Chapati ya Kichina, mmea unaoishi kwenye maji, Kombucha/tea mushroom

Chapati ya Kichina, mmea unaoishi kwenye maji, Kombucha/tea mushroom

Kwa sisi tuliuita mkate wa Mecca. Miaka ya nyuma wengi waliotoka Hijja walirudi nao, na ukizaa/ totoa unampatia na mwenzio, ukweli ni kwamba mmea ule ulikuwa ni Tiba. Sasa hivi mahujaji wengi waakiridi waanarudi na vitu vya kippuuzi zikiwemo simu na dildo.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Daa zamani sana huo mmea niliuona. Kuna jamaa alikuwa nao kama sikosei alikuwa anauita "mybao/mibao/maibao". Si na hakika na matamshi ya hilo jina ila mnaweza kuanzia hapo. Enzi hizo kila tukimuona jamaa ametoka kazini akiingia tu kwake kabla hajakaa tumeshafika na vikombe vyetu vya plastiki kujimiminia ilikuwa kama chai ya rangi hivi.
Upo sahihi dah umenikumbusha mbali ngoja nimuliize mama wapi unapatikana.
 
Wakuu kwa hapa ilipo inasiku kama 13 hivi.. Je kwa hii rangi ni tayari imeiva ?
IMG_2372.jpg

IMG_2371.jpg
 
Wakuu kwa hapa ilipo inasiku kama 13 hivi.. Je kwa hii rangi ni tayari imeiva ?View attachment 2140258
View attachment 2140259

Mkuu kwahiyo rangi inaonyesha kuiva, lakini Mimi nilikuwa natumia maji tu sio chai nyeusi,


Sema ukitaka kujua kwa uhakika hebu ichote kidogo na kijiko alafu onja, ukiona imekuwa na ladha ya uchachu basi ujue imeshaiva tayari, Mara nyingi maji huwa yanachukua week 2 au tatu ili kuwa juice tayari.
 
Mkuu kwahiyo rangi inaonyesha kuiva, lakini Mimi nilikuwa natumia maji tu sio chai nyeusi,


Sema ukitaka kujua kwa uhakika hebu ichote kidogo na kijiko alafu onja, ukiona imekuwa na ladha ya uchachu basi ujue imeshaiva tayari, Mara nyingi maji huwa yanachukua week 2 au tatu ili kuwa juice tayari.

Nimefanya hivyo.. ladha ya kauchachu fulani hivi.. Kwakweli ni tamu tofauti na inavyoonekana.. It’s like Juice ya embe iliyoanza kupata uchachu hivi
 
Nimefanya hivyo.. ladha ya kauchachu fulani hivi.. Kwakweli ni tamu tofauti na inavyoonekana.. It’s like Juice ya embe iliyoanza kupata uchachu hivi


Eewaaah!! Swadaktaa!!

Hongera sana mkuu!! Nakupa kongole sana kwa kufanikisha hili...!

Kiukweli umenitia hamu sana ya kuionja kama sio kuinywa juice hiyo!

Miaka mingi sana imepita tangu niinywe kwa Mara ya mwisho miaka ya 97-98 but still nakumbuka vizuri ladha yake ya kusisimua mdomoni..!!
 
Dah ndio ilikuaga juice yetu hii udogoni! Tulikuwa tunaiita tea treasure au fungus.. Ilikuwa ikiwekwa kwenye kona gizani gizani, ole wako usogelee au ukatikise!😂
Nadhani nayo imechangia sana kutukuza wenye nguvu na afya njema
 
Dah ndio ilikuaga juice yetu hii udogoni! Tulikuwa tunaiita tea treasure au fungus.. Ilikuwa ikiwekwa kwenye kona gizani gizani, ole wako usogelee au ukatikise!😂
Nadhani nayo imechangia sana kutukuza wenye nguvu na afya njema

Hakika mkuu!
 
Back
Top Bottom