wanaogopa kupoteza kazi?
Tatizo lako ni kwamba tangu ujiunge na MATAGA umejiondoa ufahamu. Kwani Katibu Mkuu ndio alimteua huyo Naibu Waziri aliyechapa watu viboko, au yule DC au yule DAS? Unakwepa kuuliza "Magufuli yuko wapi" kwa sababu nafsi inakusuta kuunga mkono utawala huu kandamizi usiothamini haki za binadamu. Ila 40 yenu ninyi wanafiki ipo, kama si kesho basi huko mbeleni. Absolutely useless 😡
 
Hivi wewe unamjua katibu mkuu kiongozi ( Chief Secretary) ni nani?

Nenda kwenye katiba ya jamhuri ya muungano wa Tanzania ya mwaka 1977, kwenye ibara ya 60 , utajua katibu mkuu kiongozi ni nani
Acha na katiba yale ni makaratasi, chama kina nguvu kuliko hata Jaji mkuu wewe, uko nchi gani?
 
Kwanini Katibu Mkuu wa CCM azungumzie na kuonya watendaji wa serikali? Katibu Mkuu Kiongozi kazi yake ni kutangaza watenguliwa na wateuliwa tu? Yeye siyo sehemu ya mamlaka ya nidhamu ya watumishi wa umma?

Wakoloni (Wajerumani hasa) walitumia Sana huu utaratibu wa kuchapa watu wazima pale Bomani (kwenye Ofisi ya Mkuu wa Wilaya). Na watu wazima wanakubali vipi kuchapa na mtu mzima mwingine? Kwa sababu hawataki au wanaogopa kupoteza kazi?
Ukiona serikali ipo kimya Basi ujue NI maelekezo yake watu wachapwe pale inapoonekana wamekosea
 
Kwanini Katibu Mkuu wa CCM azungumzie na kuonya watendaji wa serikali? Katibu Mkuu Kiongozi kazi yake ni kutangaza watenguliwa na wateuliwa tu? Yeye siyo sehemu ya mamlaka ya nidhamu ya watumishi wa umma?

Wakoloni (Wajerumani hasa) walitumia Sana huu utaratibu wa kuchapa watu wazima pale Bomani (kwenye Ofisi ya Mkuu wa Wilaya). Na watu wazima wanakubali vipi kuchapa na mtu mzima mwingine? Kwa sababu hawataki au wanaogopa kupoteza kazi?
Bila chapa chapa za wakoloni msingeweza kutoboa barabara pale sekenke, au ujenzi wa reli ya kati.
 
Back
Top Bottom