qualalumpagrinder
JF-Expert Member
- Jul 28, 2016
- 464
- 806
Mbegu ndo hiiNapatikana Ilala, kesho ntatupia ka picha kusindikiza tangazo.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mbegu ndo hiiNapatikana Ilala, kesho ntatupia ka picha kusindikiza tangazo.
Boss vp umesharudi darMbegu ndo hii View attachment 2516139
Bado sijarejea ila ukihitaji huduma unapata, mzigo upo wa kutosha
Kwa hapa darslam?Bado sijarejea ila ukihitaji huduma unapata, mzigo upo wa kutosha
Ndiyo mkuu
Hakuna maajabu.....kikubwa ni kuwa na mbegu unamaliza mchezoNiliwahi kuhudhuria mafunzo ya kuutengeneza from the scratch
Miaka ya 2000s kuna wadau walikua wafundisha ngoja nitafute kile kidaftari kama ntabaini mawili matatu
Ndio hayo mafunzo yalihusu kuitengeneza hiyo mbegu sasaHakuna maajabu.....kikubwa ni kuwa na mbegu unamaliza mchezo
Nasubiri elimu hiyoNdio hayo mafunzo yalihusu kuitengeneza hiyo mbegu sasa
Ni kama kilimo cha uyoga unaweza kununua mbegu au kutengeneza mbegu wewe mwenyewe
Huo mmea alikuwa nao mjomba wangu ...tulikuwa tunauita Tee treza, kinywaji kina uchachu flaniEeewaaaa!!!
Hakika unaufahamu vizuri huu mmea! Ndio huo huo uliouelezea, mbegu yake ndio hiyo hiyo unapotanuka na kuubandua hiyo ndiyo mbegu yake mkuu!
Nilikaa nao karibu miaka 3 au 4 hivi, nilikuwa nauhudumia vizuri sana, na unapozaliana nilikuwa naupunguza na kuzitupa mbegu zake yaani yale mazalia yake.
Lakini sasa nikaja kusafiri na kujichelewa kurudi nikakuta umeshakufa kwa kunyauka, sasa natafuta kama kuna mtu ana huo mmea anisaidie utakapotoa mazalia yake (mbegu).
Shukrani sana!
Nilianza kuutumia 1996 kwa anko.Ni mmea mzuri sana mkuu,
Na juice yake ni tamu sana, ina ladha ya kusisimua sana! Pia nasikia ni dawa inatumika sana kule China na barani Asia.
Na una staajabisha sana huu mmea!
Lete Maneno....Swaadaktaaa!!
Juice yake nilikuwa chachu tamuuu kama alozera!
Nalilikuwa linazaa chapati nyenzake kisha unaibandua na kuiweka kwenye chombo kingine chenye maji nayo inaendelea kuzaa na kutoa juice yake!
Juice yake nilikuwa nzuriii ajabu, mpaka leo nahisi ule utamu wake wenye ladha ya ajabu, lilivyokufa kwa kunyauka baada ya kusafiri na kulisahahu bila kuliwekea maji, nilisikitika sana tena sana, mapaka leo nahangaika kulitafuta bila mafanikio mkuu!
Mwenye nalo au taarifa ya mahali lilipo tafadhali tusaidiane maana nahisi kunyong'onyea kwa urahibu wa kulikosa!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Nilianza kuutumia 1996 kwa anko.
Ni mzuri una uchachu flani hivi.
Lakini ukiutazama umekaa kama konokono mkubwa[emoji23]