jumanne12
JF-Expert Member
- Sep 3, 2013
- 419
- 275
Naomba unipatie kipande kidogo mkuuNimeupata juzi Sua
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Naomba unipatie kipande kidogo mkuuNimeupata juzi Sua
Ulipitia process zipi kuupataNimeupata juzi Sua
Utakua unauzaje MKUU!!?wakuu kwema? naona kama mmeususa uzi.
Kombucha scoby tayari nimeipata soon ntakuwa nauza kwa mwenye uhitaji. maana mwenyewe nimenunua Kampala
Sent from my SHV45 using JamiiForums mobile app
Ndiyo mdudu gani huyo?... dildo.
Ndio.Hivi hii ladha yake ndiyo iko kama juice ya ukwaju
Ova
Ndio mkuu usinisahau na mmwakuu kwema? naona kama mmeususa uzi.
Kombucha scoby tayari nimeipata soon ntakuwa nauza kwa mwenye uhitaji. maana mwenyewe nimenunua Kampala
Sent from my SHV45 using JamiiForums mobile app
Kombucha iko tyr kwa ajili ya mbegu..Nakuuzia mbegu na maelekezo jinsi ya kutengeneza juice yake!! Karibu, gharama yake ni 50,000/=Ndio mkuu usinisahau na mm
Napatikana Ilala, kesho ntatupia ka picha kusindikiza tangazo.Kombucha iko tyr kwa ajili ya mbegu..Nakuuzia mbegu na maelekezo jinsi ya kutengeneza juice yake!! Karibu, gharama yake ni 50,000/=
utaweza kutengeneza hadi lita 20
Ninayo tyr PM kama bado wahitajiMkuu nitapata wapi? Hiyo kitu maana hata mimi nilitumia sana ni nzuri kwa vidonda vya tumbo
Mkuu mzigo tyr nnao karibu.Eewaaah!! Swadaktaa!!
Hongera sana mkuu!! Nakupa kongole sana kwa kufanikisha hili...!
Kiukweli umenitia hamu sana ya kuionja kama sio kuinywa juice hiyo!
Miaka mingi sana imepita tangu niinywe kwa Mara ya mwisho miaka ya 97-98 but still nakumbuka vizuri ladha yake ya kusisimua mdomoni..!!
Halafu ukitaka ikue iweke kwenye chombo kipana kama sufuria au bakuli ndio inatanuka vema na kuongezeka.Wakuu kwa hapa ilipo inasiku kama 13 hivi.. Je kwa hii rangi ni tayari imeiva ?View attachment 2140258
View attachment 2140259
Nimeenda pale jamaa wanagoma kabisa kuuza mbegu, wanakuuzia juice tu tena 8,000/= lita mojaKama upo Dar nenda Wild flour organic shop Masaki. Wanauza kombucha...ndiyo hiyo. Omba mbegu watakupa.