Hukohuko serikalini kuna watu wana mishahara minono mkuuSerikali ina mfumo wake wa mishahara sio dau lako kama sekta binafsi. Nimefanya kazi Serikalini maisha yangu yote naijua vizuri Serikali ya JMT na SMZ
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hukohuko serikalini kuna watu wana mishahara minono mkuuSerikali ina mfumo wake wa mishahara sio dau lako kama sekta binafsi. Nimefanya kazi Serikalini maisha yangu yote naijua vizuri Serikali ya JMT na SMZ
Shwaini wwduh, kafir na Znz wapi na wapi
Hata mimi nashangaa mpogoro gani mrefu hivyo...atakua msukuma huyo sio bure...huko kwa wapogoro labda alizaliwa na kukulia tu.Charles Hillary N'kwanga hajawahi kuwa mpogiro ni msumbwa wa geita!
Acha ubaguzi wwMwinyi anaturidisha nyuma hizi ni nafas za vijana anamueka huyu Charls amekubuhu hana ata hamasa tena, then huyu si wakwetu anapeleka mizigo zanzibar
Hakuna aliyewakumbatia zaidi ya maslahi ya viongozi wa ccm.Kiukwel wazanzbar wanajiajiri wao kwa wao wamejazana Bara na wameajiriwa ukienda kule kama we ni mtanganyika kununua ardhi ni kumbembe Sasa tumewakumbatia wa nini
Mkristo pure wa dhehebu la Anglican. Last time nilimuona pale Anglican Ubungo akiwa mgeni rasmi kwenye tamasha la vijana wa kianglikana. Mke wake pia ni kento kanisani kwake.Kweli yajayo yanafurahisha kama alivyosema Mwinyi.
Hii ya Mkristo kuteuliwa siyo record kweli kule Zanzibar? au Charles ni jina tu ila ni Ustadhi.
Charles ni mkristo mwanglikana na mke wake ni mshiriki active sana kanisani.Sina hakika sana kama jamaa bado mkristo, naskia ndoa yake ya mwisho kuoa ilimbadili dini, enzi hizo mimi na bint yake tulisoma wote primary na wote tukiwa watoto wa watangazaji
Charkes Hilary ni mtu wa Malinyi mkoa wa Morogoro Zanzibar aliishi wakati baba yake akiwa Kamishna wa Jeshi la Polisi Zanzibar.Ndiyo ni mzanzibar
Mkuu, sema walio tofauti na yeyeUnaitaje binadamu mwenzako kafir mkuu mamlaka hayo umeyatoa wapi?
Kwanini imani yako inashindwa kukuongoza vyema ktk kuwakubali wale walio tofauti na ninyi?
Upo sahihi kabisa, wanaosema Charles Hilary ni Mzanzibari ni vijana tu wa kwenye huu mtandao ambao kila mmoja anataka ajifanye anajua. Majina yake kamili ni Charles Martin Hilary Mkwanga. Sekondari alisoma Kinondoni Muslim na kumaliza kidato cha nne 1979 na kujiunga RTD 1982. Zilizofuata ni kozi mbalimbali za utangazaji na uzoefu wa kazi. Kazi walianza mwaka mmoja na Betty Mkwassa wakati huo akiitwa Betty Chalamila. Kwa hiyo ukweli ni kuwa Bwn Charles Hilary ni Mpogoro ( kabila dogo la Kindamba), hana uhusiano na Uzanzibari hata kidogo na wala lafudhi yake ya kuongea siyo ya Kizanzibari,.Charles Hillary ni mpogoro wa Morogoro, wazazi wake walihamia Zanzibar miaka mingi iliyopita.
Siyo kweli Charles Hilary ni Mpogoro wa Morogoro, kwa hiyo hata wewe ni chaka na umetaka kumuingiza mwenzio chaka.Mmekutana vipofu watupu, hakuna wa kumuonyesha mwenzake njia.Kama huyajui ni bora unyamaze. Charles Hillary ni Mzanzibari
Sina hakika sana kama jamaa bado mkristo, naskia ndoa yake ya mwisho kuoa ilimbadili dini, enzi hizo mimi na bint yake tulisoma wote primary na wote tukiwa watoto wa watangazaji
Hao uliowataja nimewazidi umri mkuuwewe ni mtoto wa mtangazaji yupi?
usijekuwa mtoto wa Zembwela au Baba levo [emoji23][emoji23][emoji23]
Charles Hilary ni Simba na hatakuwa Yanga milele!Jamaa ni Yanga damu,nakumbuka alivyokuwa akimpamba Charles Boniface Mkwasa
Hongera zake.
Charles Hilary ni Simba na hatakuwa Yanga milele!
Hujui kitu wewe. sikiliza hiyo.Jamaa ni Yanga damu,nakumbuka alivyokuwa akimpamba Charles Boniface Mkwasa
Hongera zake.
Kwani kuna Tatizo gani,mtu kufanya kazi na wa imani nyingine ,au elimu ya ufia ugaidi imewakaa sana kichwani??? Acheni logic za kiduwaziNgoja akamwite Yesu kwenye ile ikulu na #Kaziiendelee