Charles Hilary ateuliwa kuwa Mkurugenzi wa Mawasiliano ya Rais Ikulu - Zanzibar

Anastahili Hongera zake!

Raisi Mwinyi kaiva kabisa kuwa Raisi anathamini Taaluma na Weledi kama Magufuli (RIP) na siyo mipasho, majungu na fitna kama huku kwetu.

Kila la Heri raisi Mwinyi na watu wa Zanzibar wana bahati kuwa Kiongozi!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…