Chapati ya Kichina, mmea unaoishi kwenye maji, Kombucha/tea mushroom

Chapati ya Kichina, mmea unaoishi kwenye maji, Kombucha/tea mushroom

Kama uko Dar tuwasiliane

Tumepunguza bei sasa unapata kwa 20,000/= pamoja na maelekezo jinsi ya kuandaa

Sent from my SHV45 using JamiiForums mobile app
daah wabongo bana.
yani hayo machapati yashakuwa fursa ya kibiashara 🤣🤣

nakumbuka miaka iyo kuna jirani yetu alikuwa nayo tulikuwa tunaona wenyewe wanakunywa maji kutoka kwenye hizo chapati wakiziita 'fungus'
sisi wengne tulikuwa tunaziogopa tukihofia pengine ni majini

duuh kweli time flies
sasa mkuu @qualalumpaqualalum ungeweka contacts bac wateja wakufikie
 
daah wabongo bana.
yani hayo machapati yashakuwa fursa ya kibiashara [emoji1787][emoji1787]

nakumbuka miaka iyo kuna jirani yetu alikuwa nayo tulikuwa tunaona wenyewe wanakunywa maji kutoka kwenye hizo chapati wakiziita 'fungus'
sisi wengne tulikuwa tunaziogopa tukihofia pengine ni majini

duuh kweli time flies
sasa mkuu @qualalumpaqualalum ungeweka contacts bac wateja wakufikie
[emoji23][emoji23]

Endelea kucheka mkuu.

Sent from my SHV45 using JamiiForums mobile app
 
Siku nyingine unaambiwa kizuri kula na mwenzako,zile mbegu ilitakiwa unavyozitoa unawapa hata marafiki zako ili kesho na kesho kutwa kwa mwingine mbegu ikifa inakuwa rahisi kupata kwa mwingine.Hapo Cha kufanya wasiliana na aliyekuletea zawadi pengine yeye kwake itakuwepo.
 
Naitaifuta hii kitu, kwetu tuliita TEA TREZZA
 
Umenikumbusha mbali sana, huo mmea ulikuwepo nyumbani. Ila tulitahadharishwa tutumie kimiminika chake tu kilichochujwa vizuri na tusijahidi tusile hata kipande kidogo cha nyama ya mkate huo maana tuliambiwa ukivimeza vinaweza kukua katika tumbo la Binadamu.
Ila kwa ushauri tu, jaribu kutembelea hizi Chinese restaurants naamini watakupa pa kuanzia.
Ukifanikiwa usisahau kutupatia mrejesho, maana naamini wahitaji ni wengi ila hawajui pa kuanzia.
 
Tuliokunywa miaka hyo nadhani ndo sisi kizazi chetu ambacho hatuna shida kwny mambo mengi...
 
Nilikua naipiga hii kitu mwaka 2000 Toka kikosi cha malezi Shy town kizumbi pale CEO akiwa Mzee wash mama angu mdogo alicheza sana hapa.
Kwetu huu mmea uliwekwa kwenye kisufuria cha zile jiko za kichina za mafuta ya taa .
 
Mzee Kwayu alikuwa ni the best Principal kwa ile shule. Alipoondoka likaja dubwana fulani linaitwa chavila. Lile zee sijui lilitumwa. Likaja na system ya roll call, kukamata watoro, likaziba lile geti dogo la kuingilia jangwani kule.

Lile zee jamani....
Kwayu alipotoka hapo kwenu alikuja kwetu ilboru kipindi icho alikuwepo headmaster mmoja anaitwa kitemango aligomewa na wanafunzi akahamishwa karatu boys. Kwayu alikuwa teacher na mlezi mmoja safi sana, Ile kitemango na Yule mzee aliyekuwa anatoa watu wanalala kwenye umande na blanket aka chief sintomsahau.
Kuna vijana mwaka watu wengi mno walifaulu from Azania to ilboru
 
Back
Top Bottom