The Legacy
JF-Expert Member
- Jun 1, 2022
- 5,879
- 11,318
Ulinitibu kifua huu uyoga,Wakati naanza kupewa mama akilataa akasema isijekuwa Sumu mwanangu baba naniii!ila nilitumia nikapona.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwanini usingeanza kutoa kwanza maana ya KOMBUCHA ??, nafikiri itakuwa faida ya mchangiaji kujua achangiacho.Wakuu nina imani wote mko salaama, poleni mlio na changamoto za kibinadamu nazo pia ni sehemu ya Maisha ya mwanadamu zina mwanzo wake na zina mwisho wake pia .
Nina swali wakuu, nini Faida ya kombucha kiafya ,nini madhara yake kiafya
Pia kombucha kiimani imekaaje naomba kujua kwa wajuzi wa hapa jf
Kombucha yenyewe ndio hiyo kwenye picha nimeambatanisha View attachment 2760761
NAKAZIAKwanini usingeanza kutoa kwanza maana ya KOMBUCHA ??, nafikiri itakuwa faida ya mchangiaji kujua achangiacho.
OK asanteHayo machapati ya kwenye maji siku hizi ni adimu kweli
kuhusu hasara hayana labda faida tu.
Yako unaanda kwa siku ngapi inakua iko Tayari?Yangu hii hapa View attachment 2760835
siku kumi , tano kuandaa kombucha stater na tano nyingine kuandaa kombucha drinkYako unaanda kwa siku ngapi inakua iko Tayari?
OK yangu huwa 14 days kuandaa kombucha drink ,ulipata wapi kibongobongo?siku kumi , tano kuandaa kombucha stater na tano nyingine kuandaa kombucha drink
hiyo ni kwa sehemu zenye baridi , natumia tuu local ingredientsOK yangu huwa 14 days kuandaa kombucha drink ,ulipata wapi kibongobongo?
Sawa mkuuhiyo ni kwa sehemu zenye baridi , natumia tuu local ingredients
Mkuu toa maelekezo tunaupataje huo mzigoWasalaam! wale wahitaji wa kombucha scoby kwa sasa niko Dar es salaam.
Karibuni
Sent from my SHV45 using JamiiForums mobile app
Kama uko Dar tuwasilianeMkuu toa maelekezo tunaupataje huo mzigo
Tangu miaka hii hukuona umuhimu wa kushare hiyo mmea na mtu yoyote ili na wengine pia wafaidike na hata kuendeleza zaidi. Leo usingeleta hii stori hapa.Swaadaktaaa!!
Juice yake nilikuwa chachu tamuuu kama alozera!
Nalilikuwa linazaa chapati nyenzake kisha unaibandua na kuiweka kwenye chombo kingine chenye maji nayo inaendelea kuzaa na kutoa juice yake!
Juice yake nilikuwa nzuriii ajabu, mpaka leo nahisi ule utamu wake wenye ladha ya ajabu, lilivyokufa kwa kunyauka baada ya kusafiri na kulisahahu bila kuliwekea maji, nilisikitika sana tena sana, mapaka leo nahangaika kulitafuta bila mafanikio mkuu!
Mwenye nalo au taarifa ya mahali lilipo tafadhali tusaidiane maana nahisi kunyong'onyea kwa urahibu wa kulikosa!