babukijana
JF-Expert Member
- Jul 21, 2009
- 14,478
- 18,341
Hongera mzee wa macharanga mengine yalikuja badae
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndugu bagamoyo , shukhrani sana kwa haya uyafanyayo JF.Mtangazaji Charles Hillary mtu mwenye uzoefu ndani ya nchi na kimataifa katika mashirika makubwa IPP MEDIA, BBC, DW, AZAM MEDIA chini ya wahariri wasimamizi nguli huku akiwa amezungukwa na waandishi habari wazoefu kwa kipindi chote nadhani anafaa ...
WASIFU :
Salama Na CHARLES HILLARY Ep 38 | MZEE WA BUSARA Part 2
Source: YahStoneTown
https://millardayo.com › tag › charle...
Charles Hillary – Millard Ayo TV
Kumbe Charles Hillary kaondoka BBC na kuamua kurudi nyumbani? Miongoni mwa watu ambao sauti zao zimesikika sana kupitia BBC London, ni
Yule aliyekuwa anamlilia marehemu "bikira wa kisukuma"!!???Si yupo yule Dada??
Mzenj pure!!!Charles Hillary ni Mzanzibari?
WordKufanya kazi Azam ni kama kufanya kazi Zanzibar
Wanamuona kama Chadema ndiyo maanaifike mahala kama wana JF tuishinikize serikali either ya muungano au ya mapinduzi impe uteuzi Paskali Mayalla... kila siku teuzi zinampita, SIJAPENDA.
ifike mahala kama wana JF tuishinikize serikali either ya muungano au ya mapinduzi impe uteuzi Paskali Mayalla... kila siku teuzi zinampita, SIJAPENDA.
Mtangazaji Charles Hillary mtu mwenye uzoefu ndani ya nchi na kimataifa katika mashirika makubwa IPP MEDIA, BBC, DW, AZAM MEDIA chini ya wahariri wasimamizi nguli huku akiwa amezungukwa na waandishi habari wazoefu kwa kipindi chote nadhani anafaa ...
WASIFU :
Salama Na CHARLES HILLARY Ep 38 | MZEE WA BUSARA Part 2
Source: YahStoneTown
https://millardayo.com › tag › charle...
Charles Hillary – Millard Ayo TV
Kumbe Charles Hillary kaondoka BBC na kuamua kurudi nyumbani? Miongoni mwa watu ambao sauti zao zimesikika sana kupitia BBC London, ni
Raymond NyamwihuraMumewe Yvonna ni yupi?
Sidhani,Itakuwa Ivona na mumewe now i think.
Mmeanza ukabila tayari.Hongera sana Homeboy. Wapogoro tupige kazi tunaaminika sana. Mungu akutangulie Mkuu, najua hunifaham Ili mara kadhaa tulionana ukija kumsalimu Mzee Hilary, na hata siku ya kumpumzisha kijijini tulikuwa wote. Ukiwaona watu wa Iraque usiwadharau
Nani kafir mkuu?duh, kafir na Znz wapi na wapi
Unazani hakuliona hilo? Lazima ataje dau lake mkuuKwa cheo na mshahara wake pale Azam Media kwenda huko ni anguko kubwa sana ni sawa na Mchezaji wa Man City kuja kuchezea Ndanda
Kikeke sasa anarudi tz rasmiKwanza nampongeza mkongwe wa habar Huyu, jemedari mwenye nyota zake za kihabar nchini Tanzania ndugu Charles Hillary naliona pigo kubwa kwa Azam Tv.
Yote kwa yote, hii nafasi ilikuwa ni ya yule marehem aliyekuwa kichwa,jabari la habar aliykufa baada kubuni kipindi kizur sana kupitia TBC 1. Mungu amweke mahali pena peponi.
Kongole kwa Rais wa Zanzibar kwa kutambua nafasi ya jabar Ili Mimi nilishangaa sana wanateuliwa sijui aniu sjui anwani wanaachwa hawa watu Asante Mwinyi kwa kuwaona.
Serikali ina mfumo wake wa mishahara sio dau lako kama sekta binafsi. Nimefanya kazi Serikalini maisha yangu yote naijua vizuri Serikali ya JMT na SMZUnazani hakuliona hilo? Lazima ataje dau lake mkuu
Mkristo ataweza kuisoma qur an kweli? Au ulijua jamaa muislam?Boss aisee samahani
Naomba usome Quran vizuri utaona kuwa ulikatazwa pia kuita wengine kafiri maana hakuna mkamilifu
ndio kashakua mzanzibar tayar, kama mwinyi tuCharles Hillary ni mpogoro wa Morogoro, wazazi wake walihamia Zanzibar miaka mingi iliyopita.
Sina hakika sana kama jamaa bado mkristo, naskia ndoa yake ya mwisho kuoa ilimbadili dini, enzi hizo mimi na bint yake tulisoma wote primary na wote tukiwa watoto wa watangazajiKweli yajayo yanafurahisha kama alivyosema Mwinyi.
Hii ya Mkristo kuteuliwa siyo record kweli kule Zanzibar? au Charles ni jina tu ila ni Ustadhi.