Chapati ya Kichina, mmea unaoishi kwenye maji, Kombucha/tea mushroom

Chapati ya Kichina, mmea unaoishi kwenye maji, Kombucha/tea mushroom

Napatikana Ilala, kesho ntatupia ka picha kusindikiza tangazo.
Mbegu ndo hii
Resizer_16762958840621.jpg
 
Miaka ya 19... huu mmea ulikuwa pale nyumbani.

Ukifika unapewa juisi yake.

Ulitunzwa kwenye kopo la lita nne kwetu tunaita kisado.

Ulikuwa unabadilishwa maji yake.

Sijui ulienda wapi.

Nahisi ulikuwa na uwezo wa kutibu magonjwa mengi, nilitaka kusema na nguvu za kiume nikajua mtasema ulijuaje.
 
Niliwahi kuhudhuria mafunzo ya kuutengeneza from the scratch

Miaka ya 2000s kuna wadau walikua wafundisha ngoja nitafute kile kidaftari kama ntabaini mawili matatu
 
Eeewaaaa!!!

Hakika unaufahamu vizuri huu mmea! Ndio huo huo uliouelezea, mbegu yake ndio hiyo hiyo unapotanuka na kuubandua hiyo ndiyo mbegu yake mkuu!

Nilikaa nao karibu miaka 3 au 4 hivi, nilikuwa nauhudumia vizuri sana, na unapozaliana nilikuwa naupunguza na kuzitupa mbegu zake yaani yale mazalia yake.

Lakini sasa nikaja kusafiri na kujichelewa kurudi nikakuta umeshakufa kwa kunyauka, sasa natafuta kama kuna mtu ana huo mmea anisaidie utakapotoa mazalia yake (mbegu).

Shukrani sana!
Huo mmea alikuwa nao mjomba wangu ...tulikuwa tunauita Tee treza, kinywaji kina uchachu flani
 
Ni mmea mzuri sana mkuu,

Na juice yake ni tamu sana, ina ladha ya kusisimua sana! Pia nasikia ni dawa inatumika sana kule China na barani Asia.

Na una staajabisha sana huu mmea!
Nilianza kuutumia 1996 kwa anko.
Ni mzuri una uchachu flani hivi.
Lakini ukiutazama umekaa kama konokono mkubwa😂
 
Swaadaktaaa!!

Juice yake nilikuwa chachu tamuuu kama alozera!

Nalilikuwa linazaa chapati nyenzake kisha unaibandua na kuiweka kwenye chombo kingine chenye maji nayo inaendelea kuzaa na kutoa juice yake!

Juice yake nilikuwa nzuriii ajabu, mpaka leo nahisi ule utamu wake wenye ladha ya ajabu, lilivyokufa kwa kunyauka baada ya kusafiri na kulisahahu bila kuliwekea maji, nilisikitika sana tena sana, mapaka leo nahangaika kulitafuta bila mafanikio mkuu!

Mwenye nalo au taarifa ya mahali lilipo tafadhali tusaidiane maana nahisi kunyong'onyea kwa urahibu wa kulikosa!
Lete Maneno....
Ulifanikiwa Vp Yule Ndugu Yako Aliyekupa Wewe Hana Mbegu
 

Haya Makampuni Yenu Sijui Allybaba Hawawezi Kukuletea

 
Back
Top Bottom