Phillipo Bukililo
JF-Expert Member
- Dec 29, 2015
- 18,487
- 13,611
Mpogoro aliyehamia Unguja miaka mingi iliyopita. Hana ungazija usidanganywe na lafudhi yake.Mngazija
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mpogoro aliyehamia Unguja miaka mingi iliyopita. Hana ungazija usidanganywe na lafudhi yake.Mngazija
Kama huyajui ni bora unyamaze. Charles Hillary ni Mzanzibariduh, kafir na Znz wapi na wapi
Uko sahihi.Ila mama yake Ni Mzanzibari.Mpogoro aliyehamia Unguja miaka mingi iliyopita. Hana ungazija usidanganywe na lafudhi yake.
Hebu soma vizuri, huyo ni wa imani ya kwenuUnaitaje binadamu mwenzako kafir mkuu mamlaka hayo umeyatoa wapi?
Kwanini imani yako inashindwa kukuongoza vyema ktk kuwakubali wale walio tofauti na ninyi?
Hiyo Dini yake ameletewa wakati wanakaatwa kuunzwa kama watumwaWewe unaeita wenzako kafir na wewe ukiitwa GAIDI utajisikiaje?[emoji35][emoji35][emoji35]
Itakuwa Ivona na mumewe now i think.
Yanatakiwa yawe wapi?!Malin hasan malin yupi yule aliyekuwa mpiga domo mkubwa wa makao makuu ya nchi yenu yawe dodoma?
Halafu huyo jamaa anaeita kafiri Ni mkristo kwhy lengo lake kutuchonganisha tuUnadhani ni wa imani unayofikiri,yuko kwa ajili ya kuharibu uzi
Miaka ile akiwa RTD alikuwa ametokea Zanzibar?!Mpogoro aliyehamia Unguja miaka mingi iliyopita. Hana ungazija usidanganywe na lafudhi yake.
Aliingia RTD 1980 akitokea Kinondoni Muslim Secondary School.Miaka ile akiwa RTD alikuwa ametokea Zanzibar?!
NDIYO.Charles Hillary ni Mzanzibari?
Huyo ana mock ,usimchukulie seriousDaaaaah mkuu huu ubaguzi unautoa wapi km Rais mwenyewe kaona anafaa?! Swala la ajira na ufanisi wa kazi linaendana vp na itikadi ya dini ya mtu?!
Charles Hillary N'kwanga hajawahi kuwa mpogiro ni msumbwa wa geita!Charles Hillary ni mpogoro wa Morogoro, wazazi wake walihamia Zanzibar miaka mingi iliyopita.
Yes, you've wrote.Anaumalizia uzee wake poa hadi raha. Congratulation 👏🏽👏🏽👏🏽
Na pc moja matata sana.....Huyu jamaa apewe tuzo
Binafsi naona amekikubali hicho cheo kwa ajili ya heshima na siyo pesa. Ikulu ina hadhi yake tofauti na Azam Media. Kama ilivyo kawaida ya Watanzania, hapo Ikulu ni rahisi pia kutoa connection kwa watoto, ndugu na jamaa pia.Kwa cheo na mshahara wake pale Azam Media kwenda huko ni anguko kubwa sana ni sawa na Mchezaji wa Man City kuja kuchezea Ndanda
Boss aisee samahaniduh, kafir na Znz wapi na wapi