A Andrew123 JF-Expert Member Joined Jun 2, 2012 Posts 8,358 Reaction score 10,976 Jul 13, 2024 #21 jMali said: Kama baba mtu wanamuimba "mattko yako rutto" unadhani huyu watamuimba nini? Click to expand... Wakimuimba inampunguzia nn?
jMali said: Kama baba mtu wanamuimba "mattko yako rutto" unadhani huyu watamuimba nini? Click to expand... Wakimuimba inampunguzia nn?
L Lodilofah JF-Expert Member Joined Dec 22, 2015 Posts 403 Reaction score 1,039 Jul 13, 2024 #22 16 July 2024 wanaingia Tena Road na Kauli mbinu #RUTOMUSTGO, Jamaa akivuka hapa salama atakuwa imara sana
16 July 2024 wanaingia Tena Road na Kauli mbinu #RUTOMUSTGO, Jamaa akivuka hapa salama atakuwa imara sana
A Andrew123 JF-Expert Member Joined Jun 2, 2012 Posts 8,358 Reaction score 10,976 Jul 13, 2024 #23 Lodilofah said: 16 July 2024 wanaingia Tena Road na Kauli mbinu #RUTOMUSTGO, Jamaa akivuka hapa salama atakuwa imara sana Click to expand... Nae anajipanga kisiri Siri huko alipo. Sio fala asubiri mpaka wamkute ikulu. Anaendelea kuwaua kimya kimya kuwatia GenZ ubaridi
Lodilofah said: 16 July 2024 wanaingia Tena Road na Kauli mbinu #RUTOMUSTGO, Jamaa akivuka hapa salama atakuwa imara sana Click to expand... Nae anajipanga kisiri Siri huko alipo. Sio fala asubiri mpaka wamkute ikulu. Anaendelea kuwaua kimya kimya kuwatia GenZ ubaridi
The Lost Boy JF-Expert Member Joined Nov 24, 2020 Posts 248 Reaction score 311 Jul 13, 2024 #24 Valencia_UPV said: Mheshimiwa Charlene Ruto anafaa kuongoza Wizara ya vijana au Michezo Click to expand... Ajipunze tena
Valencia_UPV said: Mheshimiwa Charlene Ruto anafaa kuongoza Wizara ya vijana au Michezo Click to expand... Ajipunze tena
Smart911 Platinum Member Joined Jan 3, 2014 Posts 135,167 Reaction score 160,806 Jul 13, 2024 #25 Ahsante kwa taarifa... Cc: Mahondaw
A Andrew123 JF-Expert Member Joined Jun 2, 2012 Posts 8,358 Reaction score 10,976 Jul 16, 2024 #26 Charlene anakubalika kwa vijana